Saying I am Sorry......

u were not meant to see this! its friday, nakusamehe kabla hujaomba msamaha. ila ile issue ingine yaani inabidi malaika washuke, usali salamu maria 150 na kwenda misa za kazi mwaka mzima!
mzima lakini?<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;

As long as hutakuwa na hiyo AK47 on my nose, that will be done...

Mi niko mzima kabisa sijui wewe....sasa hapa sijui utanisamehe ama niaje..
 
We hujawahi ona msamaha na hati ya nyumba unakabidhiwa fuuulu mausanii.

Huyo atakuwa kesha kusoma udhaifu wako sasa ili kukupumbaza na siku nyingine akirudia kosa umsamehe kiurahisi bila kumuuliza chochote anakunogesha kwanza na hiyo!! Ha ha ha haaaa.......lol!
 
Samahani!!

Haya naomba samahani.

I‘m really sorry...i didn‘t mean to hurt you.

Sorry!

Heyyy I said i‘m sorry owkeyy.Kama hutaki utajijua!!

Sasa unanilazimisha...samahani basi!!!
...Hiyo red ipo sana aisee!!!
 
Niko hapa hommie...... natafakari kwa kichwa cha pili na kusoma kwa jicho la tatu......... Masaburi hayahusiki katika hili.

Yaani naunganisha hisia zinavyoweza kurudishwa na samahani lol

NGUMU kumesa........hivi MR yupo hommie?
 
sorry ya nini, kwani we hukosei? kwani mimi huwa naamka tu na kufanya makosa?? ipo sababu...
 
Mie nikiomba msamaha ujue ndo siku yangu ya kufa.............................

SIOMBI MSAMAHA HATA KAMA NIMEKOSA....(Msinitoe macho taafadhali MJ1 nani tena huyo kakukosea???)
 
Mie nikiomba msamaha ujue ndo siku yangu ya kufa.............................<br />
<br />
SIOMBI MSAMAHA HATA KAMA NIMEKOSA....(&lt;font color=&quot;#ffffff&quot;&gt;Msinitoe macho taafadhali MJ1 nani tena huyo kakukosea???
<br />
<br />
Ongea vizuri kabla sijatoboa siri aisee!
 
"Umekuwa nguva, huhimili kishindo? " ...na methali kama hizi kwenye khanga. Unaachia maneno yaongee yenyewe.
Wengine asili yetu Mwambao bana,....msamaha shurti kwa doti ya khanga, mamaa yu radhiiiiiii!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom