Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Mjinga huyu anamuiga Mzee Mengi kutumia pesa kwa kulazimisha mifuko ya watu wengine, alitakiwa kujifunza ujasiriamali wa marehemu Dr, Mengi kwanza kwa kuzalisha mali na faida kiduchu ndio unagawia wanaohitaji mlo wa siku moja ili wakushukuru mwaka mzima,
Mtu maskini anatakiwa kupewa nyavu akavue kwanza, sio futari na juice kwa watu wasiofunga, huyu DAB anapiga sana pesa kwa hizi event sasa apelekewe CAG kutambua source ya hizo fund na zimetumikaje.
Mtu maskini anatakiwa kupewa nyavu akavue kwanza, sio futari na juice kwa watu wasiofunga, huyu DAB anapiga sana pesa kwa hizi event sasa apelekewe CAG kutambua source ya hizo fund na zimetumikaje.