BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Nyie watu mbona mnachakachua siredi..........
Wapi SL??
Erick na Bagah nyie watu nyie nitawachapa viboko
samahani ndugu!wananichokoza wenyewe!
Nyie watu mbona mnachakachua siredi..........
Wapi SL??
Erick na Bagah nyie watu nyie nitawachapa viboko
SL ameenda kumtafuta Nitonye hajaonekana tangu jana jioni....Nyie watu mbona mnachakachua siredi..........
Wapi SL??
Erick na Bagah nyie watu nyie nitawachapa viboko
SL ameenda kumtafuta Nitonye hajaonekana tangu jana jioni....
Halafu Dena huyu dogo Bagah anapenda kunipasua sana Kichwa ila nishamzoea usijali
Mambo SweetLady....
Teh siunajua maisha unapaswa kuwa na raha tu wakati wote....Erick wewe bana kila nikisoma post zako nacheka sana
Wewe mgovi wewe.........
BTW: Maandalizi ya harusi yanakwendaje
Sijambo shem wanguPoa E...hujambo wewe?
Hahaha! Usiponitaja mimi na nitonye hupati raha kabisa lol.SL ameenda kumtafuta Nitonye hajaonekana tangu jana jioni....
Halafu Dena huyu dogo Bagah anapenda kunipasua sana Kichwa ila nishamzoea usijali
Nani anakuchokoza wewe????samahani ndugu!wananichokoza wenyewe!
Asante shem, niletee passion ya baridi tafadhali nimekimbia hadi majasho...Teh siunajua maisha unapaswa kuwa na raha tu wakati wote....
Nimemuona SL amekuja dah nilimmiss sana lol
SweetLady Karibu tulikumiss sana
Hivi sauti ni proportional na mambo mengine au?
Haaaaa kuchakachuaje tena?Hahaha! Usiponitaja mimi na nitonye hupati raha kabisa lol.
Ngoja nimshauri Dena anisindikize tuje kukuchangie... Erickb52 siku hizi unashika namba moja kwa kuchakachua sred..
HahahahaaaaaaAsante shem, niletee passion ya baridi tafadhali nimekimbia hadi majasho...
Yaani Dena nimejitahidi kweli kuchunga wasichakachue, nimewashindwa mpendwa,Erick wewe bana kila nikisoma post zako nacheka sana
Wewe mgovi wewe.........
BTW: Maandalizi ya harusi yanakwendaje
Yaani Dena nimejitahidi kweli kuchunga wasichakachue, nimewashindwa mpendwa,
Erick,
BAGAH na
Mtei One wakishaingia kwenye sredi khaaa, kazi yao kubwa ni kuchakachua mwanzo mwisho lol....
Erick wewe bana kila nikisoma post zako nacheka sana
Wewe mgovi wewe.........
BTW: Maandalizi ya harusi yanakwendaje
Duh hii ni kashfa aisee na mnaopaswa kutuomba msamaha aiseeYaani Dena nimejitahidi kweli kuchunga wasichakachue, nimewashindwa mpendwa,
Erick,
BAGAH na
Mtei One wakishaingia kwenye sredi khaaa, kazi yao kubwa ni kuchakachua mwanzo mwisho lol....
Dena naamini we huna shida na hawa wadogo zako eeehYaani hawa jamaa siwawezi wanaongoza kuchakachua
Hata mimi nimeshawashindwa kabisa maana nilivyosema
ndo kabisa wamezidisha kuchakachua dawa yao naijua
Hivi unajua Dena anafanya mpango wa kukulaza bakora za kutosha ukome maana anaona umezidi umbea na majungu mtaani humu kwenye jamiiforums....unaona sasa unajichakachua mwenyewe!...ngoja sasa!