ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,056
- 2,850
Mimi ushauri wangu kwa serikali kuongeza wigo wa walipa kodi tu, wasahau mambo yao ya azimio la Arusha, sijui ujamaa..manunuzi ya ndege yamegharimu trillion ngapi?
..halafu Atcl inaingiza hasara kiasi gani kila mwaka?
..1.3 trillion anayoizungumzia Rais ni mkopo nafuu wa athari za covid 19.
..Kusingekuwepo na janga la covid 19 huo mkopo usingekuwepo kwa terms hizo.
..Na according to Madame President sehemu ya hiyo 1.3 trillion imetumika kulipa mikopo iliyo-mature. Maana yake ni kwamba tuna-struggle kulipa mikopo.
..Mimi wasiwasi wangu ni kama jinsi tunavyokwenda mbele tunajenga uwezo wa ku-manage our finances.
..Kama tunajenga uwezo wa kulipa madeni yetu. Kama tunaongeza walipa kodi wa viwango mbalimbali. Kama Watz wanazalisha zaidi.
..Mwisho, katika awamu ya Mkapa Tz ilikuwa a Highly Indebted Poor Country. Tukapigana mpaka tukasamehewa baadhi ya madeni.
..Sasa tujiulize, jama tunarudi kuwa HIPC, au tuna-move away from that kuelekea kwenye prosperity.