mwaikenda
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 903
- 144
kuwa na watu wajinga wasio jua kudai haki ni saw na akina mwigulu tu yan mnamlaumu mbunge dah! kazi ipo halafu et msomi wa SAUT kuna haja ya kuangalia vyuo kabla maana kuna vyuo vingine wanachukuwa watu wa ajabu sana ambao ni failure na matokeo yake ni kumlaum mbungeb eti hawajapata mkopoSAUT iko ndani ya jimbo la Nyamagana. Wanafunzi wameona wamtumie Wenje awakilishe matatizo yao wizara husika hapo si mtu sahihi? Hii ndio shida ya kusoma HKL combination ya vilaza, swali lina majibu mawili uongo mtupu.