don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 680
- Thread starter
- #21
wanafunzi wa SAUT ni wajinga kweli.
Hebu jiuzeni tu,hata nyie wanaume mjiuze ili muwasaidie
wadada hela za kujikimu.
Yaani nyie hamjuagi kudai hela zenu,mnakalisha makalio chuni tu mnasubiri
wengine wapige kunji na nyie mfaidike. nyambafu zenu,JIUZENI,HAMJAANZA JANA WALA LEO.
Wenje usipokee simu,utakufa njaa,jenga tumbo lako jaduong'
tukumbuke pia ni Wenje huyuhuyu ndiye alipewa karapio kali na chama chake pale walipong'amua jaribio lake kuhamia CCM baada ya kuhongwa mil 200. Jaduong haponi 2015.