SAUT: Wenje ametutelekeza

SAUT: Wenje ametutelekeza

wanafunzi wa SAUT ni wajinga kweli.
Hebu jiuzeni tu,hata nyie wanaume mjiuze ili muwasaidie
wadada hela za kujikimu.

Yaani nyie hamjuagi kudai hela zenu,mnakalisha makalio chuni tu mnasubiri
wengine wapige kunji na nyie mfaidike. nyambafu zenu,JIUZENI,HAMJAANZA JANA WALA LEO.

Wenje usipokee simu,utakufa njaa,jenga tumbo lako jaduong'

tukumbuke pia ni Wenje huyuhuyu ndiye alipewa karapio kali na chama chake pale walipong'amua jaribio lake kuhamia CCM baada ya kuhongwa mil 200. Jaduong haponi 2015.
 
Wenje usipokee simu zao.

wanafunzi wa SAUT ni wajinga kweli.
Hebu jiuzeni tu,hata nyie wanaume mjiuze ili muwasaidie
wadada hela za kujikimu.

Yaani nyie hamjuagi kudai hela zenu,mnakalisha makalio chuni tu mnasubiri
wengine wapige kunji na nyie mfaidike. nyambafu zenu,JIUZENI,HAMJAANZA JANA WALA LEO.

Wenje usipokee simu,utakufa njaa,jenga tumbo lako jaduong'
 
kazi yake ninini?, wanafunzi kutoka jimboni kwake wamepata matatizo yeye yuko karibu na serikali, achukue hoja zao aziwakilishe panapohusika. Linapokuja swala la kamanda mwenzetu kuzembea tusimtetee.

Wenje hayuko karibu na serikali. Acha ujinga
 
tukumbuke pia ni Wenje huyuhuyu ndiye alipewa karapio kali na chama chake pale walipong'amua jaribio lake kuhamia CCM baada ya kuhongwa mil 200. Jaduong haponi 2015.

we una yako!
 
Wenje hayuko karibu na serikali. Acha ujinga

ninaposema yuko karibu na serikali simaanishi ananyanao kazi ofic moja. Kwa kutumia nafasi yake ya kibunge ni rahisi kuwasiliana na serikali. Shirikisha akili yako kufikiri mkuu.
 
ninaposema yuko karibu na serikali simaanishi ananyanao kazi ofic moja. Kwa kutumia nafasi yake ya kibunge ni rahisi kuwasiliana na serikali. Shirikisha akili yako kufikiri mkuu.

hapo kwenye red rekebisha kiswahili halafu twende pamoja
 
tukumbuke pia ni Wenje huyuhuyu ndiye alipewa karapio kali na chama chake pale walipong'amua jaribio lake kuhamia CCM baada ya kuhongwa mil 200. Jaduong haponi 2015.

Leta ushahidi, ongea kwa facts, jana alipewa karipio leo anateuliwa kua mkurugenzi wa mambo ya nje?
 
hayo si yangu, hizi ni taarifa za wanafunzi toka jimbo la Wenje na zimeandikwa kwenye gazeti la SAUTI HURU.

siyo yako halafu unakomalia? na ulichoandika hapo mbona inadhibitika kua wewe ndie ulieandika? la sivyo ungeweka source
 
Akili zenu za desa hata uwezo wa kufikiri ni mdogo: hata bodi ya mkopo naye pia ni WENJE>< : Pombe Makufuli Igunga >< msichagua ssm daraja la MBUTU haitajengwa>< similar to all SAUT
 
SAUTI HURU ni gazeti dada la wanazi wa ssm na jambo leo>< uliyetoa thread yawezekana una malengo yako>< achana na weje watz tunaona kazi yake mjengoni<>
 
Wenje shughulikia madai ya wanafunzi hawa. Achana na watu wanaokukingia kifua humu, jaribu kufuatilia suala hili. Nakumbuka SAUT ilikua chachu ya ushindi wako.
 
Ndiyo tatizo ya title ya "ubunge" Tanzania. Watu hawajui mipaka ya mamlaka ya wabunge ma wajibu wao kitu kinacho pelekea kila tatizo wananchi kudhani inaweza tatuliwa na mbunge. Ndio maana unakuta mtu akikosa ada ya mtoto anaenda kwa mbunge, mtu akitaka pesa za kuanzishia mradi anaenda kwa mbunge, michango ya harusi kwa mbunge, nk. Ila ina sikitisha zaidi pale hata wasomi wa chuo wanapo shindwa kutambua mipaka ya mamlaka ya wabunge wao.
Hatari zaidi ni kuwa hawa wasomi=wataalamu watarajiwa hawalioni hilo. Nahisi walitegemea mbunge atoe mfukoni na kuwatimizia mahitaji yao. Uzembe wa kufikiri kwa viongozi watarajiwa.
 
wenje kama unanipata ukiona namba mpya au mwanafunzi wa sauti usipokee, tena kata kabisa. kwanini musiandamane? Na mkiandamana napiga simu polisi
 
Jamii ya SAUT ni kubwa jamani...na kwa ukubwa wake nafikiri inahitaji attention ya mtu kama MBUNGE...
 
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Mt. Augustine-Mwanza wamemtupia lawama mbunge wao mh. Wenje kwa kile kinachoelezwa kwamba amewatelekeza.

Ikumbukwe kwamba Mh Wenje wanafunzi wa SAUT ambao idadi yao ni zaidi ya 15000 ndio waliomwezesha kiasi kikubwa kupata ushindi. Pia ni hawa hawa wanafunzi ndio walikesha kwenye vituo kulinda kura zisichakachuliwe.

Chanzo cha kumtupia lawama mbunge wao Wenje ni kutokana na wanafunzi wenzao 215 hadi sasa semister imeisha hawajapata pesa zao za kujikimu kutoka bodi ya mikopo.

Inaelezwa kwamba uzembe mkubwa kutoka uongozi wa chuo na serikali ya wanafunzi SAUTSO inayojipambanua kwamba ni makamanda wapiganaji wameshindwa kufuatilia pesa za wanafunzi hawa kitendo kilichopelekea wawasiliane moja kwa moja na Wenje kupata msaada zaidi.

Lakini hadi sasa si Wenje ambaye amewapa taarifa juu ya hatima yao huku wakidai muda mwingine wakimpigia simu hapokei.Imefikia baadhi yao kuacha chuo, wengine wameanza kujiuza miili yao ili wapate pesa za kujikimu.

Mh! hao ndo aina ya wasomi wetu, walitaka mbunge afanye nini katika hilo?
Huu ni muendelezo wa mkakati wa kutaka kuwafarakanisha wabunge na wananchi wao, mlianza kwa kina Lema, Mdee, Nassari ,Sugu sasa kwa Wenje.....endeleeni tu, ila hamtafanikiwa!
 
Moja ya ahadi zake Wenje pindi alipokua akigombea ni kwamba pindi atakapoingia bungeni suala la ucheleweshwaji wa mikopo kwa wanafunzi wa SAUT litakuwa ndoto. Pia aliahidi kuwa karibu na wanafunzi kwa jambo lolote pale watakapomhitaji.
Na wewe Mkuu unajiuza?

Pole sana Dada/Kaka!! Endelea tu kujiuza mkuu maana akili yako ndo imefikia mwisho!

By the way, hivi Wenje ndo Rais wa SAUTSO siku hizi au ndo Msaidizi wa Kitima?
 
Mh! hao ndo aina ya wasomi wetu, walitaka mbunge afanye nini katika hilo?
Huu ni muendelezo wa mkakati wa kutaka kuwafarakanisha wabunge na wananchi wao, mlianza kwa kina Lema, Mdee, Nassari ,Sugu sasa kwa Wenje.....endeleeni tu, ila hamtafanikiwa!

sshhhh....! ishia hapo, mimi ni CDM kindakindaki ila panapotokea mbunge ameteleza kidogo si mbaya kumkumbusha. SAUT pekee ni taasisi kubwa ina idadi kubwa ya watu zaidi hata ya majimbo mengi .
 
sshhhh....! ishia hapo, mimi ni CDM kindakindaki ila panapotokea mbunge ameteleza kidogo si mbaya kumkumbusha. SAUT pekee ni taasisi kubwa ina idadi kubwa ya watu zaidi hata ya majimbo mengi .

acha upuuzi wako wewe.....Kwani wale masalia hawakuwa wakijiita namna hiyo? Tena mpaka leo yule binti kinara wao anaendelea kuamini hivyo. lengo lako tumeshalifahamu, wala husumbui tena
 
Back
Top Bottom