kwani wenje ni bodi ya mikopo...hapo inatakiwa serikali ya wanafunzi na chuo wasimamie hio kitu sababu iko chini yao na hilo lilikua kosa la chuo wenje hana uwezo wowote wa kubadilisha hio kitu.....kule COET(UDSM) wakati nasoma hapo tushaitisha kunji siku nyingi na hivi uzembe wamefanya chuo mbona kingenuka siku ya pili tu bumu la hao jamaa lingetoka...hapo lazima wahusika ,chuo na serikali ya wanafunzi wakaze kamba ndo mtafanikiwa wala msihamishie matatizo yenu kwa mbunge hana uwezo wowote na kudeal na hio kitu.......nyie wenyewe mnaweza kuunda kamati ikaenda bodi kufatilia.............wakati nasoma coet(telecom 2008) kuna wanafunzi 9 wa civil walidisco lakini kutokana na umoja wetu tuliitisha kunji kuwa wameonewa na tulitumia ugomvi kati ya mkandala na menejiment ya coet kuwarudisha wale washkaji ingawa lecture aliewashika alikataa kuwarudisha lakini VC aliwarudisha na wakarudia mwaka na wengi wao walimaliza na 2nd class bila hivyo tungewakosa......lazima muwe na umoja hilo tatizo ni kubwa la sivyo watu wataacha chuo na acheni kabisa kumlaumu mbunge hahusiki na kitu hio na mkimtumia mbunge magamba watageuza kuwa tatizo la kisiasa na mbunge anataka kujipatia umaarufu mtakosa vyote