SAUT: Wenje ametutelekeza

SAUT: Wenje ametutelekeza

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Mt. Augustine-Mwanza wamemtupia lawama mbunge wao mh. Wenje kwa kile kinachoelezwa kwamba amewatelekeza.

Ikumbukwe kwamba Mh Wenje wanafunzi wa SAUT ambao idadi yao ni zaidi ya 15000 ndio waliomwezesha kiasi kikubwa kupata ushindi. Pia ni hawa hawa wanafunzi ndio walikesha kwenye vituo kulinda kura zisichakachuliwe.

Chanzo cha kumtupia lawama mbunge wao Wenje ni kutokana na wanafunzi wenzao 215 hadi sasa semister imeisha hawajapata pesa zao za kujikimu kutoka bodi ya mikopo.

Inaelezwa kwamba uzembe mkubwa kutoka uongozi wa chuo na serikali ya wanafunzi SAUTSO inayojipambanua kwamba ni makamanda wapiganaji wameshindwa kufuatilia pesa za wanafunzi hawa kitendo kilichopelekea wawasiliane moja kwa moja na Wenje kupata msaada zaidi.

Lakini hadi sasa si Wenje ambaye amewapa taarifa juu ya hatima yao huku wakidai muda mwingine wakimpigia simu hapokei.Imefikia baadhi yao kuacha chuo, wengine wameanza kujiuza miili yao ili wapate pesa za kujikimu.
Acha uongo, Serikali ya CCM ilifunga vyuo vyote wakat wa uchaguzi, hizo kura mlimpia wapi???
 
Mbona hili liko wazi, kijana alitaka kuteleza na akaonywa na chama. Nakumbuka vyombo vya habari viliandika hili.

Ninachokumbuka ni gazeti lilimnukuu Dr Slaa akisema Mbunge huyo anatoka kanda ya ziwa, but hakumtaja na akasema chama kitalishughulikia hilo.
ndiyo maana nikasema kua leta ushahidi kua alietajwa na Dr Slaa ni Wenje, la sivyo zitakua ni stori za mitaani
 
kazi yake ninini?, wanafunzi kutoka jimboni kwake wamepata matatizo yeye yuko karibu na serikali, achukue hoja zao aziwakilishe panapohusika. Linapokuja swala la kamanda mwenzetu kuzembea tusimtetee.

Chuo chenu hakina afisa mikopo?? kazi yake ni nini??? na je vipi kuhusu Waziri wa mikopo wa serikali ya wanafunzi hayupo??? Kazi yake ni nini??? Malalamiko yenu hayana msingi wowote!!!
 
Acha uongo, Serikali ya CCM ilifunga vyuo vyote wakat wa uchaguzi, hizo kura mlimpia wapi???

una uhakika unachosema?. Ingia hata google utaamini hawakufunga. Tena iliwaletea mgogoro hadi radio yao ikafungiwa. Tusizungumze vitu kiushabiki hapa.
 
Napita tu hapa,nahisi naweza chapa mtu makofi kabsaa
 
Kwahili naomba wanajamii tuwe wakweli.Wanafunzi wanahaki ya kumlalamikia Mbunge wao kama wameishampa taarifa bila kupata majibu.Kama tunasema Wenje halazimiki kushughulikia hili sijui kama angelikuwa Mbunge Masha michango ingekuwaje?
 
kwani wenje ni bodi ya mikopo...hapo inatakiwa serikali ya wanafunzi na chuo wasimamie hio kitu sababu iko chini yao na hilo lilikua kosa la chuo wenje hana uwezo wowote wa kubadilisha hio kitu.....kule COET(UDSM) wakati nasoma hapo tushaitisha kunji siku nyingi na hivi uzembe wamefanya chuo mbona kingenuka siku ya pili tu bumu la hao jamaa lingetoka...hapo lazima wahusika ,chuo na serikali ya wanafunzi wakaze kamba ndo mtafanikiwa wala msihamishie matatizo yenu kwa mbunge hana uwezo wowote na kudeal na hio kitu.......nyie wenyewe mnaweza kuunda kamati ikaenda bodi kufatilia.............wakati nasoma coet(telecom 2008) kuna wanafunzi 9 wa civil walidisco lakini kutokana na umoja wetu tuliitisha kunji kuwa wameonewa na tulitumia ugomvi kati ya mkandala na menejiment ya coet kuwarudisha wale washkaji ingawa lecture aliewashika alikataa kuwarudisha lakini VC aliwarudisha na wakarudia mwaka na wengi wao walimaliza na 2nd class bila hivyo tungewakosa......lazima muwe na umoja hilo tatizo ni kubwa la sivyo watu wataacha chuo na acheni kabisa kumlaumu mbunge hahusiki na kitu hio na mkimtumia mbunge magamba watageuza kuwa tatizo la kisiasa na mbunge anataka kujipatia umaarufu mtakosa vyote
mkuu mbunge alituahidi sasa wewe unatuambia tuache kumuuliza wakati ni sehemu ya ahadi zake wakati wa kampeni? kama nasema uongo aje akanushe hapa. mambo ya udsm usilete hapa.
 
akili fupi kama maisha ya funza, jenga hoja ueleweke sio kukurupuka utadhania umekalia kitu chenye ncha kali kilaini. Pitia post zangu utakubaliana namm sio masalia. Watu ovyo dizaini yako ndio mnamjenga zitto kwa komenti km hizi. Yaani mbunge wangu nikimkosoa nimetumwa?. Kwa tabia hizi cdm2015 tujipange!

hovyoooooo.....!
 
Chuo chenu hakina afisa mikopo?? kazi yake ni nini??? na je vipi kuhusu Waziri wa mikopo wa serikali ya wanafunzi hayupo??? Kazi yake ni nini??? Malalamiko yenu hayana msingi wowote!!!

exactly, kuna afisa mikopo wa chuo, waziri wa mikopo. Yaani Wenje mnamshusha. Acheni ujinga
 
Kwahili naomba wanajamii tuwe wakweli.Wanafunzi wanahaki ya kumlalamikia Mbunge wao kama wameishampa taarifa bila kupata majibu.Kama tunasema Wenje halazimiki kushughulikia hili sijui kama angelikuwa Mbunge Masha michango ingekuwaje?

anachoweza kufanya Wenje ni kwenda HESLB kukaa kwenye mabenchi kama wanachuo, akiruhusiwa aingie ofisi namba 24 kisha ataambiwa, 'tunalishughulikia'. Wana SAUT nchi haiendeshwi na CDM, wote huu ni ushetani wa CCM.
 
Watu wa SAUT Tabora walikuja Dar kwenda Loan board, hawakwenda kwa yule msomali muuaji Rage. Je wao wajinga?
 
mkuu mbunge alituahidi sasa wewe unatuambia tuache kumuuliza wakati ni sehemu ya ahadi zake wakati wa kampeni? kama nasema uongo aje akanushe hapa. mambo ya udsm usilete hapa.

Kikwete aliahidi pia! Mbona vyuo vya Dar hawakwenda ikulu bali Loan board? Hili ni tatizo la vyuo vyote nchi nzima, si nyie tu
 
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Mt. Augustine-Mwanza wamemtupia lawama mbunge wao mh. Wenje kwa kile kinachoelezwa kwamba amewatelekeza.

Ikumbukwe kwamba Mh Wenje wanafunzi wa SAUT ambao idadi yao ni zaidi ya 15000 ndio waliomwezesha kiasi kikubwa kupata ushindi. Pia ni hawa hawa wanafunzi ndio walikesha kwenye vituo kulinda kura zisichakachuliwe.

Chanzo cha kumtupia lawama mbunge wao Wenje ni kutokana na wanafunzi wenzao 215 hadi sasa semister imeisha hawajapata pesa zao za kujikimu kutoka bodi ya mikopo.

Inaelezwa kwamba uzembe mkubwa kutoka uongozi wa chuo na serikali ya wanafunzi SAUTSO inayojipambanua kwamba ni makamanda wapiganaji wameshindwa kufuatilia pesa za wanafunzi hawa kitendo kilichopelekea wawasiliane moja kwa moja na Wenje kupata msaada zaidi.

Lakini hadi sasa si Wenje ambaye amewapa taarifa juu ya hatima yao huku wakidai muda mwingine wakimpigia simu hapokei.Imefikia baadhi yao kuacha chuo, wengine wameanza kujiuza miili yao ili wapate pesa za kujikimu.
watanzania bwana asa wenje ndo mwenyekiti wa bod ya mikopo ( nimesoma history 4m6 kuwa LUDDISM WALIFELI KUDAI HAKI ZAO KWASABABU WALISHINDWA KU IDENTIFY ADUI YAO NI NANI) WENJE C ADUI YENU WA KUTUPIA LAWAMA NENDENI DAR KWA MWENYEKITI WA BOD YA MIKOPO
 
watanzania bwana asa wenje ndo mwenyekiti wa bod ya mikopo ( nimesoma history 4m6 kuwa LUDDISM WALIFELI KUDAI HAKI ZAO KWASABABU WALISHINDWA KU IDENTIFY ADUI YAO NI NANI) WENJE C ADUI YENU WA KUTUPIA LAWAMA NENDENI DAR KWA MWENYEKITI WA BOD YA MIKOPO

SAUT iko ndani ya jimbo la Nyamagana. Wanafunzi wameona wamtumie Wenje awakilishe matatizo yao wizara husika hapo si mtu sahihi? Hii ndio shida ya kusoma HKL combination ya vilaza, swali lina majibu mawili uongo mtupu.
 
SAUT iko ndani ya jimbo la Nyamagana. Wanafunzi wameona wamtumie Wenje awakilishe matatizo yao wizara husika hapo si mtu sahihi? Hii ndio shida ya kusoma HKL combination ya vilaza, swali lina majibu mawili uongo mtupu.
kaka nimesoma HKL nikapata one ya 5 nikaenda UDSM na kusoma sheria na sasa ni wakil acheni ujinga wa kumlaum mbunge wakati mnajua adui yenu ni bod. this is glossly Ubsurdity
 
exactly, kuna afisa mikopo wa chuo, waziri wa mikopo. Yaani Wenje mnamshusha. Acheni ujinga

Binti Nyakageni, mbona unaongea vitu utadhania bado hujaondolewa ungo?. Wenje ni mbunge jimbo la Nyamagana, moja ya majukumu yake ni kusikiliza matatizo yaliyopo jimboni kwake na kuyawasilisha wizara husika. Hata kama waziri wa mikopo yupo, yeye acheze nafasi yake.
 
SAUT iko ndani ya jimbo la Nyamagana. Wanafunzi wameona wamtumie Wenje awakilishe matatizo yao wizara husika hapo si mtu sahihi? Hii ndio shida ya kusoma HKL combination ya vilaza, swali lina majibu mawili uongo mtupu.
hiv kumbe kuna chuo kinaitwa SAUT? kama kipo bs hawjui kudai haki waulizen udsm wanajua vema hata werma jana kazungumza bungeni vizur sanae
 
SAUT iko ndani ya jimbo la Nyamagana. Wanafunzi wameona wamtumie Wenje awakilishe matatizo yao wizara husika hapo si mtu sahihi? Hii ndio shida ya kusoma HKL combination ya vilaza, swali lina majibu mawili uongo mtupu.

kwa hilo la kumuagiza awasaidie sawa.
 
kaka nimesoma HKL nikapata one ya 5 nikaenda UDSM na kusoma sheria na sasa ni wakil acheni ujinga wa kumlaum mbunge wakati mnajua adui yenu ni bod. this is glossly Ubsurdity

Law is a noble profession, haiwezi kuchukua kilaza kama wewe. Nikiangalia comments zako nikiuanganisha 'dots' ndio zinasababisha nikuweke kundi la vilaza. Usipende kudandia fani zisizokuhusu, wewe kazi inayokufaa ni bongo flavour kwani ndio unafanana nao.
 
Back
Top Bottom