A
Anonymous
Guest
Tunaomba Mtufikishie malalamiko haya Ngazi za Juu
Habari wahusika wa Mtandao wangu pendwa wa Jamii Forums,
Kuna shida Mwanza katika Chuo kikuu cha SAUT ambacho ni takribani miezi minne sasa wanafunzi wanaonufaika na HELSB yaani Mikopo ya Elimu ya Juu Hawajapatiwa pesa zao za Kujikimu.
Wengi wao ni Mwaka wa Kwanza yaani First Year wanateseka sana huku hasa Dada zetu, Tunaomba mtufikishie hili na Ukizingatia Tarehe 04.03.2024 wanafunzi hao wataanza Mitihani yao ya Kufunga.
Tusaidieni kupaza Sauti Watoto wetu wapate Boom yaani fedha za kujikimu.
Majibu wanayopewa ni kuwa Akaunti zao zilikosewa, itakuwa zikosewe ilihali baadhi yao walipata Boom la kwanza kupitia Akaunti hizo hizo
Habari wahusika wa Mtandao wangu pendwa wa Jamii Forums,
Kuna shida Mwanza katika Chuo kikuu cha SAUT ambacho ni takribani miezi minne sasa wanafunzi wanaonufaika na HELSB yaani Mikopo ya Elimu ya Juu Hawajapatiwa pesa zao za Kujikimu.
Wengi wao ni Mwaka wa Kwanza yaani First Year wanateseka sana huku hasa Dada zetu, Tunaomba mtufikishie hili na Ukizingatia Tarehe 04.03.2024 wanafunzi hao wataanza Mitihani yao ya Kufunga.
Tusaidieni kupaza Sauti Watoto wetu wapate Boom yaani fedha za kujikimu.
Majibu wanayopewa ni kuwa Akaunti zao zilikosewa, itakuwa zikosewe ilihali baadhi yao walipata Boom la kwanza kupitia Akaunti hizo hizo