SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

Kipindi cha kikwete vyuo vingi vya taasisi zisizo za kiserikali zilikuwa na mapembe hatari,tena hayo mambo ya penalt wanayafanya kama biashara chuo kinapata share yake
 
Mkuu hujapunguza kitu kabisa. Mdogo wangu kamaliza Diploma hapo mwaka jana hayo mambo kayakuta.

Kuna jambo hujagusa, SAUT ndio chuo kinaongoza Tanzania kwa wanafunzi kujifungua hasa ukienda BaEd huwa wanataniwa kwamba wanazaa wanafunzi wao wenyewe. Hili sijabahatisha kulisema, nimezungukavyuo vingi kwenye matembezi yangu na nina marafiki wengi ila SAUT kwa kulea watoto ni next level
Mkuu BAED wanazaa sana sababu hawatoi mimba kizembe maana kozi nyingine ni majanga ata vyuo vingine kama ud wanatoa mimba balaa.
 
Mkuu kila mtu ana juhudi katika kusoma suala hapa ni mifumo mibovu huwezi ita course zote sehm moja kisa kuanza kuita majina ya wanafunzi ili kupata ID huu ni upuuzi
Mkuu ni kweli huo utaratibu ni mbovu sana lakini waliosababisha mfumo huo utumike ni wanafunzi wenyewe,

Wiki iliyopita na jumatatu wiki hii ID zilikua zikigawiwa kupitia wabunge na Cr's yaani mfano BAED MaCr wao wanapewa Id wanagawa darasan kwa utulivu tu. Sasa shida inakuja ukichukua Id inabidi usaini kama umechukua Id ya mtihani sasa watu wanachukuliana Id alafu hawasaini wanaondoka tu na kero nyingine ni kwamba mtu anachukua Id yako alaf anakausha nayo hakupi wengine wanapoteza.

Sasa hiyo inafanya ofisi za IT kurudia kutoa Id zile zile ambazo walishatoa sababu tu hazikusainiwa.

Wiki iliyopita kuna wadau wamepata Id kirahisi sana yani mpo class ata 50 hamfiki mnapewa Id zenu ila wanafunzi wenyewe ndio wamekosea sasa ili kutopoteza muda na resources imebidi mfumo huo utumike. Na ukifatilia kwa makini mfumo huo huwa unatumika mwishoni mwishoni kuelekea UE, hapo kuna wale ambao hawakulipa ada wengine,, wengine direct cost na wengine special faculty sasa saizi lazma mfumo huo utumike.
 
Mkuu nakuhakikishia ninachosema, mdogo wangu ni wa kike kwanza hayupo JF. Hapa nimekuja home mara moja mwenyewe nimetoka chuo. Huu uzi nimeanza kuujibu kabla sijaongea naye wakati anakuja ndio nikamuuliza akanishangaza kwa suala la kudaiwa tena. Alidaiwa hela kwanza, ndio akatoa risiti zote ila akadaiwa elfu tisini ya nini sijui. Hakutoa hata mia!
Mkuu, SAUT kama una vithibitisho ni wepesi kukuelewa muulize mdogo wako vizuri maana SAUT wana mtindo wa kupiga penalty wanafunzi wanakuwa wanachelewa kulipa special faculty au direct cost wanasubiri favor kutoka kwa financial controller maana ni jamaa muelewa sana

Sometime ata ukiwa unadaiwa laki3 anakuandikia kimemo unapata Id ya pepa, Sasa wanafunzi wengi wakisaidiwa hivyo huwa hawalipi tena sasa mwishoni ndio wanakamatwa.
 
Mkuu BAED wanazaa sana sababu hawatoi mimba kizembe maana kozi nyingine ni majanga ata vyuo vingine kama ud wanatoa mimba balaa.
Hilo ni kweli wale wana utu. Hata hapa Dar kati ya vyuo angalau watoto wa kike pale wana nafuu ni Mwalimu Nyerere hasa BaEd
 
Niliona cheti cha degree cha SAUT kina misalaba kibao kama cheti cha UKWATA nikajisemea pale hamna kitu
 
Hilo ni kweli wale wana utu. Hata hapa Dar kati ya vyuo angalau watoto wa kike pale wana nafuu ni Mwalimu Nyerere hasa BaEd
Niliwai kufanya research juu ya hilo jambo kwa SAUT majibu niliyopata ni hatari maduka ya madawa karibia mengi walisema kuna dawa inanunulika sana kwaajili ya kutolea mimba changa kabisa.

Halafu p2 ndio dawa inanunuliwa sana, sasa ukihoji wanafunzi wenyewe wakike nilikuja gundua inawezekana kati ya wanafunzi 10, 6 washawai kutoa mimba hao wanafunzi wa kozi nyingine ukiwatoa BAED.
 
Mkuu ni kweli huo utaratibu ni mbovu sana lakini waliosababisha mfumo huo utumike ni wanafunzi wenyewe,

Wiki iliyopita na jumatatu wiki hii ID zilikua zikigawiwa kupitia wabunge na Cr's yaani mfano BAED MaCr wao wanapewa Id wanagawa darasan kwa utulivu tu. Sasa shida inakuja ukichukua Id inabidi usaini kama umechukua Id ya mtihani sasa watu wanachukuliana Id alafu hawasaini wanaondoka tu na kero nyingine ni kwamba mtu anachukua Id yako alaf anakausha nayo hakupi wengine wanapoteza.

Sasa hiyo inafanya ofisi za IT kurudia kutoa Id zile zile ambazo walishatoa sababu tu hazikusainiwa.

Wiki iliyopita kuna wadau wamepata Id kirahisi sana yani mpo class ata 50 hamfiki mnapewa Id zenu ila wanafunzi wenyewe ndio wamekosea sasa ili kutopoteza muda na resources imebidi mfumo huo utumike. Na ukifatilia kwa makini mfumo huo huwa unatumika mwishoni mwishoni kuelekea UE, hapo kuna wale ambao hawakulipa ada wengine,, wengine direct cost na wengine special faculty sasa saizi lazma mfumo huo utumike.
Mkuu nimeshiriki zoezi hilo siku ya kwanza kabisa Kuna watu hatuna madeni kabisa lakini tulikosa ID niweze kusema kwamba mwaka huu wameharibu utaratibu mbona mfano BAMC toka first year Id huwa wanachukua ID pale department au newsroom nini kimefanya utaratibu huu kubadilika ?

Viongozi wengi wa serikali ya wanafunzi SAUT hawana influence hivyo kukosa ushawishi angalia Sasa ni muda wa kampeni lakini Kuna wanafunzi hawajui lolote kuhusu uchaguzi maana kazi yao haionekani zaidi kuvaa ma t-shirt ya nembo ya SAUT na rais wa chuo kuvaa suti za hovyo na kalamu ya blue na red kwenye mfuko wa sharti.

IT ya SAUT niya hovyo sana hii sehemu inahitaji watu humble sio wale wajuaje na wenye dharau niliwahi pata shida ya password hivyo kuomba msaada kwao nilipiga simu takribani wiki mbili hakuna aliye pokea mpka wiki ya tatu na papo hapo majibu yao yalikuwa ya hovyo na kuudhi.

Kuna wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza mpaka leo wapo mwaka tatu hawaja wahi tumia pesa zao za special faculty wakidai ni kalenda tu wakati ni pesa zao halali kabisa.

Kama upo SAUT nadhani usikia matatzo ya wanafunzi wa BAMC-3 juu ya yule jamaa anaye fundisha Photo journalism na TV production ule ulikuwa uhuni wa hovyo alafu bado mtu anajigamba kabisa kwa kiburi "this is my empire"

Hawa hawa BAMC-3 Kuna kipindi wali wahi toa pesa kufanya marekebisho ya Newsroom je,ni halali mwanafunzi kutoa pesa kwa ajili ya maintenance ya ofisi ya chuo?
 
Niliwai kufanya research juu ya hilo jambo kwa SAUT majibu niliyopata ni hatari maduka ya madawa karibia mengi walisema kuna dawa inanunulika sana kwaajili ya kutolea mimba changa kabisa.

Halafu p2 ndio dawa inanunuliwa sana, sasa ukihoji wanafunzi wenyewe wakike nilikuja gundua inawezekana kati ya wanafunzi 10, 6 washawai kutoa mimba hao wanafunzi wa kozi nyingine ukiwatoa BAED.
Kuna jamaa yangu mmoja alikuwa anafanya kazi Kamanga hospital aliwahi niambie mambo mengi Sana kuhusu wanawake wa SAUT kutoa mimba ni mambo ya hatari Sana.
 
Mkuu nimeshiriki zoezi hilo siku ya kwanza kabisa Kuna watu hatuna madeni kabisa lakini tulikosa ID niweze kusema kwamba mwaka huu wameharibu utaratibu mbona mfano BAMC toka first year Id huwa wanachukua ID pale department au newsroom nini kimefanya utaratibu huu kubadilika ?

Viongozi wengi wa serikali ya wanafunzi SAUT hawana influence hivyo kukosa ushawishi angalia Sasa ni muda wa kampeni lakini Kuna wanafunzi hawajui lolote kuhusu uchaguzi maana kazi yao haionekani zaidi kuvaa ma t-shirt ya nembo ya SAUT na rais wa chuo kuvaa suti za hovyo na kalamu ya blue na red kwenye mfuko wa sharti.

IT ya SAUT niya hovyo sana hii sehemu inahitaji watu humble sio wale wajuaje na wenye dharau niliwahi pata shida ya password hivyo kuomba msaada kwao nilipiga simu takribani wiki mbili hakuna aliye pokea mpka wiki ya tatu na papo hapo majibu yao yalikuwa ya hovyo na kuudhi.

Kuna wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza mpaka leo wapo mwaka tatu hawaja wahi tumia pesa zao za special faculty wakidai ni kalenda tu wakati ni pesa zao halali kabisa.

Kama upo SAUT nadhani usikia matatzo ya wanafunzi wa BAMC-3 juu ya yule jamaa anaye fundisha Photo journalism na TV production ule ulikuwa uhuni wa hovyo alafu bado mtu anajigamba kabisa kwa kiburi "this is my empire"

Hawa hawa BAMC-3 Kuna kipindi wali wahi toa pesa kufanya marekebisho ya Newsroom je,ni halali mwanafunzi kutoa pesa kwa ajili ya maintenance ya ofisi ya chuo?
Mkuu kwenye Id komaa utapata tu kama ushalipia kila kitu, ila kozi nyingi wana walimu viburi sana na wenye majivuno sana hapo chuoni afadhali ya baed kidogo, ila nahisi kuna utaratibu wa kuweza kumshataki uyo mwalimu kwenye department zenu ili mpate haki au unaweza kuwaona mapadri huwa wana msaada Sana.
 
Tatizo la SAUT sio chuo au wahadhiri, ila ni wanafunzi. Take that from me. Wanafunzi wanapenda mtelemko, wanataka kubebwa kuliko vyuo vingine. Sasa wanapo shindwa kubebwa huanza lawama.
Ila kweli afu wengi wasichana wanazaa mno
 
Back
Top Bottom