SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

Jiandae ni mtihani mkuu. Usidhani hapo serikali haipo! hayo mambo ya ID nadhani kila chuo ni ivo ivo, Ukienda pale UD utakuta vijana wamepanga mstari kwa ajili ya kupata ID.
Mkuu utaratibu huo ndo ulikuwepo mwanzo kila course inakwenda kuchukua ID kweny department kilicho fanyika Sasa ni sawa na mwalimu mkuu kuchukua mitihani yote toka chekechea mpka darasa la Saba alafu wanafunzi wote akawakusanya sehm moja na kuanza kuita majina
 
Shukrani sana mkuu kwa kuongeza jambo hili watu tukisema ukweli kuhusu lengo kubwa ni wajirekebishe ila kuna watu humu Mara ooh umekalia umalaya chuo,ooh unapenda mteremko Mara ooh huna akili una sup ila ukweli ndo huu tunao ongea hapa kuhusu SAUT Kuna shida kubwa Sana moja wapo ni kitengo Cha IT

Kuhusu risiti za malipo ni kweli lazima uziweka tupa ukisha maliza chuo yaani cheti kipo mkononi.SAUT mwanafunzi anatunza test,Quiz kuanzia First year mpka third year na muda wa kutupa ni pale cheti kipo mkononi maana ni rahisi kukuambia system imecheza Leta course work
Wale jamaa wapuuzi sana, nimemuuliza kumbe walimbambikiza deni ambalo hana, akawaambia kama sikumaliza ada nilifanya vipi mitihani. Wakamlazimisha basi alipe 90,000 akatoa risiti zote tangu anafika chuoni, bado wakataka alipie upuuzi gani huo.

Chuo sijui kina sera gani kile, hivi management haijui haya yanayofanyika. Ndio maana rate ya wanaorudi kusoma degree baada ya dip huwa ndogo sana
 
Jiandae ni mtihani mkuu. Usidhani hapo serikali haipo! hayo mambo ya ID nadhani kila chuo ni ivo ivo, Ukienda pale UD utakuta vijana wamepanga mstari kwa ajili ya kupata ID.
Chuo kinakuwa primitive kama kinapanga watu kama machungwa kusubiri ID. Hapo UDSM unaoona wamebanana kuchukua ID ni wale waliochelewa kulipa au kuchukua mpya. SAUT ni taratibu mbovu za chuo zinawachelewesha na mifumo mibovu.
 
Mimba za wana kitaa au wenyewe kwa wenyewe
Wana kadhaa si unajua kujiachia ila hiyo ipo kila chuo. Wenyewe wanapeana vilevile, kama sikosei ni mwaka jana ambapo walikatazwa kutembeleana usiku hostels za opposite sex.

Vyuo vimepinda ila kuna vingine vimezidi. Watu husema wanachuo wa UDSM, hawawajui wa CBE ya Dodoma. Hata CBE ya Dar wanafunzi wake ni tofauti kabisa na DIT au NIT
 
Wale jamaa wapuuzi sana, nimemuuliza kumbe walimbambikiza deni ambalo hana, akawaambia kama sikumaliza ada nilifanya vipi mitihani. Wakamlazimisha basi alipe 90,000 akatoa risiti zote tangu anafika chuoni, bado wakataka alipie upuuzi gani huo.

Chuo sijui kina sera gani kile, hivi management haijui haya yanayofanyika. Ndio maana rate ya wanaorudi kusoma degree baada ya dip huwa ndogo sana
Mkuu, haiwezekani mtu anarisit zote na ameonesha afu adaiwe, sasa anadaiwa fedha ya nini!?

Huyo mwanafunzi kama amwezeza kuja humu, anashindwa vipi kwenda pccb??

Mkuu, katika hilo la risit naomba jihakikishie, maana kama ameonesha kalipa, wanamdai fedha za nini???

Naomba kama kweli amelipa, aje inbox, nitamsaidia.
 
Mkuu, haiwezekani mtu anarisit zote na ameonesha afu adaiwe, sasa anadaiwa fedha ya nini!?

Huyo mwanafunzi kama amwezeza kuja humu, anashindwa vipi kwenda pccb??

Mkuu, katika hilo la risit naomba jihakikishie, maana kama ameonesha kalipa, wanamdai fedha za nini???

Naomba kama kweli amelipa, aje inbox, nitamsaidia.
Mkuu nakuhakikishia ninachosema, mdogo wangu ni wa kike kwanza hayupo JF. Hapa nimekuja home mara moja mwenyewe nimetoka chuo. Huu uzi nimeanza kuujibu kabla sijaongea naye wakati anakuja ndio nikamuuliza akanishangaza kwa suala la kudaiwa tena. Alidaiwa hela kwanza, ndio akatoa risiti zote ila akadaiwa elfu tisini ya nini sijui. Hakutoa hata mia!
 
Dhana ya kibiashara:-
  • Mwanafunzi ni 'asset' kwa sababu analeta mapato
  • Mwalimu ni 'liability' kwasababu anakula mapato aliyoleta mwanafunzi
 
Wale jamaa wapuuzi sana, nimemuuliza kumbe walimbambikiza deni ambalo hana, akawaambia kama sikumaliza ada nilifanya vipi mitihani. Wakamlazimisha basi alipe 90,000 akatoa risiti zote tangu anafika chuoni, bado wakataka alipie upuuzi gani huo.

Chuo sijui kina sera gani kile, hivi management haijui haya yanayofanyika. Ndio maana rate ya wanaorudi kusoma degree baada ya dip huwa ndogo sana
Huwezi jua inaweza kuwa njia ya kupata mapato kimchongo
 
Mkuu, haiwezekani mtu anarisit zote na ameonesha afu adaiwe, sasa anadaiwa fedha ya nini!?

Huyo mwanafunzi kama amwezeza kuja humu, anashindwa vipi kwenda pccb??

Mkuu, katika hilo la risit naomba jihakikishie, maana kama ameonesha kalipa, wanamdai fedha za nini???

Naomba kama kweli amelipa, aje inbox, nitamsaidia.
Nimemuuliza tena sasa hivi kasema mwanzoni walimdai laki moja wakisema kuna mwaka ada alilipa amechelewa ila hakulipa penalty. Haikuwa kweli, akatoa risiti akakubaliwa hana deni.

Kisha akaambiwa anadaiwa elfu 90+ hapo kuna 50,000 ya cheti cha certificate na 40,000,+ ya kitu gani sijui. Akatoa risiti ya certificate na hiyo nyingine hakulipa. Anasema aliambiwa "system imecheza", ameondoa uwezekano wa kutaka kuibiwa. Sasa sijui kwanini system inacheza kwa watu wengi vile na kama hawakutunza risiti ndio wanalipa tena
 
Chuo kinakuwa primitive kama kinapanga watu kama machungwa kusubiri ID. Hapo UDSM unaoona wamebanana kuchukua ID ni wale waliochelewa kulipa au kuchukua mpya. SAUT ni taratibu mbovu za chuo zinawachelewesha na mifumo mibovu.
Ni mtu wa ajabu pekee ndo atasifia chuo kuwa na mfumo huo wa hovyo katika kipnd hiki Cha mageuzi makubwa ya Teknolojia
 
U
Mkuu utaratibu huo ndo ulikuwepo mwanzo kila course inakwenda kuchukua ID kweny department kilicho fanyika Sasa ni sawa na mwalimu mkuu kuchukua mitihani yote toka chekechea mpka darasa la Saba alafu wanafunzi wote akawakusanya sehm moja na kuanza kuita majina
Uongozi wenu wa mwaka huu ndio wa ajabu. Hauna protocol. Rais wetu alikuwa njema tena alikuwa mtu mzima na in service. Kidogo hali ilikuwa afadhali.
 
Yule aliye tengeneza uwanja wa mchongo wa Odinga
Huo uwanja ulitengenezwa na Dotto Biteko enzi hizo akiwa rais wa serikali ya wanafunzi, na ndipo mashindano ya Fawasco yalikuwa yanafanyikia huko. Unless labda iwe ni ukarabati ndio ulifanyika.
 
Nimemuuliza tena sasa hivi kasema mwanzoni walimdai laki moja wakisema kuna mwaka ada alilipa amechelewa ila hakulipa penalty. Haikuwa kweli, akatoa risiti akakubaliwa hana deni.

Kisha akaambiwa anadaiwa elfu 90+ hapo kuna 50,000 ya cheti cha certificate na 40,000,+ ya kitu gani sijui. Akatoa risiti ya certificate na hiyo nyingine hakulipa. Anasema aliambiwa "system imecheza", ameondoa uwezekano wa kutaka kuibiwa. Sasa sijui kwanini system inacheza kwa watu wengi vile na kama hawakutunza risiti ndio wanalipa tena
Mkuu hata matokeo yanabadilika sababu ni system imecheza
 
Back
Top Bottom