Saudia na Marekani wanaisaidia Israel kuua watoto na kuiangamiza Palestina

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,192
10,927
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
 
Mkuu historia ya hayo maeneo, ni lazima waarabu wenzao wapambane kuwatetea.

Zaidi ya hapo hakuna kitakachofanyika.

Kama hakuna Salaidin mwingine, bila ushabiki wataangamizwa tu.

It is what it is. And that’s based on the history of the land.
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948 zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na Uyahudi ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
1. Mmuibgereza Muingereza

2. Nadaraka Madaraka

3. Ilianzq Ilianza

4. Kjsadiwa Kusaidiwa

5. Ikaqnzishwa Ikaanzishwa

6. Kujitanuwa Kujitanua

7. Nashariki Mashariki

Si kosa lako Ajuza bali ni........................
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
1 Samwel 15
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
Lakini ni waislamu hawa!! Inakuwaje?

Sisi huwa tunaacha shuguhri zetu tunaenda kuhiji huko, sasa tuwaeleweje hawa Saudia?
 
Israel kazidiwa kakubali masharti ya Hamasi 😄

Msada utaingia Gaza, haruhusiwi kurusha hata ndege zile za kuspy, awachie wanawake na watoto 100 na Hamasi wawachie 50.

Tuliwambia Israel atakimbia Gaza kiko wapi sasa mlio kuwa mnabisha, oh hakuna kusimamisha vita mpaa Hamasi wawachie matekwa wote na wasarende 😄

Chezea kipigo walicho chezea toka siku nne za nyuma, kuku ni kuku tu hawezi kuwa simba
 
Lakini ni waislamu hawa!! Inakuwaje?

Sisi huwa tunaacha shuguhri zetu tunaenda kuhiji huko, sasa tuwaeleweje hawa Saudia?
Niliyoyaandika yanahusiana nini na Waislam au Uislam?

Hata kabla haijawa Saudi Arabia watu walikuwa wanakwenda kuhiji. Sioni uhusiano na niliyoyaandika.
 
Israel kazidiwa kakubali masharti ya Hamasi

Msada utaingia Gaza, haruhusiwi kurusha hata ndege zile za kuspy, awachie wanawake na watoto 100 na Hamasi wawachie 50.

Tuliwambia Israel atakimbia Gaza kiko wapi sasa mlio kuwa mnabisha, oh hakuna kusimamisha vita mpaa Hamasi wawachie matekwa wote na wasarende

Chezea kipigo walicho chezea toka siku nne za nyuma, kuku ni kuku tu hawezi kuwa simba
We jamaa kumbe una ujinga wa hivi? kwa hiyo hiki ni kipigo?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mbona wanashirikiana vizuri tu na huo ukimya ambao mnahuona ndo unaomwangamiza mu Israel
 
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.
Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani.Huenda ni siku hiyo tu.
Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote.Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani.Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Sijui ni kwanini akili za wahitimu wa Madrassa zina ukakasi wa kiwango hiki.

Hivi kweli unashindwa kumshutumu aliyemchokoza mwenzake? Nyie wenzetu mnalishwa nini kinachoharibu akili zenu!!? Yaani Saudia ina kosa gani kukaa kimya dhidi ya upumbavu!!?

Watu walijishibia Kande za Tenda wakaenda Kurusha makombora halafu unataka nchi zingine zichafuka kwa maafa kweli?

Ndo maana mafundisho yenu yanakashifiwa
 
Israel kazidiwa kakubali masharti ya Hamasi 😄

Msada utaingia Gaza, haruhusiwi kurusha hata ndege zile za kuspy, awachie wanawake na watoto 100 na Hamasi wawachie 50.

Tuliwambia Israel atakimbia Gaza kiko wapi sasa mlio kuwa mnabisha, oh hakuna kusimamisha vita mpaa Hamasi wawachie matekwa wote na wasarende 😄

Chezea kipigo walicho chezea toka siku nne za nyuma, kuku ni kuku tu hawezi kuwa simba
Mhitimu wa Madrassa ya Mbagala kwa Mpalange katika ubora wako.

Somesha watoto wako Elmu Dunia ili wasifanane na wewe
 
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Pole sana aiseeee! Andiko la kukata tamaa sana.
 
Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa
Huyu anatafutwa muda mrefu sana, akitia mguu tu kaisha.
Anaijua hiyo !!
 
Nchi za kiislamu kwa umoja zikiandaa jeshi na kutangaza kuwanusuru wapalestina, Marekani itafikiri mara mbilimbili. Marekani na Uingereza kuingia vitani siyo process rahisi, inahitaji kuwainvolve raia, maana hiyo siyo vita ndogo. Na raia wa nchi hizo hawatokubali kwenda kufa kutetea Taifa la Israel linalochinja watoto!.

Sasa hivi Marekani ja Uingereza zimefanikiwa divide and rule ktk nchi za Kiislamu na hivyo basi hizi nchi haziwezi kuwa pamoja!
 
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Bila hai,gaza na west bank zisingekuwepo..Hamas anatoa wapi nguvu ya kupambana!?
 
Back
Top Bottom