inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,127
- 18,468
Iran mwenyewe hajafanya Kama houthi japo ni proxy yake,huwezi ingiza nchi vitani wakati unasaka maendeleo ya kiuchumi na kijamii,ni heri utumie proxy au msaada mwingine,nadhani hakuna nchi inayotoa hela nyingi kwenda Palestine kuzidi saudiaKwa hadhi yake mbele ya Palestina Hakukutakiwa tamko.Kilichotakiwa ni vitendo kama vya Houth