Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Kumefanyika mkutano wa amani leo hii ambapo Israel imeukacha. Mkutano huu chini ya UN umeshirikisha viongozi mbalimbali ktk nchi zilizopo katika eneo la mashariki ya kati, maofisa kutoka serikali kadhaa za kimagharibi na viongpzi wa Palestin.
Katika mkutano huu Katibu wa UN ameendelea kusiaitiza kuwa sululisho pekee la mgogoro huu ni ' two-stqte solution', suala amabalo serikali ya Israel imeendelea kulipinga kwa musa mrefu.
Hii solution inapendekeza na kutambua uwepo mataofa yote mawili ndani ya mipaka yake yakiwa na mamlaka kamili ikowemo Ulinzi.
Israel imekuwa ikipinga hili suala na inahofia sana Palestina kuwa na mamlaka yake (sovereignty) yqtakayoiruhusu kuunda jeshi lake halali.
More:
A peace summit to de-escalate the conflict between Hamas and Israel has kicked off in Cairo, Egypt. The gathering involves dozens of top regional and Western officials, including the leaders of Qatar, the Palestinian Authority, Jordan, and the UAE, as well as UN Secretary-General Antonio Guterres. Israeli officials are not attending the summit.
Guterres is expected to say that while seeking to end the bloodshed the summit’s participants “cannot lose sight of the only realistic foundation for a true peace and stability: a two-state solution,” according to a UN spokesperson.
Katika mkutano huu Katibu wa UN ameendelea kusiaitiza kuwa sululisho pekee la mgogoro huu ni ' two-stqte solution', suala amabalo serikali ya Israel imeendelea kulipinga kwa musa mrefu.
Hii solution inapendekeza na kutambua uwepo mataofa yote mawili ndani ya mipaka yake yakiwa na mamlaka kamili ikowemo Ulinzi.
Israel imekuwa ikipinga hili suala na inahofia sana Palestina kuwa na mamlaka yake (sovereignty) yqtakayoiruhusu kuunda jeshi lake halali.
More:
A peace summit to de-escalate the conflict between Hamas and Israel has kicked off in Cairo, Egypt. The gathering involves dozens of top regional and Western officials, including the leaders of Qatar, the Palestinian Authority, Jordan, and the UAE, as well as UN Secretary-General Antonio Guterres. Israeli officials are not attending the summit.
Guterres is expected to say that while seeking to end the bloodshed the summit’s participants “cannot lose sight of the only realistic foundation for a true peace and stability: a two-state solution,” according to a UN spokesperson.