ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Mhhhhhh! haya bwana!Watu wanapenda presha za maisha kila la heri aliyemuoa
Mhhhhhh! haya bwana!Watu wanapenda presha za maisha kila la heri aliyemuoa
Kuolewa bahati......? I thought ni maamuzi.hongera yake-si wasichana wote wanabahatika kuolewa
hongera yamebaki madunga yembe yanazagaa
Asingepaka, asingeolewa.
hongera yamebaki madunga yembe yanazagaa
Kwa sisi tunaofuatilia magazeti ya udaku huyu dada zaidi ya kasoro ya kujikoboa ni wife material. Hanaga makashfa ya ukicheche.
jamani jana nimemcheki huyu mama kwenye kipindi chake,yani ngozi yake inataka kutoboka,ukimfinya nadhani utaondoka na ngozi, aliye
na ukaribu nae amshauri jamani. sijui anatumia jiki?