babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,130
- 16,040
Wavivu tu wala urojo hao.
Hangaya atawapa posho za mkopo wetu.
Hangaya atawapa posho za mkopo wetu.
Kunywa sumu ufe!Zanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini
Mkuu imani za kidini huwa zina athari ya kiutamaduni kwa watu waliokuwa wengi na kuishi kwa pamoja. Nafikiri siku zote kundi kubwa la kijamii la waliokuwa wengi hupewa heshima ijapokuwa kundi dogo nalo huthaminiwa.Mtangaze tu kuwa zanzibar ni islamic state
Marufuku kutembea bila hijab
Marufuku wanawake kuendesha magari
Vilevi viwe na kibaki maalumu
Marufuku kufuga nguruwe nchini humo isipokuwa kwa ajili ya utafiti n.k
Huku bara nako kuna mchakato wa Magufuli DayMambo ya kijinga kabisa haya. Badala waongeze siku za kufanya kazi wanazipunguza. Hata kwa madawa na chakula tu hawajitoshelezi halafu bado wanataka wale bata.
Unaonaje tukaiondosha tarehe mosi January?? Ilituwe twawajibika makazini??Mambo ya kijinga kabisa haya. Badala waongeze siku za kufanya kazi wanazipunguza. Hata kwa madawa na chakula tu hawajitoshelezi halafu bado wanataka wale bata.
MashaaAllahHatimae Rais wa Zanzibar amepitimiza ahadi yake aliyotoa HIVI karibu wakati WA hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislam HIJRIYYA Kwamba Serikali imo katika mchakato wakuifany Siku ya Mwaka mpya wa Kiislam kuwa siku ya mapumziko Sawa na mwaka mpya wa Miladiya
Akitangaza Leo tarehe 5/8 katika Msikiti Quba uliopo Kwa Boko mjini hapa ametangaza Rasimi kwamba Serikali imeridhia kuifanya siku hiyo kuwa na ya Mapumziko kama ulivyo Ile ya Miladia ambapo siku ya tarehe mosi ya kila mwaka NI Mapumziko
Hivyo Rasmin kila tareha 1 MUHARRAM ya kila mwaka itakua ni siku ya Mapumziko
HONGERA DR MWINYI
HONGERA OFISI YA MUFTI
HONGERA WAZANZIBARI
Kinakuuma nini wakati Sisi ndio tunalipa Kodi wewe deal na TANDAHIMBA huku mambo ya baghani tuachilie wenyeweZanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini
Hatar sana 😁Zanzibar ni nchi kamili yenye maamuzi yake tuache makasiriko.
Watu ni wajinga sanaUnaonaje tukaiondosha tarehe mosi January?? Ilituwe twawajibika makazini??
Kwani Tanganyika c inatawaliwa kikristo au VP? Vile balozi WA Vatican ameshaondoka au yupo??Mtangaze tu kuwa zanzibar ni islamic state
Marufuku kutembea bila hijab
Marufuku wanawake kuendesha magari
Vilevi viwe na kibaki maalumu
Marufuku kufuga nguruwe nchini humo isipokuwa kwa ajili ya utafiti n.k
Bara kaa wewe Nani alikwambia ana hamu KUISHI uwanja WA fisi??Mtu alie mshauri amemshauri ili amwingize mwenzake huku chaka maana ni mshabiki wa habari hizo au ameamua kujilipua maana mwisho wa uongoz wake utakuwa zanzibar bara ataisikia ktk ndoto kwa maamuz amefanya.
Waovyo kuliko lile JIWE lenu ? Katik uongoz wanchi hii wanaofanya vizur NI wale waliostarabika NAO watakuwa Waislamu na khasa wakutoka ZANZIBAR kubali kataa huo ndio ukweliHalafu huyu Hussein Mwinyi sikujuaga ni mtu wa hovyo kiasi hiki.
Ijumaa kuu, jumatatu ya pasaka, kris mas boxing day. Mbona huku ndio wanapenda kupumzika? J3 ya pasaka na boxing day ni upuuziMasikini ndivyo mara nyingi walivyo.Wanapenda muda mwingi wakae bila kazi.Ndiyo maana umasikini hauwatoki.
Zanzibar wanakaunyanyapaa fulaninkwa ukristo na wakristo eeh!!?. But haina shida chaguzi zikifika polisi buti za polisi huwa zinakanyaga mpk misikitini.Zanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini
Iyo namba 3 ina ukweli? Mbona makanisa yapo na yanaendelea?Zanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini
Hapana sio kweli Makanisa yapo na mengine yanajengwa. Mwezi uliopita kulikuwa na mkutano mkubwa wa Injili na wahubiri walitoka Marekani. Mkutano ulifanyika kwenye viwanja vya Amani na mgeni rasmi aliofungua huo mkutano ni mkuu wa Wilaya.Iyo namba 3 ina ukweli? Mbona makanisa yapo na yanaendelea?
Hizo ndio gharama za kulazimisha Muungano, mtajilipa wenyewe.Mainlanders will cover their expenses kwani walisha maliza kutulipa deni la umeme?