Kwenye siku 365na saa 6 za mwaka, umeona hizo saa 24, ndiyo zitaongeza umasikini?Masikini ndivyo mara nyingi walivyo.Wanapenda muda mwingi wakae bila kazi.Ndiyo maana umasikini hauwatoki.
Kwenye siku 365na saa 6 za mwaka, umeona hizo saa 24, ndiyo zitaongeza umasikini?Masikini ndivyo mara nyingi walivyo.Wanapenda muda mwingi wakae bila kazi.Ndiyo maana umasikini hauwatoki.
Mambo ya kijinga kabisa haya. Badala waongeze siku za kufanya kazi wanazipunguza. Hata kwa madawa na chakula tu hawajitoshelezi halafu bado wanataka wale bata.
Tatizo ni kuwa hiyo siku ya mwaka mpya wa kiislamu nayo sio fixed kama Januari mosi. Siku ya mwaka mpya nayo inategemea kuonekana kwa mwezi. Ina maana haijulikani mwakani itakuwa tarehe ngapi na mwaka unaofuata tarehe ngapi. Lazima Mufti atangaze kila mwaka.Hatimae Rais wa Zanzibar amepitimiza ahadi yake aliyotoa HIVI karibu wakati WA hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislam HIJRIYYA Kwamba Serikali imo katika mchakato wakuifany Siku ya Mwaka mpya wa Kiislam kuwa siku ya mapumziko Sawa na mwaka mpya wa Miladiya
Akitangaza Leo tarehe 5/8 katika Msikiti Quba uliopo Kwa Boko mjini hapa ametangaza Rasimi kwamba Serikali imeridhia kuifanya siku hiyo kuwa na ya Mapumziko kama ulivyo Ile ya Miladia ambapo siku ya tarehe mosi ya kila mwaka NI Mapumziko
Hivyo Rasmin kila tareha 1 MUHARRAM ya kila mwaka itakua ni siku ya Mapumziko
HONGERA DR MWINYI
HONGERA OFISI YA MUFTI
HONGERA WAZANZIBARI
Foreign services ni jambo la muunganoTunatwaliwa na Rais kutoka nchi nyingine!?
Haitakiwi kujengwa mapyaIyo namba 3 ina ukweli? Mbona makanisa yapo na yanaendelea?
Zanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini
Takhbiiiiiiirrrr !!Hatimae Rais wa Zanzibar amepitimiza ahadi yake aliyotoa HIVI karibu wakati WA hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislam HIJRIYYA Kwamba Serikali imo katika mchakato wakuifany Siku ya Mwaka mpya wa Kiislam kuwa siku ya mapumziko Sawa na mwaka mpya wa Miladiya
Akitangaza Leo tarehe 5/8 katika Msikiti Quba uliopo Kwa Boko mjini hapa ametangaza Rasimi kwamba Serikali imeridhia kuifanya siku hiyo kuwa na ya Mapumziko kama ulivyo Ile ya Miladia ambapo siku ya tarehe mosi ya kila mwaka NI Mapumziko
Hivyo Rasmin kila tareha 1 MUHARRAM ya kila mwaka itakua ni siku ya Mapumziko
HONGERA DR MWINYI
HONGERA OFISI YA MUFTI
HONGERA WAZANZIBARI
Kuna ttzo gn mbona kuandama kwamwezi yote 12 kunatangazwa na Mufti kama hufahamu Hilo pia ujuwe ZANZIBAR NI miongonj mwa Nchi chache zenye vyombo vya kisas vya kuangalia muandamo WA mweziTatizo ni kuwa hiyo siku ya mwaka mpya wa kiislamu nayo sio fixed kama Januari mosi. Siku ya mwaka mpya nayo inategemea kuonekana kwa mwezi. Ina maana haijulikani mwakani itakuwa tarehe ngapi na mwaka unaofuata tarehe ngapi. Lazima Mufti atangaze kila mwaka.
Iran kuna balozi wa Vatican nao wanatawaliwa na Vatican?Kwani Tanganyika c inatawaliwa kikristo au VP? Vile balozi WA Vatican ameshaondoka au yupo??
KAZI zote za maguvu toka asili Zanzibar zinadanywa na Watanganyika methali ya MZIGO MZITO MPE MNYAMWEZI inaakisi ukweli huo kwamba Watanganyika NI WATUMWA wetu toka asiliAsiyeijua vizuri Zanzibar ni kwamba hii ni nchi ya kiarabu sema tu Tanganyika ndiye inamlazimisha na hii nchi ni full bata, yaani hakuna sikukuu ndogo hasa hapa Unguja ni full shangwe, raha sana.
Mzee baba, mzee wa uchumi wa buluu nampa maana anajua Zanzibar hakuna kazi nyingi kama bara so muda mwingi wananchi wale bata tu, ahahahaaa...
Vatican NI mamlaka ya kikristo Balozi WA Vatican NI mwakikishi WA Papa kuwa nae mtu wa Aina hiyo haitaki tochi kwamba kabisa NI sehemu ya SerikaliIran kuna balozi wa Vatican nao wanatawaliwa na Vatican?