Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Upande mmoja wa Tanzania sasa ni rasmi mwaka mpya wa Dini fulani itakuwa ni siku ya mapumziko.
Sasa basi, kama imeweza kuwa hivyo ndani ya Tanzania, kwa nini TEC na Jumuiya ya Kikristu wasidai mapumziko nao siku ya mwaka mpya wa Kikristu?!
Kanisa la Roma kwa mfano, linao mwaka mpya wa Kanisa na ni muhimu sasa nanyi mdai mapumziko siku lile.
Bwana Yesu Asifiwe!
Mwanakondoo ameshinda!
Tumsifu Yesu Kristu!
Nawasilisha.
Sasa basi, kama imeweza kuwa hivyo ndani ya Tanzania, kwa nini TEC na Jumuiya ya Kikristu wasidai mapumziko nao siku ya mwaka mpya wa Kikristu?!
Kanisa la Roma kwa mfano, linao mwaka mpya wa Kanisa na ni muhimu sasa nanyi mdai mapumziko siku lile.
Bwana Yesu Asifiwe!
Mwanakondoo ameshinda!
Tumsifu Yesu Kristu!
Nawasilisha.