Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,755
- 218,373
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , akitambua kwamba leo ni Mwaka Mpya wa Kiislam , huku Nchini Zanzibar ikiwa ni siku ya Mapumziko amewakumbuka ndugu zake Waislam
Freeman Mbowe ambaye anajulikana huko Pemba kwa jina la Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu hizo za heri na Baraka kwa Waislam , huku akiwataka Waislam kutenda mambo mema kama alivyoagiza Allah Subhannah .
Ujumbe wake mfupi huu hapa
Freeman Mbowe ambaye anajulikana huko Pemba kwa jina la Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu hizo za heri na Baraka kwa Waislam , huku akiwataka Waislam kutenda mambo mema kama alivyoagiza Allah Subhannah .
Ujumbe wake mfupi huu hapa