johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,024
Ofisi ya Mufti iliomba Serikalini Siku ya Mwaka Mpya wa Kiislamu iwe Mapumziko ya kitaifa
Ombi hilo limekubaliwa na Serikali hivyo kuanzia sasa Siku ya Mwaka Mpya wa Kiislamu ni Mapumziko
Source: Zanzibar
Ombi hilo limekubaliwa na Serikali hivyo kuanzia sasa Siku ya Mwaka Mpya wa Kiislamu ni Mapumziko
Source: Zanzibar