Watangananyika shughulikieni ya kwenu yetu hamtoyawezaZanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini