Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Mkae mkijua hata hizi fine za barabarani za uonevu ni sehemu ya mapato ya tra ndio maana awamu hii zimezidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikubwa Ni kulipa Kodi ipasavyo ili lawama za kubambikiwa viporo zisiwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu hulali kwa faida ya wanasiasa na mtatumikishwa sana nyau nyie unavyojitapa kujenga barabara utazani nchi nzima kila kijiji kina lami.Nonsense..... Kwann Watanzania hatupendi kulipa kodi? Afu ni lini TRA walitunga sheria za kodi? Wakulaumiwa ni BUNGE wao hutunga then TRA hufata. Tuache lawaza bhana watu hatulali kukusanya pesa ili mpate hizo barabara na shule lakini kuna kundi la watu huona kama hakuna kifanyikacho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamhemko tulia kwanza.Jaribu kuelewa kilichoandikwa kwanza ndipo utoe maoni yako. Ni wapi palipoandikwa kuwa watu wasilipe kodi?
Hahhaaaa dah mzee unajua unachokiongea kweli au unatafuta majibu aisee??
Ingekuwa kuna limit ya madeni, walahi JPM asingebeba mzigo wa tangia enzi za mwalimu, Mzee Ruksa na Bw. Ben achilia mbali JK...
Deni halifi baba na hata kurithi linarithi, au hujaona mtu anakopa benki kaweka nyumba/kiwanja rehani, akifa hata kama mali ilishaenda kwa watoto wenye chao wakija wanaibeba??
Dawa ya deni ni kulipa tuuu, labda mdeni wako akuonee huruma na kukusamehe ndio linaisha
Kibwengo ndiyo nini eti?Samahani; wewe ni kibwengo? Nauliza hivi kwa kuwa neno mhemko halistahili hivyo ulivyotumia.
Kufunga biashara bila kulipa madeni yote, ikiwemo kodi sio rahisi. Jaribuni kuitazama vema sheria husika (ya kipindi hicho), je inaruhusu TRA kufanya wanachofanya licha ya tax audits? Kama sivyo peleka shauri mahakama ya kodi.
Kumbuka kuwa mamlaka ya kutoza kodi ni hatari kutumika vibaya na kinyume cha sheria, kama huridhiki ni bora kufuata taratibu ili haki ionekane. Usiumize kichwa kama upo sawia kwa miamala yako na taarifa zako za kodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako mleta mada hutaki kuheshimu maoni ya wengine. Unataka kila mtu awe na mtazamo wako. Sasa kama unajua kila kitu unalalamika nini si utumie ujuaji kutatua hilo tatizo?
Kila kitu kina taratibu zake. Mimi nilipewa tax bill ya ajabu. Nilikaa nao tukaongea,tukagombana tukaelewana na tukafikia kiwango ambacho niliafiki na ninakilipa kwa awamu.
Nilivyokusoma unasema anaedaiwa ni mteja wako ina maana wewe ni auditor wake au mhasibu unajua tatizo liko wapi. Mara nyingine nyinyi ndio msingi wa matatizo ya Kodi ya wafanyabiashara wengi.
Kama nibunge sibunge LA ccm naserikali yake?au hujaelewaNonsense..... Kwann Watanzania hatupendi kulipa kodi? Afu ni lini TRA walitunga sheria za kodi? Wakulaumiwa ni BUNGE wao hutunga then TRA hufata. Tuache lawaza bhana watu hatulali kukusanya pesa ili mpate hizo barabara na shule lakini kuna kundi la watu huona kama hakuna kifanyikacho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu yako mwanzo wa thread ni kama mipasho. At least mimi umenijibu vizuri. Hata ulivyoandika thread ni kama unawapa mipasho watu fulani ndio maana kuna misemo kama 'mnalo hilo' misemo hio na thread sensitive kama hii haiendani. Labda ndio maana pamoja na uzito wake kuna michango michache na hio michache mingi ni majibu yako makaliI hope unajua implications ya ulichokiandika hapa. Na kamwe silazimishi mtu yeyote yule awe na mtazamo mmoja na mimi. Ninajua first hand na exactly normal tax procedures na regulations, najua pitfalls na weaknesses zilizopo kwa wafanyabiashara na tax collectors. (Nilishawahi kulaumiwa na Regional Manager wa TRA mkoa fulani kwa kuelimisha wafanyabiashara akidai kwa kufanya nilichofanya nilikuwa "naipunguzia serikali mapato")
Nilichofanya hapa ni kutangazia watu (read wafanyabiashara) wajue nini kinaweza kuwatokea ili wajipange. Sio lazima mtu aamini au akubaliane na ninayoyaandika hapa (fuatilia michango yangu hapa na ukiwa impartial utaelewa huwa nachangia nini).
Majibu yako mwanzo wa thread ni kama mipasho. At least mimi umenijibu vizuri. Hata ulivyoandika thread ni kama unawapa mipasho watu fulani ndio maana kuna misemo kama 'mnalo hilo' misemo hio na thread sensitive kama hii haiendani. Labda ndio maana pamoja na uzito wake kuna michango michache na hio michache mingi ni majibu yako makali
Siku njemaUkisema "ni kama" ina maana hilo jambo ni subjective. Anyone is free to read whatever they want to read.
For the records; I don't believe in being politically correct. I believe in truth as I see it.
Whatever the language or idioms used.
The nonsensical ni kwamba kampuni yake ya ujenzi inajenga kila sehemu na hailipi kodi.Nonsense..... Kwann Watanzania hatupendi kulipa kodi? Afu ni lini TRA walitunga sheria za kodi? Wakulaumiwa ni BUNGE wao hutunga then TRA hufata. Tuache lawaza bhana watu hatulali kukusanya pesa ili mpate hizo barabara na shule lakini kuna kundi la watu huona kama hakuna kifanyikacho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku njema