Kufunga biashara bila kulipa madeni yote, ikiwemo kodi sio rahisi. Jaribuni kuitazama vema sheria husika (ya kipindi hicho), je inaruhusu TRA kufanya wanachofanya licha ya tax audits? Kama sivyo peleka shauri mahakama ya kodi.Am sorry; but you have written here like an idiot. Mtu ana tax clearance kwa miaka yote hiyo utasemaje kuwa hakuwa analipa kodi? Acheni upumbavu wenu; nchi imeshawashinda.
Simple; nimemshauri mteja afunge kampuni. Mtamfanya nini sasa? Hata provisional tax yake (na huwa analipa minimum ya 15m) hatalipa akifunga biashara.
Kumbuka kuwa mamlaka ya kutoza kodi ni hatari kutumika vibaya na kinyume cha sheria, kama huridhiki ni bora kufuata taratibu ili haki ionekane. Usiumize kichwa kama upo sawia kwa miamala yako na taarifa zako za kodi.
Sent using Jamii Forums mobile app

