Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Serikali kupitia TRA wanawapa wafanyabiashara tax demand notes za miaka ya nyuma mno. Nimeona kwa macho yangu mtu "anadaiwa" kodi (na kuongezewa riba na adhabu juu) kuanzia alipofungua kampuni 2006.
Nchi hii inaelekea kubaya zaidi ya Zimbabwe ya Mugabe.
Nchi hii inaelekea kubaya zaidi ya Zimbabwe ya Mugabe.