Sasa ni rasmi: Serikali Imeishiwa

Sasa ni rasmi: Serikali Imeishiwa

Sasa Kama hawakulipa shida iko wapi. Dawa ya Deni kulipa tu hakuna kingine. Nilifikiri labda wamebambikiwa hizo Kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..!! Dawa ya deni kulipa, ni kweli.... hayo maneno yaseme huku ukiwaza..
1. Walimu ya madeni yao yamelipwa? Au uhakiki unaendelea FOREVER..??
2. Wazee wa iliyokuwa EAST AFRICA wamelipwa..???
3. Yule mkulima wa kukamata ndege ameshalipwa..??

Etc
 
Kwa hili napinga ni uonevu na kuwapendelea wengine. Inabidi notes demand ziende tangu sheria ya kulipa kodi ilipoanza ndani ya Jamhuri ya Muungano. Mi napendekeza TRA watoe notes demands za kuanzia mwaka 1961 tulipopata Uhuru. Mbona Bodi ya Mikopo wanadai tangu 1992 Sheria ya Mikopo ilipoanzishwa? TRA waache uvivu. Wafukue mafaili!
 
Nonsense..... Kwann Watanzania hatupendi kulipa kodi? Afu ni lini TRA walitunga sheria za kodi? Wakulaumiwa ni BUNGE wao hutunga then TRA hufata. Tuache lawaza bhana watu hatulali kukusanya pesa ili mpate hizo barabara na shule lakini kuna kundi la watu huona kama hakuna kifanyikacho.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiisha mwezi huu (na jitahidini mkusanye kodi 24/7) uje utuambie mlichokusanya. Mkiweza kufikisha 40% ya makusanyo ya VAT, SDL na PAYE kulinganisha na yale ya March mwaka huu fanyeni sherehe za kujipongeza.
 
Back
Top Bottom