Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Haya sasa JF members kwa wale watundu wa mambo kwa uandishi huu unahisi huyu atakua ni nani? Kwa kusoma hio trend na aina yake ya uandishi unahisi atakua ni nani hasa huyu kati ya hawa? Paloma lara 1 Mamndenyi Aine sweetlady tinna cute kyanakomuhaya ICHANA angelicious

au wale Ma-sister doo wa Jukwaaa la mambo ya Kikubwa???? Lazima ni mmoja kati ya hao. Good day ngoja nifanye kazi sasa

nikalipisheni na mimi jukwa la wakubwa, nakutamani sana
 
Last edited by a moderator:
chagu muandika maelezo atawezaje kufanya hayo, hata rpc hawezi. maana nyumba nzima kwa dar sehemu za wahindi sio chini ya laki 4 kwa mwezi anawezaje na kukulipia vyote angali mshahara wake haufiki laki 4.
 
Mambo mengi yaliyoelezwa humu ni yakufikirika, mfano Mhindi kukukanda wakati mke wake yupo hili haliwezekani. Muingiliano wa matukio yote mpaka mwisho inaonesha wazi kua ni stori ya kutunga. Ushauri endeleza kipaji chako cha utunzi maana ni mtunzi mzuri sana.
 
Haya sasa JF members kwa wale watundu wa mambo kwa uandishi huu unahisi huyu atakua ni nani? Kwa kusoma hio trend na aina yake ya uandishi unahisi atakua ni nani hasa huyu kati ya hawa? Paloma lara 1 Mamndenyi Aine sweetlady tinna cute kyanakomuhaya ICHANA angelicious

au wale Ma-sister doo wa Jukwaaa la mambo ya Kikubwa???? Lazima ni mmoja kati ya hao. Good day ngoja nifanye kazi sasa

ha ha ha ha umetumia vigezo gani kuhisi ni sisi..wewe mpe ushauri
 
Hebu malizia huko amaa......!!!
Story yenyewe tamu namna hii unashindwaje kuimaliza?
Malizia utoe ushauri kwa mwanamke mwenzio

ni tamu kweli nipe mda ntarudi ....
 
nimesoma ila sijaelewa ngoja nijitahiidi kuelewa japo kidogo
asante kwa kuniita hapa

Duh, kila mtu akieleza historia yake JF itajaa au itageuka bahari ya Machozi na jamvi la furaha kwa baadhi na vilio kwa wengi. Nimegundua vitu vifuatavyo;
  1. Huna msimamo wa maisha yako
  2. wewe ni mtu wa kupenda kufurahisha wengine
  3. Unatumia umaskini wako kukubali wengine wakuchezeee
  4. Unautumia uzuri wako kupata maisha
  5. Umeishi na Authorized Jambazi ( maana kwa mshahara wa askari) kukupangia nyumba, fenicha, kukulisha na kukunywesha na laptop na Android, its quite impossible, kwahio kumbe tukikamatwa na askari pesa anakuletea wewe
  6. Umri wako umesonga sana na sasa umeamua liwalo na liwe, you wanted to live your life lakini imegoma

Kwahio Fanya haya yafuatayo

  1. Tunza na lea mimba yako, you never know pengine ndio mkombozi wako huyo
  2. Hama eneo hilo kwa kumshirikisha huyo aliekufanya
  3. Jishushe ishi maisha ya kawaida upate kazi iwayo yote ile
  4. Jipange upya tena na usitumie mwili wako kama silaha
  5. Raha ya dakika moja/kukata network huwa maumivu yake ni marefu zaidi na pengine yakabaki maisha
  6. Jiaminishe kuwa it is never too late to mend
  7. Uzuri wako uliobaki utumie kujenga future yako, nashawishika kuamini kuwa you can still make it
  8. Inaonekana una uelewa mkubwa sana na maisha na hata IQ yako iko juu, itumie kubuni miradi mungine mbali na hio ya kuuza mwili
  9. Huna haja ya kujiita majina yanayo portray huzuni yako, jipe majina ambayo uliwahi kuyasikia au kuyatumia majina mazuri kama ladyfurahia Paloma Aine tinna cute Angel Nylon Madame B lara 1 sasa unajiita Sadlady ili iweje? Njia mojawapo ya ku-overcome haya ni kukubali yaliyotokea na ku-mvove on, just say I am stronger than Yesterday, then move forward
Tuyaache hayo tugeukie upande mwingine sasa, nimependa sana Ujasiri wako ila kwa hali hii ulioiandika hapa inaonekana "performance" yako ni ndogo sana uwapo uwanjani maana hukuandika kuwa kuna mahali ulijituma zaidi ya kuusifia upande pinzani tu......Utamsifiaje Mchazaji mwenzio? Jisifie na wewe kuwa hata kama "amenikama" lakini kwa jasho nimemtoa!! Si ndio raha ya mechi??

Ninaamini wewe ninakufahamu ila Privacy yetu naomba iendelee lakini Wallah wewe nakufahamu ngoja tuhamie kwenye PM naweza pata a strike here!!!!!

Wewew ni Jasiri sana, I like it
 
u F..............


akapata safari, sijui alikwenda wapi kwa wiki tatu, cha ajabu those weeks akawa na ubinaadam wa ajabu, anachat na kupiga cm na kuongwea sweet things kama zamani. nikashukuru mola njagu wangu mashetwani yamemkimbia. akaniambia the way anavyonimiss, akaniambia soon atakuja. wiki tatu nikamngojea kwa ham nikajua probably atanifanyia kama zamani niinjoi tena. but within the time hayupo nikawa nimepata fans wengi fb na humu mmu tukawa tunachat sms down night tena kwa cm na namba nyingine kabisaa. but all ilikuwa ni kutafuta refreshment to kujipoza na kipigo cha njagu.

siku moja baada ya kuongea naye akasema atakuja baada ya siku tatu, nikawa nachat sms na fans tu wa fb kwenye cm hata hatujuani bac tu. ngafla mlango unafunguliwa ilikuwa kama saa mbili usiku anaingia njagu. je nikamwambia baby upo si ulisema after three days ndo unarudi, hakunijibu direct akanipokonya cm na kukodolea sms. wandugu mnajua kupigwa nilinyukwa aisee nikaponyoka na kutimkia kwa yule mjumbe wa nyumba zetu. na yeye akawasha gari na kuondoka zake. yule mjumbe akamwita mwanae mkubwa ambaye alikaa mbali na hapo. yule mwanae akaja na mkewe. wakaongea mara kiingereza mara kikwao. mazungumzo yao ilionekana kama wameshapanga siku nyingi, kwanini yule mwanaume anipige kila siku na kuwatishia wao, yule kijana akasema kama hela wao wanazo zaidi, watafikishana mbali sana hakuna kutishiana.. basi jioni hiyo wakasema kama nikilala hapo anaweza kuja tena wakanichukua yule mtoto mkubwa wa yule mzee mhindi wakanipeleka kwao ili kesho wote twende kwa balozi liwalo na liwe. kule kwa yeye na mke wake wakanihudumia vizuri sana, wakanipa dawa za maumivu, nikaoga wakanitandikia godoro chini. basi yeye na mke wake wakawa wakininurse majeraha kidogo kwa kweli kwa huduma zao maumivu yalikoma lakini nilitamani tu waendelee kunihudumia hivyo nikawa naendelea kudeka kwa kujiliza liza ili wawe sympathies zaid.

mkewe alionekana kuchoka sana akaenda jikoni akaleta maji ya moyo, beseni na taulo, mumewe akawa ananikanda uso.. mkewe akaelekea chumbani najua alilala kwa maana alionekana kusinziasinzia.

yule mume waka akanikandakanda polepole usoni , shingoni kifuani kwa juu aisee nikaanza kusikia raha raha nikafumba macho nikijilizaliza, yule baba akaniambia 'would you mind if i open this chest..!' nikamjibu nikilialia 'its ok" he akaenelea kunikanda akifungua kifua huyoo mwisho akakifungua kabisa.. my-god.. nikawa nafungua macho nikijilizaliza namwangalia kwa uchu anavyokodole matiti, he akaanza kuyakanda.. mie sikwambii ilikuwaje.. wiki tatu nina usongo na njagu wangu anafika anakushushia kipondo kisha anatokea mwanaume mwingine anakunanihii.. mwache baba wa watu aendelee mwache... kweli akaendelea, huyo tumboni kwa sababu nilipiga kanga moja tu. akaniambia nigeuke nilale kifudifudi. nikageuka huku nikiendelea kujiliza.


inaendlea G....
ya mwisho

duuuuuuuh
! Patamu hapoo
 
Ushauri .. Ah.. Ushauri nadhani time will tell.. Acha tu liwalo Na liwe sometime Kwenye maisha mambo yakikorogana hapana kupanic yaache tu yatajiseti yenyewe.. Wez Jua.. Ila OKOKA uombe sana Mungu atakusamehe Na kukuepushia Njia mbaya..
 
Kama kweli bado yuko karibu yako kitu cha kwanza ongea naye uwe na simu yenye uwezo wa kurekodi mpige picha akiwa uchi kitandani na wewe na jitahidi mrekodi wakati mnafanya.

suala lingine nenda waone wanasheria pasipo yeye kumwambia upate ushauri mzuri wa kisheria bila yeye kujua kwanza halafu baada ya hapo mwambie uko na ujauzito wake kwahiyo itabidi autunze.

Mbali na hilo kwa nia njema kabisa mwambie akupatie mtaji ufanye biashara kwa vile ulishakaa dukani tayari unajua namna ya kuzungusha ili uendeshe maisha yako mwenyewe kama akikuletea ujinga mletee upumbavu lisanue kweli kweli siku hizi wasaidizi wa sheria na haki za wanawake ni wengi hata ukitaka kumuona waziri wa maendeleo ya jamii na jinsia inawezekana lakini mzuri zaidi ni naibu wake kama likifika hatua hizo unaweza ni pm nikakusaidia namna ya kumfikia naibu waziri hatuwezi kufumbia macho uonevu wa namna hii.

kwanza tumia njia ya kistarabu kama nilivyokuambia akileta ujinga tu mletee upumbavu usiache manyaso mwisho haki itapatika tena atajuta kuonja tamu yako.

From that Day sina kabisa mawasiliano wala Contact Na Mhindi. Nilijua from that day probably angenitafuta lakini wala. That happen Kama Ajali. HATA akija kumwona baba Yake he never bother to ask Even hi 2 say hi Kwa mie apa, everything happen Kama nightmare flan.
 
Mambo mengi yaliyoelezwa humu ni yakufikirika, mfano Mhindi kukukanda wakati mke wake yupo hili haliwezekani. Muingiliano wa matukio yote mpaka mwisho inaonesha wazi kua ni stori ya kutunga. Ushauri endeleza kipaji chako cha utunzi maana ni mtunzi mzuri sana.

Asante pia lakini HATA ya kutunga unayosemea Wewe haina ushauri? Shauri Basi Kwa lolote..
 
chagu muandika maelezo atawezaje kufanya hayo, hata rpc hawezi. maana nyumba nzima kwa dar sehemu za wahindi sio chini ya laki 4 kwa mwezi anawezaje na kukulipia vyote angali mshahara wake haufiki laki 4.

Sipendi kueleza zaidi lakini nadhani mwenzangu kidogo hujui Chochote Kuhusu idara hizi.. HATA Mimi nilikuwa nawaza how come Mtu ambaye HATA salary slip zake sio mshahara kivile lakini JAMBO usilolijua liache tu..

Sisemi njagu wangu Ni system-maker Sijui sana ila kifupi wachunguzi (wapepelezi) wa kitengo Kama Cha mihadarati Hakuna ambaye sio milionea. Wana utajiri wa Kutisha .. Lala tu Wewe ..
 
Nimepitia ushauri an comment zote zote humu. Nashukuru sana lakini Bado hasa ile Hoja ya Hofu yangu hapana ALIYE nisaidia. Ishu sio maisha Nina Elimu HATA Kama Vyeti vimeshapigwa moto still naweza kuvitafuta upya Na sidhani Kama naweza kosa KaZi sehemu yoyote humu Kwa jiji.

Kuna Mtu kanishauri nimbane Muhindi anipe mtaji NASEMA hiyo haisumbui naweza kukianzisha a-z nikapata mtaji naotaka. HOFU yangu kubwa in uhai wangu njagu akigundua. Huyu jamaa Kwa Akili zake zilivyo Na digrii ya wivu sidhani Kama atashindwa Kufanya historia..

Nikisema nitoroke hapo huyu jamaa atanisaka popote, sometime Akili inanituma kuamini Kwamba anaweza Kuwa maarufu within Na without Tanzania. Mawazo ya Abortion yanasumbua, naogopa, yananiumiza lakini nadhani Ndo option kubwa inayoongoza.. Natishika MMU Hakuna Kweli mjuzi wa kunipa njia yoyote.!?
 
unamaanisha Abortion.. aiseee. naona wazo hili linakuja kuja sana.. ila hofu nayo inanizunguka sana sana manake mimba ya kwanza na ni kubwa tayari.. unadhani ni wazo zuri?

Kapime VVU kwanza


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ila kuna kitu nimekipenda kwako, genye ziko mkononi na unadata fasta.

Wee mkalishe njagu umweleze, huwezi jua anaweza kubali kulea mhindi. Kitanda hakizai haramu, ila wakati unamwambia uwe umeacha wosia.

On a serious note: Wahindi nao watamu? Veve penda sana piripiri au kachori, mimi iko sikia jaa.

Nimepitia ushauri an comment zote zote humu. Nashukuru sana lakini Bado hasa ile Hoja ya Hofu yangu hapana ALIYE nisaidia. Ishu sio maisha Nina Elimu HATA Kama Vyeti vimeshapigwa moto still naweza kuvitafuta upya Na sidhani Kama naweza kosa KaZi sehemu yoyote humu Kwa jiji.

Kuna Mtu kanishauri nimbane Muhindi anipe mtaji NASEMA hiyo haisumbui naweza kukianzisha a-z nikapata mtaji naotaka. HOFU yangu kubwa in uhai wangu njagu akigundua. Huyu jamaa Kwa Akili zake zilivyo Na digrii ya wivu sidhani Kama atashindwa Kufanya historia..

Nikisema nitoroke hapo huyu jamaa atanisaka popote, sometime Akili inanituma kuamini Kwamba anaweza Kuwa maarufu within Na without Tanzania. Mawazo ya Abortion yanasumbua, naogopa, yananiumiza lakini nadhani Ndo option kubwa inayoongoza.. Natishika MMU Hakuna Kweli mjuzi wa kunipa njia yoyote.!?
 
Back
Top Bottom