Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Kama kweli bado yuko karibu yako kitu cha kwanza ongea naye uwe na simu yenye uwezo wa kurekodi mpige picha akiwa uchi kitandani na wewe na jitahidi mrekodi wakati mnafanya.

suala lingine nenda waone wanasheria pasipo yeye kumwambia upate ushauri mzuri wa kisheria bila yeye kujua kwanza halafu baada ya hapo mwambie uko na ujauzito wake kwahiyo itabidi autunze.

Mbali na hilo kwa nia njema kabisa mwambie akupatie mtaji ufanye biashara kwa vile ulishakaa dukani tayari unajua namna ya kuzungusha ili uendeshe maisha yako mwenyewe kama akikuletea ujinga mletee upumbavu lisanue kweli kweli siku hizi wasaidizi wa sheria na haki za wanawake ni wengi hata ukitaka kumuona waziri wa maendeleo ya jamii na jinsia inawezekana lakini mzuri zaidi ni naibu wake kama likifika hatua hizo unaweza ni pm nikakusaidia namna ya kumfikia naibu waziri hatuwezi kufumbia macho uonevu wa namna hii.

kwanza tumia njia ya kistarabu kama nilivyokuambia akileta ujinga tu mletee upumbavu usiache manyaso mwisho haki itapatika tena atajuta kuonja tamu yako.
 
Kama kweli bado yuko karibu yako kitu cha kwanza ongea naye uwe na simu yenye uwezo wa kurekodi mpige picha akiwa uchi kitandani na wewe na jitahidi mrekodi wakati mnafanya.

suala lingine nenda waone wanasheria pasipo yeye kumwambia upate ushauri mzuri wa kisheria bila yeye kujua kwanza halafu baada ya hapo mwambie uko na ujauzito wake kwahiyo itabidi autunze.

Mbali na hilo kwa nia njema kabisa mwambie akupatie mtaji ufanye biashara kwa vile ulishakaa dukani tayari unajua namna ya kuzungusha ili uendeshe maisha yako mwenyewe kama akikuletea ujinga mletee upumbavu lisanue kweli kweli siku hizi wasaidizi wa sheria na haki za wanawake ni wengi hata ukitaka kumuona waziri wa maendeleo ya jamii na jinsia inawezekana lakini mzuri zaidi ni naibu wake kama likifika hatua hizo unaweza ni pm nikakusaidia namna ya kumfikia naibu waziri hatuwezi kufumbia macho uonevu wa namna hii.

kwanza tumia njia ya kistarabu kama nilivyokuambia akileta ujinga tu mletee upumbavu usiache manyaso mwisho haki itapatika tena atajuta kuonja tamu yako.

Unamzungumzia nani hapa mkuu? Mhindi au Njagu ?
 
Unamzungumzia nani hapa mkuu? Mhindi au Njagu ?
Mkuu nilikuwa sijamaliza kusoma andiko lake hata ushauri wangu naona hauna msaada kwa namna nilivyoshauri kwa vile nilikuwa sijaona page D na zile za mwisho baada ya kuona page zote ngoja nitafakali tena.
 
Kuna mavitu yanajaza posts tu kwenye server
 
Miezi miwili ni mimba kubwa?!! Unatoka hiyo sio kubwa kiasi hicho na Njagu hatojua.By the way it's as if there is another option other than abortion.Huna option hapo,kwa muhindi hauto pokelewa na Njagu lazima atakutimua.
asitoe, huyo mtoto atakuwa rais wa tanganyika miaka 53 ijayo.
 
Kimsingi ni kama sioni tatizo kwenye lolote!
Sioni mahala ulifanya haya kwa kulazimishwa!
Kooooooote ulibaki wewe kuwa mwamuzi wa mwisho
Huyo unborn child anakuwa tu victim of circumstances!
Unamlindaje hiyo bado ni maamuzi yako
Unamhitimishaje bado unabaki kuwa ni maamuzi yako!
Habari hii wapo wenzio wanakutana nayo katika hali hii hii lakini wanaieleza kwa lugha tofauti kabisa!
Well yote bado ilikuwa ni maamuzi yako kuekezea hivi ulivyoamua kuelezea!
 
Napenda sana jamii forum. Vituko haviishi. Long live Jamiiforums.


The king.
 
jina jangu!!! umenikumbusha mbongo fleva kali popote aka KALI P
 
Wasiliana na muhindi ukiwa na suggestion mkononi sio ukurupuke tu kusema una mimba hapana request kuongea naye faragha then mwambie muhind kama anaweza akupe mtaji akikuruka futi mia basi fikiria kufanya S.I.N
 
kwel ulifanywa
 

Attachments

  • 1397014899532.jpg
    1397014899532.jpg
    51.7 KB · Views: 280
Hapa najiuliza id yako ya siku zote ni ipi? Halafu eti 'umefanywa'. Hujui hata lugha ya kujiheshimu? Shigongo mwingine?

Mkuu habari ya wewe? Hatimaye nimekuona nimefurahi kukuona hope hujambo
 
Mmhhh!!!! Sasa hapo ushauri wa nini wakati kila kitu ulikuwa unakubali mwenyewe, la muhimu mueleze huyo muhindi kuwa una mimba ili ajue kuwa soon ataongeza familia
 
Back
Top Bottom