Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

aisee nimeishiwa kupandishiwa minyege tu!

PART C iko very ROMANTIC!!!

Pole lakini dada...
 
Nimepitia ushauri an comment zote zote humu. Nashukuru sana lakini Bado hasa ile Hoja ya Hofu yangu hapana ALIYE nisaidia. Ishu sio maisha Nina Elimu HATA Kama Vyeti vimeshapigwa moto still naweza kuvitafuta upya Na sidhani Kama naweza kosa KaZi sehemu yoyote humu Kwa jiji.

Kuna Mtu kanishauri nimbane Muhindi anipe mtaji NASEMA hiyo haisumbui naweza kukianzisha a-z nikapata mtaji naotaka. HOFU yangu kubwa in uhai wangu njagu akigundua. Huyu jamaa Kwa Akili zake zilivyo Na digrii ya wivu sidhani Kama atashindwa Kufanya historia..

Nikisema nitoroke hapo huyu jamaa atanisaka popote, sometime Akili inanituma kuamini Kwamba anaweza Kuwa maarufu within Na without Tanzania. Mawazo ya Abortion yanasumbua, naogopa, yananiumiza lakini nadhani Ndo option kubwa inayoongoza.. Natishika MMU Hakuna Kweli mjuzi wa kunipa njia yoyote.!?

njagu lina mke na wake, wala hatojisumbua kukutafta maana hata yeye hatopenda skendo ndio maana alikuwa anakuficha ficha usionwe. msalimie amita bachan.
 
He he he, nataka nifanye utafiti, kati ya njagu na Amita bachan nani mtamu kama baga za moroko.

hhahahaha!!! ntatafta njagu moja nilionje kama kweli matamu!! staki vya kusimuliwa.
 
He he he, nataka nifanye utafiti, kati ya njagu na Amita bachan nani mtamu kama baga za moroko.

kwani baga hazina formular moja ya kutengenezwa? naona wote watamu hadi bibie alikuwa anatoa tu bila resistance.
 
Tamaa ikichukua mimba huzaa dhambi....nayo dhambi ikichukua mimba huzaa mauti.

Muombe Mungu hili la mwisho lisikupate
 
kwani baga hazina formular moja ya kutengenezwa? naona wote watamu hadi bibie alikuwa anatoa tu bila resistance.

Zote ni nyama na mkate tu, lakini kila mtu ana secret recipe yake. Mwingine ananyonga ki clockwise mwingine ki ant-clockwise, mwingine ki to-fro. Sasa hapo unaza watalingana?

ahahahahahhahha hakyanani usingezaliwa wewe bimdachi angeumwa tumbo maisha!
Mzima mamii, nina linjagu la ziada hapa, natizama kama lishabonyea nilionje.
 
Kapime VVU kwanza


Sent from my iPhone using JamiiForums

Wazo Lako LIKO makini .. Nadhani nilipo drop fast time nilipofika hospitalin nilicheki kila kitu.. Eneo Hilo Niko vizuri nashukuru .. Ila sio Kwamba najisifia Kwa Hilo..
 
Hongera sana,nipotayari kumsaidia mhindi kulea


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
chagu muandika maelezo atawezaje kufanya hayo, hata rpc hawezi. maana nyumba nzima kwa dar sehemu za wahindi sio chini ya laki 4 kwa mwezi anawezaje na kukulipia vyote angali mshahara wake haufiki laki 4.
Mkuu ACP na kuendelea wanalipwa vizuri, hasa ukute ACP Halafu mkuu wa kitengo! Inalipa.
 
Si nasikia wahindi wana vibamia..? hiyo raha uliisikia Vp alipokutana na vichuguu?
 
Tamaa ikichukua mimba huzaa dhambi....nayo dhambi ikichukua mimba huzaa mauti.

Muombe Mungu hili la mwisho lisikupate

Maneno makali sana haya kupata kuyasikia tangu nipate akili.
 
du pole mshilikishe huyo mhind siku nyingne ujifunze kuvaa kiatu kabla ya safar miba itakutoboa
 
Zote ni nyama na mkate tu, lakini kila mtu ana secret recipe yake. Mwingine ananyonga ki clockwise mwingine ki ant-clockwise, mwingine ki to-fro. Sasa hapo unaza watalingana?


Mzima mamii, nina linjagu la ziada hapa, natizama kama lishabonyea nilionje.

ahhahahhahaa mi mzima lovie!ila haka kabaridi haka na haka kastory hasa pale kwenye part ya kitaulo cha chokriiii ah!ahahahha sijui kama nitatimiza masaa niliyoapa kuwa nitayatimiza nikiwa kazini siku ya leo!hakyamama vile!
 
Back
Top Bottom