Nini tena Mpwa, kuna midume imemfaidi dada yetu tena mshkaji kaichimbua Almasi yeye mwenyewe!!! Yaani mimi navuta picha kalazwa mijuuu Guu hahahahaa ngoja nihamie Jukwaa la wakubwa nikapunguze stressshabash
Kesho nitachelewa kazini, dah mpaka Sasa
Kuna mavitu yanajaza posts tu kwenye server
Mkuu habari ya wewe? Hatimaye nimekuona nimefurahi kukuona hope hujambo
unamaanisha Abortion.. aiseee. naona wazo hili linakuja kuja sana.. ila hofu nayo inanizunguka sana sana manake mimba ya kwanza na ni kubwa tayari.. unadhani ni wazo zuri?
Nimefika nusu nimechoka
....nikifanikiwa kuimaliza ntashauri
Yani na hiki kiubaridi kilichopo Dar sasa hivi,hii story imeongeza hamu ya papuchi