Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Yani na hiki kiubaridi kilichopo Dar sasa hivi,hii story imeongeza hamu ya papuchi
 
mhh njia panda kwelikweli, kaongee na marie stopers!! Nalala kesho.

unamaanisha Abortion.. aiseee. naona wazo hili linakuja kuja sana.. ila hofu nayo inanizunguka sana sana manake mimba ya kwanza na ni kubwa tayari.. unadhani ni wazo zuri?
 
NAAHIDI maamuzi yoyote ntayoyafikia kwa ushauri wenu nitayatekeleza kwa kuwafahamisheni hadi Mwisho.. lakini hii kitu mbaya sana wanaume kutudunda.. inaumiza sana aisee..
 
Ngojea nilale naamini asubuhi ntapitia ushauri makini wa watu makini pia wale mnaotukana hamfanyi vibaya mwaweza tu kutukana mkiutumie uhuru wenu hivyo hata discouragement nazipokea kwa mikono mikunjufu, yakikukuta wanasema pokea YOTE.
 
  • Pole sana kwa matatizo, Nami ngoja nikapumzike japo masaa mawili na nusu. Nitarudi kwa ushauri
Ngojea nilale naamini asubuhi ntapitia ushauri makini wa watu makini pia wale mnaotukana hamfanyi vibaya mwaweza tu kutukana mkiutumie uhuru wenu hivyo hata discouragement nazipokea kwa mikono mikunjufu, yakikukuta wanasema pokea YOTE.
 
unamaanisha Abortion.. aiseee. naona wazo hili linakuja kuja sana.. ila hofu nayo inanizunguka sana sana manake mimba ya kwanza na ni kubwa tayari.. unadhani ni wazo zuri?

Miezi miwili ni mimba kubwa?!! Unatoka hiyo sio kubwa kiasi hicho na Njagu hatojua.By the way it's as if there is another option other than abortion.Huna option hapo,kwa muhindi hauto pokelewa na Njagu lazima atakutimua.
 
Back
Top Bottom