Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Maneno makali sana haya kupata kuyasikia tangu nipate akili.

Ni makali ndio lakini ndivyo Biblia ituelekezavyo mkuu...na maneno hayo yameandikwa ndani ya Biblia

Yakobo 1:15
 
umechemka sana. waschana mabikira wakiijua hiyo mchezo hawataki tena kuacha
 
dah! umeniacha hoi kabisa! yani kusoma tu jogoo limewika sana dada cku nyingine andika vizuri usiandike kwa mrengo wa kuwaletea wengine hisia za sex!! ok pole kwa yote.

Ila nimegundua wewe ni mwepesi sana wa ku-trust mtu haraka bila kujali hali ya kiafya.

Unaweza itoa tu!!

sasa vyeti vilichomwa moto utapata wapi tena vingine?

Umenikumbusha kuna binamu yangu mama yake alimwambia kuwa ....oa msichana wa kijijini, kijana wake akamwambia mama yake kuwa "Mama mabinti wa kijijini hawajui mapenzi" lo! muda huu yupo dar. ila ndugu yangu alioa binti wa mjini na sasa hivi ana "ngoma"
 
Pole sana,ndo vile tena unavuna uloyapanda,BTW vita hii si ya njagu pekee hata muke ya muhindi haiwezi kukubali.

Hiyo mimba usitoe huwezi jua labda hilo ndo yai lako la mwisho,usiongeze dhambi yatosha.

Usimuogope njagu ndo hvyo tena maji ushayavulia nguo we oga tu,jipange upya,hama ulipo lianzishe la kighetogheto,fanya kaz ule jasho lako mwenyewe usitumie tena mwili wako kama silaha,hakuna vya bure hapa duniani.Mrudie muumba wako atakurehemu.

Swali la kizushi lakin la msingi vip shosti ulikuwa hausave yale mahela alokuwa anakupatia njagu?????
 
Mimba usitoe, na kama ulikuaga unasev kaela kako kdg hama mji. Mwambie muhindi una mimba yake, ukishafika uko kwenye mji mpya ndo umwambie uyo njagu na umwambie mateso unayokupa ndo yamefanya umtoroke.Muhindi akikubali mimba kuilea akupe na mtaji wa biashara.Halafu usiwe mwepesi kwa wanaume kiasi icho.
 
Duh!!kuna kiungo kimesituka..........Acha Acha Acha nasema Acha kuabort
 
Hao wahindi wasiokuwa na ubaguzi wanapatikana wapi? Halafu huyo mama wa kihindi wa kukuacha sebuleni na mumewe atakuwa na asili ya mtogole!
 
Mwambie tu kuwa wewe ni mjamzito afu cjui unaanzaje duu had naogopa kama ni mimi vile.

alee mimba hyo akizaliwa muhindi mwambie kafanana na babu yake teh teh mweee maisha haya omba yasikukute bt any way fanya hvyo ndungu
 
Sadlady ninayo mengi ya kukueleza na ningepend ni hit points za mhimu tu;
1) usifanye abortion make kwa mtiririko wa story nzima japo siamini km yote yamekutokea ktk uzembe namna hii ila shortly umemkosea sana Mungu kwa kudistort diginity yako hivyo kuongezea kuua kiumbe ni kuhalalisha dhambi nyingine ktk maisha yako.
2) ni muda sasa wa kuangalia mtiririko wa maisha yako yamegubikwa na machukizo mbele za Mungu, sioni sababu ya kuendelea kuzini na huyo NDATA na ulitakiwa uelewe mapema kuwa huyo siyo mtu mzuri kwako hasa kwa kitendo cha kuchoma nyaraka zako (vyeti) ni dhahiri hana malengo nawe wala hathamini maisha yako. Je, ingetokea km mmepata mtoto na yeye km mzazi akafa angekuacha na nini cha kutegemea ilihali vyeti vyako kavichoma?
3) haraka sana, tengeneza mazingira ya kumtoa upepo mrefu(hela) huyo mhindi ili upate msaada wa kuanza maisha mapya pasipo kumtegemea m/me yeyote. (i mean, just arrange a secret meeting with pregnant test proof in your hands) Baada ya hapo plz forsake evrything bout the PAST
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu NJAGU/NDATA usimwambie habari za mimba. Is better ukamcheat kuwa unahtajika nyumbani kuna msiba wa mtu mhimu ktk maisha yako na wakati huo ukiwa tayari na jibu la kuridhisha juu ya amita bachan na mimba yake(hakikisha anakupatia hela nzuri ya kuanzia maisha). Ukishapata hela na njagu akakuruhusu kuondoka nyumbani kwake. Huo utakuwa muda mzuri wa kumuweka kwenye target ya kuachana nae. Tafta mhusika au taasisi nyeti elezea maisha yote mliyopitia/yanayomhusu njagu na ww+ukatiri na unyama aliokufanyia. Mpe karipio la kukaa mbali na wewe kwa msaada wa senior wake/au taasisi nyingine za mambo ya sheria.
Kisha baada ya hapo evacuate from the city. Tafta mkoa wowote wa mbali lea mimba yako, fungua duka lako la spareparts za bodaboda hata la sh milioni tatu kutoka katika hela atakayokupa amita bachan!
Narudia tena.. Usimlegezee huyo mhindi ndiyo karata ya mwisho kufanikisha uhai wako na mstakabari wa maisha yako na mwanao.
THEN USIWATAFTE WOTE FOCUS MAISHA YAKO DADA.
 
Haya sasa JF members kwa wale watundu wa mambo kwa uandishi huu unahisi huyu atakua ni nani? Kwa kusoma hio trend na aina yake ya uandishi unahisi atakua ni nani hasa huyu kati ya hawa? Paloma lara 1 Mamndenyi Aine sweetlady tinna cute kyanakomuhaya ICHANA angelicious

au wale Ma-sister doo wa Jukwaaa la mambo ya Kikubwa???? Lazima ni mmoja kati ya hao. Good day ngoja nifanye kazi sasa

Hapo umechapia uandishi wangu sio huo.
 
Last edited by a moderator:
Duh, kila mtu akieleza historia yake JF itajaa au itageuka bahari ya Machozi na jamvi la furaha kwa baadhi na vilio kwa wengi. Nimegundua vitu vifuatavyo;
  1. Huna msimamo wa maisha yako
  2. wewe ni mtu wa kupenda kufurahisha wengine
  3. Unatumia umaskini wako kukubali wengine wakuchezeee
  4. Unautumia uzuri wako kupata maisha
  5. Umeishi na Authorized Jambazi ( maana kwa mshahara wa askari) kukupangia nyumba, fenicha, kukulisha na kukunywesha na laptop na Android, its quite impossible, kwahio kumbe tukikamatwa na askari pesa anakuletea wewe
  6. Umri wako umesonga sana na sasa umeamua liwalo na liwe, you wanted to live your life lakini imegoma

Kwahio Fanya haya yafuatayo

  1. Tunza na lea mimba yako, you never know pengine ndio mkombozi wako huyo
  2. Hama eneo hilo kwa kumshirikisha huyo aliekufanya
  3. Jishushe ishi maisha ya kawaida upate kazi iwayo yote ile
  4. Jipange upya tena na usitumie mwili wako kama silaha
  5. Raha ya dakika moja/kukata network huwa maumivu yake ni marefu zaidi na pengine yakabaki maisha
  6. Jiaminishe kuwa it is never too late to mend
  7. Uzuri wako uliobaki utumie kujenga future yako, nashawishika kuamini kuwa you can still make it
  8. Inaonekana una uelewa mkubwa sana na maisha na hata IQ yako iko juu, itumie kubuni miradi mungine mbali na hio ya kuuza mwili
  9. Huna haja ya kujiita majina yanayo portray huzuni yako, jipe majina ambayo uliwahi kuyasikia au kuyatumia majina mazuri kama ladyfurahia Paloma Aine tinna cute Angel Nylon Madame B lara 1 sasa unajiita Sadlady ili iweje? Njia mojawapo ya ku-overcome haya ni kukubali yaliyotokea na ku-mvove on, just say I am stronger than Yesterday, then move forward
Tuyaache hayo tugeukie upande mwingine sasa, nimependa sana Ujasiri wako ila kwa hali hii ulioiandika hapa inaonekana "performance" yako ni ndogo sana uwapo uwanjani maana hukuandika kuwa kuna mahali ulijituma zaidi ya kuusifia upande pinzani tu......Utamsifiaje Mchazaji mwenzio? Jisifie na wewe kuwa hata kama "amenikama" lakini kwa jasho nimemtoa!! Si ndio raha ya mechi??

Ninaamini wewe ninakufahamu ila Privacy yetu naomba iendelee lakini Wallah wewe nakufahamu ngoja tuhamie kwenye PM naweza pata a strike here!!!!!

Wewew ni Jasiri sana, I like it

Namchagulia kabisa ajiite maisara.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom