Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Kama unataka amani mwambie muhindi huyo muhesabie siku ambazo dume lako hakuwepo, na mkumbushe aliporudi ilikuwa ngumi na ndio ukalala nae.

Sasa hapo akikuelewa mwambia akuondoe hapo nchini, wahindi wengi wanajua ya nje ya nchi. Atakupeleka nchi moja ukaishi uzae ulelee mwanao na huyo askari hata kusumbua.

Tena mwambie ndio na yeye haitajulikana hata kwa baba yake na mkewe maana ni aibu na walimwaminia kukuweka kwake.

Ila na wewe ukome tamaa za waume wa watu, utazani weye ndio bikira peke yako. Hapo kumtenda mke wa muhindi ni tamaa yako na ndio imekuponza. Inaelekea hautabadilika ila omba Mungu akuondolee ugonjwa wa kupenda hilo mguu la tatu.
 
Ushauri wako wa kumwambia huyo askari ni BIG no, wakiwasiliana tu anaenda kampuni ya simu na kujua yupo wapi na lazima lazima ataenda kummaliza atakavyo huko.

Ukitaka kukimbia kaa kimya uendako, fb sijui ma insta yote hayo tupilia mbali. Ndugu waambie wasitumie namba zako kukupigia hiyo mpya ukibadili na kama zao anazijua.

Yaani kwenu ulipotoka wananunua ka mchina ka kuwasiliana nawe kwanza kwa usalama wako. Kamwe wasitumie zao kukutafuta.

Yeye askari atakuwa anajua cha kufanya, na kabla hajaja kukukamata na simu anakuwa labda anajua unamawasiliano na watu na ndio anakuachia then kukuonyesha ka vile kakukamata kumbe anakufatilia kwa chini.

Haya jipange na waepushe mabaya wengine esp muhindi ulimtaka akulale ukamtegea makusudi. Mume wa mtu duh na baba yake nae si ungemtega? Tamaa ya pesa hiyo.
 
Kama unataka amani mwambie muhindi huyo muhesabie siku ambazo dume lako hakuwepo, na mkumbushe aliporudi ilikuwa ngumi na ndio ukalala nae.

Sasa hapo akikuelewa mwambia akuondoe hapo nchini, wahindi wengi wanajua ya nje ya nchi. Atakupeleka nchi moja ukaishi uzae ulelee mwanao na huyo askari hata kusumbua.

Tena mwambie ndio na yeye haitajulikana hata kwa baba yake na mkewe maana ni aibu na walimwaminia kukuweka kwake.

Ila na wewe ukome tamaa za waume wa watu, utazani weye ndio bikira peke yako. Hapo kumtenda mke wa muhindi ni tamaa yako na ndio imekuponza. Inaelekea hautabadilika ila omba Mungu akuondolee ugonjwa wa kupenda hilo mguu la tatu.

usisababishe mwenzio apelekwe mabwe-pande na huyo muhindi, huu ni wakati wa yeye kuwa makini sana na usalama/hatima ya maisha yake.
 
ram njoo umshauri mwanamke mwenzio.
 
Last edited by a moderator:
Mabwepande inakuhusu
Coz ucposema atazaliwa mhindi, halafu ndo utamjua Njagu wako vzr
 
story nzuri kweli, nenda kamuuzie JB aweke kwenye cd tupige mpunga. au mpelekee rose chital. ila asante kwa kunichosha kusoma story yenye msisimuko, maana ina pt 2.
 
Hao wahindi wasiokuwa na ubaguzi wanapatikana wapi? Halafu huyo mama wa kihindi wa kukuacha sebuleni na mumewe atakuwa na asili ya mtogole!

nam imejiula hi kna mwanamke naeza kumuacha mumewe anamkanda maji msichana sebuleni yeye mke akaenda kulala?ngumu kumeza!
 
dada, rudi kwenu kale mwanao, anza mchakato wa kupata vyeti utafute shughuli ya kufanya

somimes depedancy tunaienekeza, kimbia
 
HAPO KaZii iPO nyie wanawake Mmezoea kupakazia wanaume watoto mpakazie njagu huyo mtoto wakihindi asipofiatua hiyo ubongo hiyo medula blangata ikamwagika chini chezea afande chacha wewe mliona upelelezi hautoshi mpaka mkapelelezana hayo sasa ukaona haitsho ukaanza tena kupeleleza tena watu kibao mpaka muhindi ni majanga mimba utatoa je ukimwi?????????????????????????????????
 
Haya sasa JF members kwa wale watundu wa mambo kwa uandishi huu unahisi huyu atakua ni nani? Kwa kusoma hio trend na aina yake ya uandishi unahisi atakua ni nani hasa huyu kati ya hawa? Paloma lara 1 Mamndenyi Aine sweetlady tinna cute kyanakomuhaya ICHANA angelicious

au wale Ma-sister doo wa Jukwaaa la mambo ya Kikubwa???? Lazima ni mmoja kati ya hao. Good day ngoja nifanye kazi sasa

Hembu mpe ushauri bidada wa watu,halafu niambie umetumia vigezo gani kututaja? Kwangu umekosea mana huwa sina utaratibu wa kuandika maelezo marefu.
 
Last edited by a moderator:
Haya sasa JF members kwa wale watundu wa mambo kwa uandishi huu unahisi huyu atakua ni nani? Kwa kusoma hio trend na aina yake ya uandishi unahisi atakua ni nani hasa huyu kati ya hawa? Paloma lara 1 Mamndenyi Aine sweetlady tinna cute kyanakomuhaya ICHANA angelicious

au wale Ma-sister doo wa Jukwaaa la mambo ya Kikubwa???? Lazima ni mmoja kati ya hao. Good day ngoja nifanye kazi sasa
Mkuu Elli, mimi sina kipaji cha kutunga hadithi kama MziziMkavu/Shigongo, napenda kusoma hadithi tu ila kutunga sina kipaji hicho, na hata kama nina story sina haja ya kubadili id yangu, why should i change my id!!!! halafu basi mimi ni mke wa mtu tena mwenye watoto 3, tena ninayemjua Mungu na kumtumikia

Hii story kama ya kweli basi wanawake tuna matatizo, maana sadlady hajatulia, mwisho ataitwa mama huruma!!!!!!!!!
 
sadlady mdogo wangu, yaani unashindwa hata kupunguza makali jamani! yaani nimesoma lakini huku naona aibu kana kwamba kuna mtu ananiona ninaposoma, aisee ila upo juu kwa utunzi mzuri, ile bastola uliyokuwa unaiogopa sasa inakaribia kutua mwilini mwako, we jisalimishe kwa mhindi na tubu mbele za Mungu na omba huyo unayemuita njuga asikutane na wewe ukiwa mjamzito maana kizaa zaa!
 
Back
Top Bottom