Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Mkuu Elli, mimi sina kipaji cha kutunga hadithi kama MziziMkavu/Shigongo, napenda kusoma hadithi tu ila kutunga sina kipaji hicho, na hata kama nina story sina haja ya kubadili id yangu, why should i change my id!!!! halafu basi mimi ni mke wa mtu tena mwenye watoto 3, tena ninayemjua Mungu na kumtumikia

Hii story kama ya kweli basi wanawake tuna matatizo, maana sadlady hajatulia, mwisho ataitwa mama huruma!!!!!!!!!
asante kwa kuweka kumbu kumbu sawa sawa
 
Ngoja nikugaie hitimisho lako kwa mfumo wa hadithi nahisi utanielewa au wadau nimpe hitimisho?
 
niko na mademu hapa nataka niwajaze hydrogen wanashobokea hela eeeetu lia
 
Back
Top Bottom