Huyu si alikuwa chadema siku nyingi? Anatangaza kujiunga tena chadema? Yale yale ya ZeMarcopolo mtu kujiuzia vitumbua anavyouza
Haujajibu swali unaulizwa msingi wa kwanza wa Chadema ipoundwa, unaulizwa kikao cha kwanza kilifanyika wapi unaweza ukapata kumbukumbu ya minits?Nitakujibu kwa kifupi sana maswali yako kwa sababu mengi hayana msingi.
Moja, siwezi kukutajia kabila langu kwa sababu sikuja hapa JF kutambika.
Ningependa nijumuishe hoja zako zote za kijinga kwa jibu hili lifuatalo,
Hii thread nimetangaza tu kuwa mwanachama rasmi wa Chadema kwa sababu sikupenda kuwa mwanachama lakini kwa haki kabisa mimi huwezi kunifananisha na Shitambala wala na Lema mbunge wa Arusha.
Mimi nimeshiriki kwenye harakati za kuijenga Chadema tangu Lema akiwa TLP na wengi mnaowaona leo ni makamanda either walikuwa shule hawaijui siasa na wengine walikumbwa na upepo wa NCCR Mageuzi ya Mrema.
Kuna watu wengine ukiwemo wewe pia labda hujui hata bendera ya Chadema ya leo haikuwa hii bali ni wazo la Mbowe kuibadili na likakubaliwa pamoja na vazi la kombati ni ubunifu wa Mbowe pia.
Sasa huwa sipendi kujadili siasa nyepepesi na mtu anayetumiwa na hapa JF ni sehemu ya ajira yake kupost ujinga kama wako.
Am too old for this gutter politics.
uliwa una fikra mfuu ama umejito hufahamu,
Umeweka kambi huku! Thread yako inadoda kule!
TANGAZO LA KIFO
Jina la marehemu: Chadema mitandaoni
Amefariki: Tarehe: 2.Nov.2013
Amezikwa:Tarehe: 7.Nov.2013
Chanzo cha kifo: G.J.Lema,Ben Saanane,Yericko Nyerere na misukule shooting stars
Wasifu wa marehemu: Ni vibaya kumsema marehemu lakini hakuwa na tabia njema mbele ya jamii
Marehemu ameacha: misukule,uongozi dhaifu na mtoto wa nje aliejitokeza leo anaitwa MATOLA
NOTE: Sababu za kuchelewa kuzikwa alikuwa anasubiriwa mwanawe kipenzi Sixgate kutoka ngambo.
.........................................................R.I.P MAGWANDA...............................................................................
Uwiiiiiiiiiiiii
Wakola waitu
Wabheja sana.
Habari ziwafikie Rose Kamili na Josephine Mshumbushi na Mahawala wa Dr. Slaa wote tangu akiwa kasisi, Mbunge huko Karatu, Hawala aliyekamatwa naye Hotel 56 Dododma na vimodal wote waliopitiwa kwa bahati mbaya au makusudi popote pale walipo.
Wewe ni Jihadist siwezi kukushangaa kuungana na Mujahedeen wenzako kina Ritz kumlinda Allah asiyeweza kujilinda.
Wewe kwangu ni takataka tu na nimekujibu tu ili kuweka kumbukumbu sawa huna tofauti .....
ma pro~ccm kwa mipasho!....ila sishangai...ila kwa mtu kama wewe nilizani utajikita zaidi kwenye hoja.
Kazi sio kuwatoa magamba bali kuisafisha Chadema kuondokana na wapuuzi kama Zitto na wappumbavu wake na kusafisha kusiwe na Majihadist kama THE BIG SHOW.
JF siyo mali ya Chadema nenda Ufipa katangaze huu upuuzi wako kama unajiunga sisi tufanyaje kauzu kama wewe kweli kuna mtu atahangaika na wewe, kwanza unakaa kwa shemeji yako Ukonga.
Cc: chama.
Kwa matusi haya dhidi ya waislamu na uislamu unanipa maswali mengi, je unajiunga chadema ukapambane na waislamu au ccm!? Naona mawazo haya mpango wako ni kuwa na chama cha kanisa pure. Mohamedi Mtoi, KIBANGA ampiga mkolon mumeona kamanda anachosema? Halafu ule ubunge unaenda kuomba wakristo pekee au na waislamu hawahawa unaowatukania dini yao?
Mkuu chama.Mkuu Ritz
Kumbe mtu mwenyewe ni huyo chizi! Huyo hana maana yoyote hajielewi hajitambui mzuzuraji tu hapo mjini kiazi kibovu hata kwa chipsi hakifai; sasa anamtangazia nani humu JF wote tunajua yeye ni mganga njaa anahemea kwa shemeji; hana jipya akili za kisonono tu yaani jamaa anajitangaza sana humu JF ili Kamuchumu wamuone wa maana; yaani jamaa ni kituko kitupu!
naona una utani na chama maana yeye ndie alikuwa anaishi kwa shemeji yake Ukonga...Allah kaingiaje kumbe Chadema hakuna Waislam, kuna Wakirsto tu, pambana na sisi usipambane na Waislam
Sasa wewe unakaa kwa shemeji yako Ukonga halafu unakuja kuongea mbele ya wanaume.
Wewe jiandae kuwa msukule wa Dr.Slaa na Mbowe.
Hata ccm inawenyewe ndio maana ni ngumu kupata ubunge kwa ccm labda uwe na 50M lakini kwa chadema hata kama huna ndururu unapata ubunge