Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.

Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.

Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.

We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.

Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.

Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene


Kweli umevurugwa,

Unataka kumpa kibarua cha ziada tuh kamanda MAKENE,MAKENE IS SMARTER THAN THAT,KATU KAMWE HAWEZ KUKUBALI KUJIWEKA KUNDI MOJA NA MWEHU KAMA WEWE MATOLA,,NA WEWE MWENYEW UNALITAMBUA HILO
 
Uwiiiiiiiiiiiii
Wakola waitu
Wabheja sana.

Habari ziwafikie Rose Kamili na Josephine Mshumbushi na Mahawala wa Dr. Slaa wote tangu akiwa kasisi, Mbunge huko Karatu, Hawala aliyekamatwa naye Hotel 56 Dododma na vimodal wote waliopitiwa kwa bahati mbaya au makusudi popote pale walipo.

risala ndeeefu ya marehemu ccm itawafikia hv punde,chadema haijafa na haitakufa mtakufa ninyi wazadiki,wanafiki na ma toilet pepa mnaotumiwa kama mipira ya cond..m then mnatupwa kule,mtakesha weeeeeeeeee na mapandikizi wenu ila chadema inapeta tu huku ccm ikipigwa tani 7 za milele,nalog off
 
Ndugu wana JF, Juzi niliweka uzi hapa na nikatoa mda wa masaa 24 kwa Mh Mbowe na Dr.W.Slaa kusema neno juu ya hali ya siasa iliyokuwepo chadema...naonekana sina faida ndani ya CHADEMA, nimeng'oka rasmi kuanzia leo...
Huyo ni sixgates akitangaza kuihama Chadema jana.
Pole sana Kamanda nilijua lazima utachukuwa maamuzi magumu...Teh teh teh. Dr.W.Slaa unatakiwa ujiuzulu
Cc: Asprin
Huyo ni Ritz akimpongeza kwa uamuzi wake!
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa... sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema...
Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene
Huyu ni Matola akitangaza kujiunga rasmi na Chadema leo.
JF siyo mali ya Chadema nenda Ufipa katangaze huu upuuzi wako kama unajiunga sisi tufanyaje kauzu kama wewe kweli kuna mtu atahangaika na wewe, kwanza unakaa kwa shemeji yako Ukonga.
Cc: chama.
Huyu ni yule yule wa jana!
Ndivyo hivyo na serikali yetu chini ya Kikwete inavyoendeshwa...Kaaazi kweli kweli!
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Huyo ni salumu mitema
Poleni sana kwa mateso uliyoyapata toka mwaka 2010 hata ivyo una roho ngumu, naona umegoma kuwa msukule.
CC: FaizaFoxy ZeMarcopolo
Huyo tena ni Ritz yule yule...duh!
 
Lema Production.

90/cent ya magamba ni waropokaji na hayana kitu kichwani ni kupanua madomo yao na kupga makofi for nonsense,ukiwauliza ccm imefanya nn wanakwambia mara oooh barabara....... Shame on you mbulura
 
Sumu; Vipi CCM parasite wananchi hawajaishtukia? Matola; karibu mkuu, ila kuwa mwangalifu sana ukitaka mabadiliko.Politics is a good game for those who know how to play it.

Viongozi wa CHADEMA wanatumia matatizo ya wananchi kujitajirisha.

CHADEMA ni chama cha kilaghai.
 
Misukule Shootin Stars.

Teh teh teh.
 
90/cent ya magamba ni waropokaji na hayana kitu kichwani ni kupanua madomo yao na kupga makofi for nonsense,ukiwauliza ccm imefanya nn wanakwambia mara oooh barabara....... Shame on you mbulura

Umeshakuwa msukule huwezi kuelewa yanayoendelea duniani. Usije ukamuuliza hilo swali mzazi wako kwasababu anaweza kukuvulia nguo.
 
Mkuu Matola,

Umepotea njia. Vijana werevu sasa hivi wameshashtukia kwamba Chadema ni mradi binafsi wa watu fulani. Ndio maana wapo wanaoweza kufanya chochote wanachotaka bila kuchukuliwa hatua lakini wengine wakikohoa tu wanakula kibano.

Fikiria kwa makini, unapotea njia...

...mvomero !!!
 
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.

Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.

Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.

We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.

Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.

Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene

...well said!!!
 
Huyo ni sixgates akitangaza kuihama Chadema jana.

Huyo ni Ritz akimpongeza kwa uamuzi wake!

Huyu ni Matola akitangaza kujiunga rasmi na Chadema leo.

Huyu ni yule yule wa jana!
Ndivyo hivyo na serikali yetu chini ya Kikwete inavyoendeshwa...Kaaazi kweli kweli!

Huyo ni salumu mitema

Huyo tena ni Ritz yule yule...duh!

Kamanda.. Huyu Matola yeye aende chadema sina tatizo nae, najua Slaa anatafuta pumba za kulisha huu msukule mpya.
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiiiiiiiiiii
Wakola waitu
Wabheja sana.

Habari ziwafikie Rose Kamili na Josephine Mshumbushi na Mahawala wa Dr. Slaa wote tangu akiwa kasisi, Mbunge huko Karatu, Hawala aliyekamatwa naye Hotel 56 Dododma na vimodal wote waliopitiwa kwa bahati mbaya au makusudi popote pale walipo.

Kwi kwi kwiiiiiiii...
 
Huyo ni sixgates akitangaza kuihama Chadema jana.

Huyo ni Ritz akimpongeza kwa uamuzi wake!

Huyu ni Matola akitangaza kujiunga rasmi na Chadema leo.

Huyu ni yule yule wa jana!
Ndivyo hivyo na serikali yetu chini ya Kikwete inavyoendeshwa...Kaaazi kweli kweli!

Huyo ni salumu mitema

Huyo tena ni Ritz yule yule...duh!

Mkuu Mungu akubariki sana kwa kuonesha dhahiri JF wenye akili zao wapo.

Wale waliopewa kiapo cha Jihad na Mohammed Said hopeless old man kama THE BIG SHOW nawapa pole sana. Kalia udini tu na siku ya mwisho utabaki kuwa loser tu.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni Jihadist siwezi kukushangaa kuungana na Mujahedeen wenzako kina Ritz kumlinda Allah asiyeweza kujilinda.

Wewe kwangu ni takataka tu na nimekujibu tu ili kuweka kumbukumbu sawa huna tofauti na white widow, uliingia JF kwa gia fulani sasa true colour zako umeshindwa kuzificha.

Kizee chenu Mohammed Said anayewadanganya kuna mabikira 100 wanawasubiri mkishajiripuwa mtakuja kujuta, ila Mama zenu tutawajari wao wataamuwa wenyewe kutufikiria malipo ya fadhira zetu kwao.
Allah kaingiaje kumbe Chadema hakuna Waislam, kuna Wakirsto tu, pambana na sisi usipambane na Waislam

Sasa wewe unakaa kwa shemeji yako Ukonga halafu unakuja kuongea mbele ya wanaume.

Wewe jiandae kuwa msukule wa Dr.Slaa na Mbowe.
 
Jibu mswali haya na na mwisho uamue

1. Wewe ni kabila gani na unaishi wapi?

2. Unaamini katika "wengi waumie wachache wafaidike"?

3. Unajua msingi wa kwanza wa Chadema ilipoundwa? Kikao cha kwanza kilifanyika wapi na unaweza ukapata kumbukumbu ya minits hizo? hapana? ndio? kwanini?

4. Wewe unaweza ukawa na umuhimu kama aliokuwa nao Mwigamba au Shitambala?

5. Unakumbuka yaliyompata Chacha Wangwe kabla ya kifo chake? unayamini? ndio/hapana? kwanini?

6.Mabadiliko maana yake nini? na Demokrasia nini? unaijua dhana hii? Je, unaihusishaje na Chadema ya leo?

Nitakujibu kwa kifupi sana maswali yako kwa sababu mengi hayana msingi.

Moja, siwezi kukutajia kabila langu kwa sababu sikuja hapa JF kutambika.

Ningependa nijumuishe hoja zako zote za kijinga kwa jibu hili lifuatalo,

Hii thread nimetangaza tu kuwa mwanachama rasmi wa Chadema kwa sababu sikupenda kuwa mwanachama lakini kwa haki kabisa mimi huwezi kunifananisha na Shitambala wala na Lema mbunge wa Arusha.

Mimi nimeshiriki kwenye harakati za kuijenga Chadema tangu Lema akiwa TLP na wengi mnaowaona leo ni makamanda either walikuwa shule hawaijui siasa na wengine walikumbwa na upepo wa NCCR Mageuzi ya Mrema.

Kuna watu wengine ukiwemo wewe pia labda hujui hata bendera ya Chadema ya leo haikuwa hii bali ni wazo la Mbowe kuibadili na likakubaliwa pamoja na vazi la kombati ni ubunifu wa Mbowe pia.

Sasa huwa sipendi kujadili siasa nyepepesi na mtu anayetumiwa na hapa JF ni sehemu ya ajira yake kupost ujinga kama wako.

Am too old for this gutter politics.
 
Back
Top Bottom