Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Kila la kheri.....nia yako ya dhati inahitajika kwa mabadiliko ndani na nje ya chama.
 
Mkuu Matola,

Umepotea njia. Vijana werevu sasa hivi wameshashtukia kwamba Chadema ni mradi binafsi wa watu fulani. Ndio maana wapo wanaoweza kufanya chochote wanachotaka bila kuchukuliwa hatua lakini wengine wakikohoa tu wanakula kibano.
#SIMPLY NI KAMA WEWE ULIVYONG'ANG'ANA NA ccm NI USHABIKI WA HOVYO ONA HATA KAKIBENDERA KAKO KA CCM KA MJUMBE KALIVYOCHANIKA NI CHAMA CHA HOVYO "EPUKANA NACHO"
 
mkoa gani mkuu nije niwasapoti ?

CHADEMA ni Moshi, Kilimanjaro mkuu.

Kama wewe sio Mchaga kwenye mikutano ya chama uvae helmet kwasababu ukihoji uendeshwaji wa chama unashushiwa tofali la utosini.
 
Kila la kheri.....nia yako ya dhati inahitajika kwa mabadiliko ndani na nje ya chama.

Nia ya dhati mnayoitaka nyie ni kwenye michango ya fedha tu! Siku akiulizia mapato na matumizi mnampiga tofali la kichwa.
 
JF siyo mali ya Chadema nenda Ufipa katangaze huu upuuzi wako kama unajiunga sisi tufanyaje kauzu kama wewe kweli kuna mtu atahangaika na wewe, kwanza unakaa kwa shemeji yako Ukonga.

Cc: chama.
 
Last edited by a moderator:
JF siyo mali ya Chadema nenda Ufipa katangaze huu upuuzi wako kama unajiunga sisi tufanyaje kauzu kama wewe kweli kuna mtu atahangaika na wewe, kwanza unakaa kwa shemeji yako Ukonga.

Cc: chama.

ma pro~ccm kwa mipasho!....ila sishangai...ila kwa mtu kama wewe nilizani utajikita zaidi kwenye hoja.
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.

Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.

Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.

We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.

Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.

Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene
TANGAZO LA KIFO

Jina la marehemu: Chadema mitandaoni
Amefariki: Tarehe: 2.Nov.2013
Amezikwa:Tarehe: 7.Nov.2013
Chanzo cha kifo: G.J.Lema,Ben Saanane,Yericko Nyerere na misukule shooting stars
Wasifu wa marehemu: Ni vibaya kumsema marehemu lakini hakuwa na tabia njema mbele ya jamii
Marehemu ameacha: misukule,uongozi dhaifu na mtoto wa nje aliejitokeza leo anaitwa MATOLA
NOTE: Sababu za kuchelewa kuzikwa alikuwa anasubiriwa mwanawe kipenzi Sixgate kutoka ngambo.

.........................................................R.I.P MAGWANDA...............................................................................
 
Hata Sugu na Lema sasa hivi watatangaza kujiunga na Chadema.

Ukishaona muuza maandazi anajiuzia mwenyewe ujue vimeungua hivyo...
Teh teh teh! Huu msukule mbona siku nyingi tu huwa mateka wa Mbowe.
 
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.

Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.

Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.

We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.

Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.

Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene

Karibu saana Matola lakini punguza kidogo munkari. Humu jf hatuna ng'ombe wanaoandika huku wala ng'ombe hawasomi jf. Pia hao unaowaona wa.pu.ba.vu wanaweza pia kuku pumbaza ghafla kabla hujawa verified user
 
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.

Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.

Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.

We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.

Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.

Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene
We are going destroy all traters.

Kauzu kweli wewe ndiyo nini sasa umeandika au unamaanisha nini, andika kiswahili utaeleweka.

Teh teh teh

THE BIG SHOW
 
Last edited by a moderator:
Sumu; Vipi CCM parasite wananchi hawajaishtukia? Matola; karibu mkuu, ila kuwa mwangalifu sana ukitaka mabadiliko.Politics is a good game for those who know how to play it.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom