Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Sikujuwa kwamba ugaidi ndio dini ya Waislamu. Hivi kumsema Gaidi Osama ndio kutukana Waislamu? Mwehu wewe.
"Wewe ni Jihadist siwezi kukushangaa kuungana na Mujahedeen wenzako kina Ritz kumlinda Allah asiyeweza kujilinda.

Wewe kwangu ni takataka tu na nimekujibu tu ili kuweka kumbukumbu sawa huna tofauti na white widow, uliingia JF kwa gia fulani sasa true colour zako umeshindwa kuzificha.

Kizee chenu Mohammed Said anayewadanganya kuna mabikira 100 wanawasubiri mkishajiripuwa mtakuja kujuta, ila Mama zenu tutawajari wao wataamuwa wenyewe kutufikiria malipo ya fadhira zetu kwao."

Kwani hapo kwenye Red ulikuwa una mananisha nini?
 
Kazi sio kuwatoa magamba bali kuisafisha Chadema kuondokana na wapuuzi kama Zitto na wappumbavu wake na kusafisha kusiwe na Majihadist kama THE BIG SHOW.
Hongera sana mkuu,kumbe umewasoma,Ureeeeee chadema
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana mkuu,kumbe umewasoma,Ureeeeee chadema

MTU MWENYE AFYA YA AKILI ISIYO NA WALAKINI HAWEZI KUJIUNGA CHADEMA. Nyakati hizi ambapo watu wenye nia njema na taifa hili wameweka wazi malengo mabaya ya CHADEMA dhidi ya taifa letu.
 
MTU MWENYE AFYA YA AKILI ISIYO NA WALAKINI HAWEZI KUJIUNGA CHADEMA. Nyakati hizi ambapo watu wenye nia njema na taifa hili wameweka wazi malengo mabaya ya CHADEMA dhidi ya taifa letu.
Kuna chama chenye malengo mabaya kama CCM,Kinana anaua tembo badala akamwate mnaenda kuua ng'ombe za wafugaji,Rais anapiga mipasho bungeni,kweli ccm Mashauzi.com
 
We ni Boya tu.
CHADEMA haijawahi kuwa na mwanachama mwenye fikra Fukara kama zako.

Siasa za pale ufipa opposite na manhatan guest house inabidi uwe na ubongo uliotiwa ganzi, ila ukiwa conscious, unaweza kumpiga slaa makofi.
 
Badala ya kupambana na CCM mnapambana na Uislam Chadema bana.
Chadema kupapambana na Uislam ni sehemu ya harakati zao wewe siku zote upo hapa JF uliwahi kusikia kiongozi yeyote au msemaji wa Chadema yeyote akiwakemea washabiki na wanachadema kuhusu hilo?
 
Hongera,mimi nilipitisha maamuzi baada ya kusikiliza 'List of shame' pale Tandika,CHADEMA
ya kweli itapatikana tukiwa wamoja na kuyaondoa masalia 'Yaliyosalia' ndani ya Chama
 
Tunaweza tusiwe chama kizuri sana ila kwetu ni pazuri kuliko ccmagamba kwa asilimia tisini.
 
umeongea point ila tatizo umeongea kihuni na hilo ndio tatizo la chadema kuanzia viongozi wao mpaka wanachama wao
 
Mahurulain si ni ahadi tuliyoahidiwa tukishafanya Ugaidi? Au nikupe ushahidi?
Narudia tena kukuambia Chadema pambaneni na CCM siyo kupambana Uislam.

Wewe andika upendavyo dhidi ya Uislam wala hakuna wakukukataza ni haki yako.

Mtakutana na Wislam wakati wa uchaguzi mtakapokwenda kuwaomba kura mwaka 2015.

Weka ushahidi kamanda Waislam wakusome.
 
Mkuu Matola karibu sana kwenye mapambano, karibu kwenye vita ya ukombozi wa nchi hii.

Ni furaha kuona watu wanaingia na miguu yote miwili.

Bado Ritz, Simiyu Yetu, sixgates
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.

Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.

Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.

We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.

Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.

Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene

kamanda karibu sana..
 
Last edited by a moderator:
umeongea point ila tatizo umeongea kihuni na hilo ndio tatizo la chadema kuanzia viongozi wao mpaka wanachama wao
 
Ritz kwani sikuzote hujui hawo movements for chagas (m4c) wanatuchukia sana waislamu na uislam. Huoni Zitto alivoshambuliwa,namwonea huruma sana [MENTION=45653]mohamedi mtoi nachoshangaa 2015 watatuomba kura cc Mohamedi Mtoi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom