Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,751
- 46,270
Hoja gani kwenda kupambana na hawa Zitto THE BIG SHOWma pro~ccm kwa mipasho!....ila sishangai...ila kwa mtu kama wewe nilizani utajikita zaidi kwenye hoja.
Last edited by a moderator:
Hoja gani kwenda kupambana na hawa Zitto THE BIG SHOWma pro~ccm kwa mipasho!....ila sishangai...ila kwa mtu kama wewe nilizani utajikita zaidi kwenye hoja.
JF siyo mali ya Chadema nenda Ufipa katangaze huu upuuzi wako kama unajiunga sisi tufanyaje kauzu kama wewe kweli kuna mtu atahangaika na wewe, kwanza unakaa kwa shemeji yako Ukonga.
Cc: chama.
Hata Sugu na Lema sasa hivi watatangaza kujiunga na Chadema.
Ukishaona muuza maandazi anajiuzia mwenyewe ujue vimeungua hivyo...
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.
Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.
Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.
We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.
Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.
Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene
Mkuu Mingoi.TANGAZO LA KIFO
Jina la marehemu: Chadema mitandaoni
Amefariki: Tarehe: 2.Nov.2013
Amezikwa:Tarehe: 7.Nov.2013
Chanzo cha kifo: G.J.Lema,Ben Saanane,Yericko Nyerere na misukule shooting stars
Wasifu wa marehemu: Ni vibaya kumsema marehemu lakini hakuwa na tabia njema mbele ya jamii
Marehemu ameacha: misukule,uongozi dhaifu na mtoto wa nje aliejitokeza leo anaitwa MATOLA
NOTE: Sababu za kuchelewa kuzikwa alikuwa anasubiriwa mwanawe kipenzi Sixgate kutoka ngambo.
.........................................................R.I.P MAGWANDA...............................................................................
Matola Chadema ebu punguza munkali utavunja keyboard za watu (internet cafe) uzue majanga mbona Ritz yuko mbali kamandaKama wewe huwezi kuhangaika na mimi ni nini kimekuwasha huko kwenye msunu wako mpaka ukaja kuchangia thread hii? Au huwezi kulipwa buku saba zako bila kujishongondoa hapa?
Page is loading..........msukule.Kama wewe huwezi kuhangaika na mimi ni nini kimekuwasha huko kwenye msunu wako mpaka ukaja kuchangia thread hii? Au huwezi kulipwa buku saba zako bila kujishongondoa hapa?
Sijui anakasirika nini wakati kaleta tangazo JF kama alikuwa ataki watu wachangie huu uzi angepeleka Ufipa.Matola Chadema ebu punguza munkali utavunja keyboard za watu (internet cafe) uzue majanga mbona Ritz yuko mbali kamanda
Yeye mwenyewe kwanza hayuko sawa ataweza kujibu maswali kama haya.Jibu mswali haya na na mwisho uamue
1. Wewe ni kabila gani na unaishi wapi?
2. Unaamini katika "wengi waumie wachache wafaidike"?
3. Unajua msingi wa kwanza wa Chadema ilipoundwa? Kikao cha kwanza kilifanyika wapi na unaweza ukapata kumbukumbu ya minits hizo? hapana? ndio? kwanini?
4. Wewe unaweza ukawa na umuhimu kama aliokuwa nao Mwigamba au Shitambala?
5. Unakumbuka yaliyompata Chacha Wangwe kabla ya kifo chake? unayamini? ndio/hapana? kwanini?
6.Mabadiliko maana yake nini? na Demokrasia nini? unaijua dhana hii? Je, unaihusishaje na Chadema ya leo?
Matola Chadema ebu punguza munkali utavunja keyboard za watu (internet cafe) uzue majanga mbona Ritz yuko mbali kamanda
Page is loading..........msukule.
TANGAZO LA KIFO
Jina la marehemu: Chadema mitandaoni
Amefariki: Tarehe: 2.Nov.2013
Amezikwa:Tarehe: 7.Nov.2013
Chanzo cha kifo: G.J.Lema,Ben Saanane,Yericko Nyerere na misukule shooting stars
Wasifu wa marehemu: Ni vibaya kumsema marehemu lakini hakuwa na tabia njema mbele ya jamii
Marehemu ameacha: misukule,uongozi dhaifu na mtoto wa nje aliejitokeza leo anaitwa MATOLA
NOTE: Sababu za kuchelewa kuzikwa alikuwa anasubiriwa mwanawe kipenzi Sixgate kutoka ngambo.
.........................................................R.I.P MAGWANDA...............................................................................
Matola Chadema ebu punguza munkali utavunja keyboard za watu (internet cafe) uzue majanga mbona Ritz yuko mbali kamanda
Mkuu Matola,
Umepotea njia. Vijana werevu sasa hivi wameshashtukia kwamba Chadema ni mradi binafsi wa watu fulani. Ndio maana wapo wanaoweza kufanya chochote wanachotaka bila kuchukuliwa hatua lakini wengine wakikohoa tu wanakula kibano.
Fikiria kwa makini, unapotea njia...
Mkuu Matola,
Umepotea njia. Vijana werevu sasa hivi wameshashtukia kwamba Chadema ni mradi binafsi wa watu fulani. Ndio maana wapo wanaoweza kufanya chochote wanachotaka bila kuchukuliwa hatua lakini wengine wakikohoa tu wanakula kibano.
Fikiria kwa makini, unapotea njia...
Kutokana na hali hali halisi mimi kama Matola nimekuwa nikiunga mkono harakati za Chadema kisiasa.
Ila kwakuwa wametokea manyang'au wanaotaka kuzorotesha harakati za kuiondoa CCM madarakani bila kuwa wanachama wa vyama, sasa nadhani ni muda muhafaka wa mimi kuwa mwanachama wa Chadema na kuwashikisha adabu ng'ombe wote wanafifisha harakati za wapenda mabadiliko.
Nimefikia uamuzi huu kwa sababu tuko wengi ambao tumesapoti nabadiliko bila kuwa wanachama wa upinzani lakini ninachokiona sasa hakipaswi kufumbiwa macho.
We are going to destroy all traters na mapandikizi yote, na soon nitakuwa verified user hapa JF ili kumaanisha vita hii wajinga wote wanashindwa.
Chadema ni mpango wa Mungu hakuna mmpumbavu yoyote wa kuzima harakati hizi.
Cc; Ben Saanane Mungi Tumaini Makene
Mkuu UchaguziJibu mswali haya na na mwisho uamue
1. Wewe ni kabila gani na unaishi wapi?
2. Unaamini katika "wengi waumie wachache wafaidike"?
3. Unajua msingi wa kwanza wa Chadema ilipoundwa? Kikao cha kwanza kilifanyika wapi na unaweza ukapata kumbukumbu ya minits hizo? hapana? ndio? kwanini?
4. Wewe unaweza ukawa na umuhimu kama aliokuwa nao Mwigamba au Shitambala?
5. Unakumbuka yaliyompata Chacha Wangwe kabla ya kifo chake? unayamini? ndio/hapana? kwanini?
6.Mabadiliko maana yake nini? na Demokrasia nini? unaijua dhana hii? Je, unaihusishaje na Chadema ya leo?