Sasa Lema, Nassari na CHADEMA wataamka?

Sasa Lema, Nassari na CHADEMA wataamka?

ha ha , ina maana seriously haujui cha kufanya??

siamini

acha ujinga
Sijui, ebu nipe cha kufanya! (next time avoid neno ujinga, response yake inaweza ikakuudhi siku nzma. Confine yourself into philosophizing and not abusing!)
 
Imewachukua almost miaka 10 kung'amua hilo. Since before 2008, are you slow?
No si kwamba tuko slow.tumeenda vizuri sana kwa kipindi chote.lakini tangu aingie Bob mikwara na mipango ya kuangamiza ni lazima tushtuke kabla hatujauliwa jumla.
 
No si kwamba tuko slow.tumeenda vizuri sana kwa kipindi chote.lakini tangu aingie Bob mikwara na mipango ya kuangamiza ni lazima tushtuke kabla hatujauliwa jumla.

Politics is dynamic, hata kwa sasa mmeshachelewa, mmepoteza muda hivyo kucatch up sijui kama mtaweza kama ndio kwanza mnaanza kuzinduka.

Na doubt kwa sababu hamna vipaumbele, hamna mission, hamna strategy na kama ipo hiyo strategy basi it is not implementable; hamna mgawanyo wa majukumu (hamuamini katika delegation au hamuaminiani).
 
Hata Gwajima nae kwenye isssue ya Bashite alikuwa ananikera sana kuonyesha imani kuwa mkulu atachukua hatua wakati ndio kwanza alikuwa anamlinda.

Ifike mahali waacha kuonyesha imani na huyu mtu maana hawasikilizi.
Na Mange Kimambi amechukua hatua gani Kamanda?
 
sema wafanyeje, propose the way out in a pieceful , lawful manner

The propose as a way out has been clearly stated by the topic presenter.....

I suggest you go back and read it again and again and again aloud in order to make them i. e opposition avoid doing the same mistakes again and again....

They should not continue using the same political strategies and approach they used 5 or 7 years ago to challenge the current CCM which is owned by the state by more than 150 % !!
 
Politics is dynamic, hata kwa sasa mmeshachelewa, mmepoteza muda hivyo kucatch up sijui kama mtaweza kama ndio kwanza mnaanza kuzinduka.

Na doubt kwa sababu hamna vipaumbele, hamna mission, hamna strategy na kama ipo hiyo strategy basi it is not implementable; hamna mgawanyo wa majukumu (hamuamini katika delegation au hamuaminiani).
usituvunje moyo tunajua tulipotoka ni wapi na mpaka sasa tumefika wapi.wewe endelea na chama chako cha manunuzi. acha tabia za kichawi
 
MKUU, NI HERI WALIVYOPELEKA HUO USHAHDI NA KUTHBITISHIA UMMA KUWA TAKUKURU HAIPAMBANI NA RUSHWA, WASINGEPELEKA INGEONEKANA WAFITINI.
 
mimi huwa nawaita wazee wa kubweka, huwa nawafananisha wapinzania wa Tanzania kama mbwa koko (samahani kwa hili)... sifa za wapinzania wa Tanzania hazina tofauti na mbwa koko, na CCM pia wanalijua hili lakini hii pia ni sifa ya watanzania kubweka bweka bila kuwa na suluhu ya tatizo..
Ni maneno magumu ila yana ukweli ndani mkuu
 
usituvunje moyo tunajua tulipotoka ni wapi na mpaka sasa tumefika wapi.wewe endelea na chama chako cha manunuzi. acha tabia za kichawi

Kwa lugha hii unadhani mtakuwa mnajua mlipotoka na mnapokwenda! Just know mmetoka pazuri penye nuru na mmefika penye mionzi mibaya mkidhani bado mpo pazuri, no wonder mkibadili gia kuelekea kubaya gizani.
 
Hivi nyie mnaosema "Chadema wanatakiwa wafanye hivi au vile" mara "wa-react fiercely " ni watu wa chama gani?Akiwemo mtoa post.

Maana mnajiweka pembeni na kujipa taswira km ni wenye mikakati na majasiri.

Woote ni waoga watupu kwa nini msikusanyane na kwenda kupambana na hiyo Serikali ya "kidikteta?",msijitie Ujasiri wa mitandaoni.

Ingieni front ndiyo mtajua kwa nini wenzenu hivi sasa wameacha ujinga wa "ku-react fiercely "?
 
Tunawasubili kwa hamu
Gadafi Na CCM Na chadema Ni tofauti kabisa. Tulieni msome namba vizuri.
Sisi tutasoma Namba na kulia machozi, Ila Wewe iko siku utaona Nyota nyota na kulia Machozi ya Damu, Siku ukiona SAMwel Doe2 Akifufukia Tanzania na Kupaa Mawinguni Kama Tai.

Kuna Jamaa Mmoja Anaitwa SAMweli Nilisoma habari zake, ushuhuda wake ni Kiboko! He may give us a lesson!
 
Sisi tutasoma Namba na kulia machozi, Ila Wewe iko siku utaona Nyota nyota na kulia Machozi ya Damu, Siku ukiona SAMwel Doe2 Akifufukia Tanzania na Kupaa Mawinguni Kama Tai.

Kuna Jamaa Mmoja Anaitwa SAMweli Nilisoma habari zake, ushuhuda wake ni Kiboko! He may give us a lesson!
Ndoto za Alinacha
 
Back
Top Bottom