Ukweli mchungu kwa UKAWA na upinzani, Lowassa hawezi kutuvushaCdm walikuwa wanaenda vizuri , lakini ule ushauri wa Lowassa kuwa waachane na siasa za uanaharakati ulikuwa na kasoro. Lakini pili maandamano ya UKUTA hayakupaswa kuahirishwa wala kuingiliwa na kina Pengo & Co's.
Africa inafanana
Walikuwepo wakorofi na kibri zaidi yake wakaondoka.Nyie mjaribuni, ndio mtatambua kwanini kuku hakojoi.
Chadema hawana smg sasa wafanyeje?
Ukweli Lema, Nasari na CHADEMA kwa ujumla wamefanya sehemu yao ya kazi. Na wameifanya kwa ustadi mwingi kuliko ilivyofikiriwa. But wamevuna kejeli. Ni kweli kabisa hata uchaguzi ujao wanaweza wasishinde due to mazingira but wamefanya kazi yao vizuri. Kazi ya mwanafunzi ni kusoma kwa bidii na kujibu maswali kwa ufasaha, lakini kufaulu inategemea mazingira. Kama Yesu alivuna kejeli, kama Mtume alivuna kejeli lakini leo karibu watu wote duniani wanaishi kufuata mafundisho yao, kuna shida gani kwa Mwanadamu kama Lema na Nasari kukejeliwa, kudhihakiwa nk?Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu CHADEMA, bado hawaamini kuwa uhuni wanaofanyiwa unatokea mbali zaidi ya polisi, zaidi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa. Nilikuwa nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai watampelekea mh. Rais ushahidi wa madiwani kuhongwa nikasikia kichefuchefu!
Nafikiri nilisema mahali ninyi toeni huo ushahidi, in public, sasa baada ya kubezwa na TAKUKURU na Mnyeti kupewa ukuu wa mkoa, kupandishwa, nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia mtu ujumbe kuwa, "The magic of fear is working"
Na kama hawatakuwa na mkakati wa pamoja wa kujua namna ya kupambana kisiasa very forcefully, 2020 wakibakizwa wabunge 5 wa CHADEMA niiteni mbwa!
Why I say so!
1) Kama mwenzenu anapigwa risasi mchana kweupe, reaction inakuwa ni unyonge, ukishinda ubunge wakamtangaza mwingine utafanyaje?
2) Kama Kigaila anakamatwa na polisi kwa kuhoji kwanini Makonda anazunguka na wenye bunduki reaction yenu inakuwa hii, mkinyang'anywa ubunge mtaweza kufanya nini?
3) Kama mtu bustani zako zinaharibuwa unalia lia unajibu uhuni kwa sheria ukinyang'anywa ubunge hata kama umeshinda kwa asilimia 90% utafanyaje!
4) Hivi neno, " Jecha apewe tuzo" linaashiria nini kwenu?
5) Hivi pamoja na kuonyesha wazi Mnyeti alihusika kuhonga madiwani na bado akapandishwa cheo inaashiria nini kwenu!
Endeleeni kulia goodluck, pengine mtaonewa huruma! Guys mnachokifanya ni kutuma ujumbe kuwa hata mfanyiwe nini hamwezi fanya lolote, "And the envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"
Halafu acheni madharau!
i also see this man.Upinzani wanaweza wakaporwa majimbo yoteNa kama hawatakuwa na mkakati wa pamoja wa kujua namna ya kupambana kisiasa very forcefully, 2020 wakibakizwa wabunge 5 wa CHADEMA niiteni mbwa!
Funny???!!!!!!!!Magufuli ametuhakikishia hawezi kuheshimu sheria, dicteta na I doubt kama hata ana utashi (conscience) I compare him to an animal! He is barbaric!
mkuu, I can't put it any better!Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu CHADEMA, bado hawaamini kuwa uhuni wanaofanyiwa unatokea mbali zaidi ya polisi, zaidi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa. Nilikuwa nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai watampelekea mh. Rais ushahidi wa madiwani kuhongwa nikasikia kichefuchefu!
Nafikiri nilisema mahali ninyi toeni huo ushahidi, in public, sasa baada ya kubezwa na TAKUKURU na Mnyeti kupewa ukuu wa mkoa, kupandishwa, nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia mtu ujumbe kuwa, "The magic of fear is working"
Na kama hawatakuwa na mkakati wa pamoja wa kujua namna ya kupambana kisiasa very forcefully, 2020 wakibakizwa wabunge 5 wa CHADEMA niiteni mbwa!
Why I say so!
1) Kama mwenzenu anapigwa risasi mchana kweupe, reaction inakuwa ni unyonge, ukishinda ubunge wakamtangaza mwingine utafanyaje?
2) Kama Kigaila anakamatwa na polisi kwa kuhoji kwanini Makonda anazunguka na wenye bunduki reaction yenu inakuwa hii, mkinyang'anywa ubunge mtaweza kufanya nini?
3) Kama mtu bustani zako zinaharibuwa unalia lia unajibu uhuni kwa sheria ukinyang'anywa ubunge hata kama umeshinda kwa asilimia 90% utafanyaje!
4) Hivi neno, " Jecha apewe tuzo" linaashiria nini kwenu?
5) Hivi pamoja na kuonyesha wazi Mnyeti alihusika kuhonga madiwani na bado akapandishwa cheo inaashiria nini kwenu!
Endeleeni kulia goodluck, pengine mtaonewa huruma! Guys mnachokifanya ni kutuma ujumbe kuwa hata mfanyiwe nini hamwezi fanya lolote, "And the envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"
Halafu acheni madharau!
Upinzani umejaa watu wenye maneno kama wewe ndio maana haufiki popote. Hata bila kufanya vurugu bado wangeweza kutumia akili zao vizuri zaidi. Mikakati haipangwi kwa mihemko na ubishi wenye maneno mengi.Umeandika vizuri, tena sana, sasa wafanyeje? If it were you, what would you have done in a forceful way? Resistance ya ndani ni ngumu. sisi tuliwahi shuhudia Idd Amin, tunajua ugumu wa unachokiongea.
Nakubaliana na wewe. Uongozi wa Chadema hauna maamuzi magumu. Kuna kila sababu ya kufanyika 'mbiu ya mgambo otherwise hawataweza kuvuka mto!Ukweli mchungu. Chadema tunahitaji kubadili mbinu. wenzetu wana nguvu kubwa ya vyombo vya serikali.
Ukawa bado ipo?mkuu, I can't put it any better!
UKAWA wakiendelea kusubiria huruma watasubiri sana hadi siku ya kiama!
.....kama CCM ipo basi na UKAWA nayo ikali bado ipo!Ukawa bado ipo?
Ha ha endelea kuota mchana kweupee......kama CCM ipo basi na UKAWA nayo ikali bado ipo!
Semeni tu ukweli kwamba mnammiss dr mihogo ili mueleweke.. Vinginevyo mtabweka wee! Lkn mbowe hatawasikiliza ng'ooHata Gwajima nae kwenye isssue ya Bashite alikuwa ananikera sana kuonyesha imani kuwa mkulu atachukua hatua wakati ndio kwanza alikuwa anamlinda.
Ifike mahali waacha kuonyesha imani na huyu mtu maana hawasikilizi.