Sasa Lema, Nassari na CHADEMA wataamka?

Sasa Lema, Nassari na CHADEMA wataamka?

TL. Marandu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
3,625
Reaction score
5,815
Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu CHADEMA, bado hawaamini kuwa uhuni wanaofanyiwa unatokea mbali zaidi ya polisi, zaidi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa. Nilikuwa nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai watampelekea mh. Rais ushahidi wa madiwani kuhongwa nikasikia kichefuchefu!

Nafikiri nilisema mahali ninyi toeni huo ushahidi, in public, sasa baada ya kubezwa na TAKUKURU na Mnyeti kupewa ukuu wa mkoa, kupandishwa, nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia mtu ujumbe kuwa, "The magic of fear is working"

Na kama hawatakuwa na mkakati wa pamoja wa kujua namna ya kupambana kisiasa very forcefully, 2020 wakibakizwa wabunge 5 wa CHADEMA niiteni mbwa!

Why I say so!

1) Kama mwenzenu anapigwa risasi mchana kweupe, reaction inakuwa ni unyonge, ukishinda ubunge wakamtangaza mwingine utafanyaje?

2) Kama Kigaila anakamatwa na polisi kwa kuhoji kwanini Makonda anazunguka na wenye bunduki reaction yenu inakuwa hii, mkinyang'anywa ubunge mtaweza kufanya nini?

3) Kama mtu bustani zako zinaharibuwa unalia lia unajibu uhuni kwa sheria ukinyang'anywa ubunge hata kama umeshinda kwa asilimia 90% utafanyaje!

4) Hivi neno, " Jecha apewe tuzo" linaashiria nini kwenu?

5) Hivi pamoja na kuonyesha wazi Mnyeti alihusika kuhonga madiwani na bado akapandishwa cheo inaashiria nini kwenu!

6) Kilichonichefua Kuliko vyote Ni pale Lipumba alipowafukuza Wabunge halali na Akawachagua Wabunge Ndondocha fake! Kwa msaada wa Ndugai na Magufuli, Reaction ya Ukawa Ikawa ya Kijinga Kijinga, ati wanakimbilia Mahakamani! 2020 Mmeshamthibitishia Magufuli Magic yake ya Uhuni, It actually works! Mtaona Undundu Mtakaofanyiwa!

Endeleeni kulia goodluck, pengine mtaonewa huruma! Guys mnachokifanya ni kutuma ujumbe kuwa hata mfanyiwe nini hamwezi fanya lolote, "And the envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"

Halafu acheni madharau!
 
Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu Chadema, Bado hawaamini Kuwa Uhuni Wanaofanyiwa Unatokea Mbali zaidi ya Polisi, Zaidi ya wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa. Nilikuwa Nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai Watampelekea Mh. Rais Ushahidi wa Madiwani Kuhongwa Nikasikia Kichefuchefu!

Nafikiri Nilisema Mahali Ninyi toeni huo Ushahidi, in Public, Sasa Baada ya Kubezwa na Takukuru na Mnyeti Kupewa Ukuu wa Mkoa, kupandishwa, Nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia Mtu Ujumbe kuwa, "The Magic of Fear is Working"

Na Kama hawatakuwa na Mkakati wa Pamoja wa Kujua namna ya Kupambana Kisiasa very forcefully, 2020 Wakibakizwa Wabunge 5 wa Chadema Niiteni Mbwa!

Why I say so!
1) Kama Mwenzenu anapigwa Risasi Mchana Kweupe, Reaction inakuwa ni Unyonge, Ukishinda Ubunge wakamtangaza Mwingine Utafanyaje?
2) Kama Kigaila anakamatwa na Polisi kwa Kuhoji kwanini Makonda anazunguka na Wenye Bunduki reaction yenu inakuwa hii, Mkinyang'anywa Ubunge Mtaweza kufanya Nini?
3) Kama Mtu Bustani zako zinaharibuwa Unalia lia Unajibu uhuni kwa sheria Ukinyang'anywa Ubunge hata kama Umeshinda kwa asilimia 90% Utafanyaje!
4) Hivi neno, " Jecha apewe Tuzo" Linaashiria Nini Kwenu?
5) Hivi Pamoja na Kuonyesha Wazi Mnyeti alihusika kuhonga Madiwani na Bado Akapandishwa Cheo Inaashiria Nini Kwenu!

Endeleeni Kulia Goodluck, Pengine Mtaonewa huruma! Guys Mnachokifanya ni Kutuma Ujumbe kuwa hata Mfanyiwe nini hamwezi fanya Lolote, "And the Envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"

HALAFU ACHENI MADHARAU!
MKUU UMENENA !!!!!!
NI LAZIMA WEWE NA MIKAKATI YA NGUVU KUPAMBANA NA UTAWALA WA KI DIKTETA.
 
Wewe unataka wafanyaje angali dola imeshikiliwa na mtu mmoja?? Kila kitu kinapelekwa kusheria na inaonesha kuna watu wako juu ya sheria
 
Kweli tupu.. Ifike mahali sasa Chadema wawe wana react fiercely..!!

Na sio ku-react kwa kuitisha press conference..

Enough is enough..

Hawa watawala wapo tayari hata kupoteza uhai wa mtu ili watawale tu..

Chadema ibadili mkakati sasa..

Aggressiveness is needed now.
 
Kweli tupu.. Ifike mahali sasa Chadema wawe wana react fiercely..!!

Na sio ku-react kwa kuitisha press conference..

Enough is enough..

Hawa watawala wapo tayari hata kupoteza uhai wa mtu ili watawale tu..

Chadema ibadili mkakati sasa..

Aggressiveness is needed now.
Siyo kwa awamu hii!
 
mimi huwa nawaita wazee wa kubweka, huwa nawafananisha wapinzania wa Tanzania kama mbwa koko (samahani kwa hili)... sifa za wapinzania wa Tanzania hazina tofauti na mbwa koko, na CCM pia wanalijua hili lakini hii pia ni sifa ya watanzania kubweka bweka bila kuwa na suluhu ya tatizo..
 
mimi huwa nawaita wazee wa kubweka, huwa nawafananisha wapinzania wa Tanzania kama mbwa koko (samahani kwa hili)... sifa za wapinzania wa Tanzania hazina tofauti na mbwa koko, na CCM pia wanalijua hili lakini hii pia ni sifa ya watanzania kubweka bweka bila kuwa na suluhu ya tatizo..
Chadema hawana smg sasa wafanyeje?
 
mimi huwa nawaita wazee wa kubweka, huwa nawafananisha wapinzania wa Tanzania kama mbwa koko (samahani kwa hili)... sifa za wapinzania wa Tanzania hazina tofauti na mbwa koko, na CCM pia wanalijua hili lakini hii pia ni sifa ya watanzania kubweka bweka bila kuwa na suluhu ya tatizo..
Cdm walikuwa wanaenda vizuri , lakini ule ushauri wa Lowassa kuwa waachane na siasa za uanaharakati ulikuwa na kasoro. Lakini pili maandamano ya UKUTA hayakupaswa kuahirishwa wala kuingiliwa na kina Pengo & Co's.

Africa inafanana
 
Kweli TL. Marandu, kama opponent wako yuko tayari kuua huyo sio wa kumwendea kwa matamko, Chadema wanatakiwa kuwaonyesha advertise moja ambayo hawatasahau kiasi kwamba kila wakitaka kufanya hujuma lazima wajiulize mara mbili mbili, mtu anapigwa risasi mnajibu kwa press conference kweli?

Kuna haja ya CHADEMA kubadilika kuendana na hali halisi
 
Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu Chadema, Bado hawaamini Kuwa Uhuni Wanaofanyiwa Unatokea Mbali zaidi ya Polisi, Zaidi ya wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa. Nilikuwa Nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai Watampelekea Mh. Rais Ushahidi wa Madiwani Kuhongwa Nikasikia Kichefuchefu!

Nafikiri Nilisema Mahali Ninyi toeni huo Ushahidi, in Public, Sasa Baada ya Kubezwa na Takukuru na Mnyeti Kupewa Ukuu wa Mkoa, kupandishwa, Nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia Mtu Ujumbe kuwa, "The Magic of Fear is Working"

Na Kama hawatakuwa na Mkakati wa Pamoja wa Kujua namna ya Kupambana Kisiasa very forcefully, 2020 Wakibakizwa Wabunge 5 wa Chadema Niiteni Mbwa!

Why I say so!

1) Kama Mwenzenu anapigwa Risasi Mchana Kweupe, Reaction inakuwa ni Unyonge, Ukishinda Ubunge wakamtangaza Mwingine Utafanyaje?

2) Kama Kigaila anakamatwa na Polisi kwa Kuhoji kwanini Makonda anazunguka na Wenye Bunduki reaction yenu inakuwa hii, Mkinyang'anywa Ubunge Mtaweza kufanya Nini?

3) Kama Mtu Bustani zako zinaharibuwa Unalia lia Unajibu uhuni kwa sheria Ukinyang'anywa Ubunge hata kama Umeshinda kwa asilimia 90% Utafanyaje!

4) Hivi neno, " Jecha apewe Tuzo" Linaashiria Nini Kwenu?

5) Hivi Pamoja na Kuonyesha Wazi Mnyeti alihusika kuhonga Madiwani na Bado Akapandishwa Cheo Inaashiria Nini Kwenu!

Endeleeni Kulia Goodluck, Pengine Mtaonewa huruma! Guys Mnachokifanya ni Kutuma Ujumbe kuwa hata Mfanyiwe nini hamwezi fanya Lolote, "And the Envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"

HALAFU ACHENI MADHARAU!
Umeandika vizuri, tena sana, sasa wafanyeje? If it were you, what would you have done in a forceful way? Resistance ya ndani ni ngumu. sisi tuliwahi shuhudia Idd Amin, tunajua ugumu wa unachokiongea.
 
Back
Top Bottom