ajiriwa na wewe uvae sare mkuuSasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini
Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.
Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.
Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.
Kweli kila enzi na zama zake loo.
Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
acha wavae, hata police walivaa uniform ikamrahisishia Hamza kuwamiminia risasi.Sasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini
Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.
Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.
Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.
Kweli kila enzi na zama zake loo.
Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
Na TANESCO.Naunga mkonyo hoja
Mf: DAWASA wafanya kazi wake wanatulingishia Sana Uniform huku mtaani
wengine wameanza kusajili line wanavaa tshet za makampuni ili tujue wanafanya kazi Voda.Sasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini
Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.
Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.
Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.
Kweli kila enzi na zama zake loo.
Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
nimeona huku kwetu Tandika Mwembeyanga walinzi wa KK SECURITY wanavalia sare nyumbaniNn
Njoo basi upange mtaani kwetu na kiingereza chako tuna upungufu wa waongea kiingereza mtaani
Mbona kamwaga na manara wanavaa jezi za yanga na simba mchana kutwa. Acha wajioneshe bwasheeSasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini
Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.
Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.
Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.
Kweli kila enzi na zama zake loo.
Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
Hapo uliposema "kuringishia" ndio penye shida zaidi kuliko hizo "uniform za kazini"Sasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini
Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.
Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.
Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.
Kweli kila enzi na zama zake loo.
Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
Sasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini
Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.
Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.
Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.
Kweli kila enzi na zama zake loo.
Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
Jiwe gizani,, ukisikia yalaaaaaaaPoor mindset, inferiority complex and poor level of thinking which may result from both malnutrition and pschological issues!
Nna mwanangu anafanya kazi mabasi ya abood, basi akirudi na kipasta chake cha mchele tisheti yake ya abood afu kachomekea na dundo lake lina udongo udongo mwekundu, hapo atazunguuka mtaa mzima ili mjue kama karudi, kila mtu akimsalimia tu utasikia anaanza kusema, ndo narudi safari bwana, yani hata ujamuuliza, akibadilisha hiyo tisheti katia form six zote logo abood
🙌Poor mindset, inferiority complex and poor level of thinking which may result from both malnutrition and pschological issues!
We kichwa yako unaijua mwenyewe, ila hiyo kiuhalisia ni inferiority complex.Nn
Njoo basi upange mtaani kwetu na kiingereza chako tuna upungufu wa waongea kiingereza mtaani
Kifo cha Magu kimemuathiri kisaikolojia mpaka dishi limechezaukifatilia thread zake za hivi karibuni utagundua huyu jamaa anahitaji msaada wa kitabibu.
Anahitaji msaada maana lile pigo la kuondokewa na mwendazake limemchanganya sana. Haamini kilichotokea 😁😁MTOA MADA NI YALE MASALIA YA YULE ALIEPITA SASA ANAJIKOSHA KOSHA HUMU KWA MADA ZISIZO NA MAANA