Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.
Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.
Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini👇🏽👇🏽
Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?
Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.
Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini👇🏽👇🏽