Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,519
- 11,039
mtu kama huyu anashindwaje kuwa mchawiPoor mindset,inferiority complex and poor level of thinking which may result from both malnutrition and pschological issues!
mtu kama huyu anashindwaje kuwa mchawiPoor mindset,inferiority complex and poor level of thinking which may result from both malnutrition and pschological issues!
Ila sio ya rangi ya Ugoro kama suti ya NSSFSasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini
Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.
Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.
Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.
Kweli kila enzi na zama zake loo.
Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
Mafundi gereji acha kabisa. ukutane neo kwa mamantilie sasa....Ata majamaa wa Bucha nao wanavimba siku hizi
Tulipokuwa Jeshi la Kujenga Taifa kipindi hicho Operesheni Nyerere vijana tuliokuwa mafunzoni na tunafanyakazi kwenye mashirika ya umma tulipaswa kuvaa kombati zetu maofisini wakati wote..Tuulize wahenga.
Au labda ukisema zamani unamaanisha nini?
Kwanza mabasi ya viwanda na makampuni yote. karibu kila kiwanda kilikuwa na mabasi yake yanawateremsha wafanyakazi kwenye vituo vikubwa Dar.
Halafu walikuwa wanavaa uniforms.
Wafanyakazi wa customs na bandari kuna mpaka uniforms za Jumatano.
Hivi Ni graduates au graduands ipi Ni sahihi ? WadauMmmh Yehodaya unapenda "mbango" Kiingereza ni lugha tu🤣....huku uswazi nako kuna "graduates" wengi mno tena wasio na ajira+ wageni kutoka Kenya, Uganda & Zambia.
"Graduand" hajamaliza chuo na kutunukiwa....Hivi Ni graduates au graduands ipi Ni sahihi ? Wadau
🤣👋Yaani tupotupo tu duniani
Ohooo! Graduate"Graduand" hajamaliza chuo na kutunukiwa....
Tuleteeni na za wale zinazofanana na Maharage almaarufu "COMBAT"Ipo siku utasema wanayanga tunaringa na jezi zetu, na tutazitinga ile mbayaView attachment 1922635
Mkuuu Hamia kwa Kitana njiwa pori miyeyusho. Karibu mitaa yetu hapa Kayenze na huko Igombe wape Hi washkaji akina White!Hata mi siku hizi natembea na boya la kuogelea(life jarket) kuwalingishia watu mtaani kuwa nimeajiriwa kwa njiwa poli. Au nasema uongo ndugu zangu
Ongeza sauti brotherHata wadangaji siku hizi wanavaa taiti na brazia huku mtaani mchana kweupe ili kutuonesha kuwa wao wana ajira ya kujiuza na wanafanya marketing ya SGR.
Poor mindset,inferiority complex and poor level of thinking which may result from both malnutrition and pschological issues!
Ndo nyie wavaa unifomu kwa wingi mnajifanya mnajua Kizungu. Kila post.... Poor mindset "come on"Poor mindset,inferiority complex and poor level of thinking which may result from both malnutrition and pschological issues!
Mkuu angalia GOOGLE....Ohooo! Gradate katunukiwa au siyo Mkuu
ingawa sijaelewa lakini imenibidi nicheke tu!Poor mindset,inferiority complex and poor level of thinking which may result from both malnutrition and pschological issues!