Sasa gonga beat ya MUZIKI pasipo Computer Wala Kinanda bila kwenda studio kuepuka gharaza za Bei kubwa studio. Najirekodi mwenyewe Kisha peleka Radion

Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.

Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.
JamiiForums1843203646.jpg
 
Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.

Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
MC Masqo katika ubora wake lazima tumuone kwenye American Music Award!!

====================================
Lugha ya Mama kama Gson kwa cypher BET.
====================================
 
Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.

Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
Kimbunga cha jobo kingewapitia watu wa hivi
 
Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.

Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
Thank you.
 
Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.

Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
😂😂😂😂😂😂
 
Ningekua na confidence ya huyu jamaa ningekua mbali sana.
Hakika mkuu umeongea point ambayo wengi hawatakuelewa
Tunafeli maisha 7bu ya kutothubutu
Jamaa anauwezo mkubwa wa kuthubutu
Na anasimamia na kukomaa nacho anachokiamini
Ingawa wengi huisi DISHI limeyumba lkn sivyo hii ni kutokana na misimamo yake ambapo ipo tofauti na vijana wengi wa kitanzania
na zaidi jamaa alileta mpk vyeti vya milembe kuthibitisha kuwa yeye yuko sawa
Mfano tafuta animation fulani hivi inaitwa EPICau Soma historia ya huyu Bi dada Jane Goodall Utagundua kitu
 
Back
Top Bottom