Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Why?Noma sana
HahaPole Sana Mkuu Deogratius Kisandu kwa changamoto unazopitia za afya ya akili.
MC Masqo katika ubora wake lazima tumuone kwenye American Music Award!!Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.
Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
Kimbunga cha jobo kingewapitia watu wa hiviMwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.
Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
Thank you.Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.
Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
HahaKimbunga cha jobo kingewapitia watu wa hivi
Thank youMC Masqo katika ubora wake lazima tumuone kwenye American Music Award!!
====================================
Lugha ya Mama kama Gson kwa cypher BET.
====================================
😂 😂 😂 😂Pole Sana Mkuu Deogratius Kisandu kwa changamoto unazopitia za afya ya akili.
😂😂😂😂😂😂Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.
Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
😂😂😂 imebidi nicheke baada ya kuona hii commentPole Sana Mkuu Deogratius Kisandu kwa changamoto unazopitia za afya ya akili.
Hakika mkuu umeongea point ambayo wengi hawatakuelewaNingekua na confidence ya huyu jamaa ningekua mbali sana.
Nawe piaUsiku mwema Don