imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,041
Tatizo wengi wao IQ zao ni kidogo sanaHili ni moja kati ya yale mataga vichwa panzi,halijaelewa kama uzi ni sarcasm!
😁😁😁,soma vizuri mstari kwa mstari au tafuta mtu akusaidie kuelewa!
Tatizo wengi wao IQ zao ni kidogo sanaHili ni moja kati ya yale mataga vichwa panzi,halijaelewa kama uzi ni sarcasm!
😁😁😁,soma vizuri mstari kwa mstari au tafuta mtu akusaidie kuelewa!
HaaaHaaaWapinzani kwasasa hawana 'hoja' wanaona ilani yetu ya 'CCM' ni 'nzuri' kila siku wanaisoma kwenye mikutano yao iwe ni kwa kuiba hoja au kwa kuponda baadhi ya zilipo kiufupi saivi wapinzani wamegeuka kuwa wachambuzi wa Sera za chama cha CCM na sio kunadi Sera zao.
Wito kwa time ya uchaguzi wawaonye ama kuwafuta kabisa wanaojaribu kupotosha ilani ya CCM kama alivyofanya moja huko Itigi kwa kutaja hadi page, manayake kaikariri kuliko yake, hii ni hatari na itapelekea kumpunguzia kasi Rais wetu.
Wito kwa polisi hawaoni huo uchochezi eti CCM itaweka rehani madini yetu.
Its possible?
Yametumwa na mabeberu wallah
Duh kweli wewe kichwa Panzi square,yaani unakariri kama ilivyoandikwa bila kusugua ubongo. Mataga mna kazi sana Mwaka huu.Upinzani ni vichwa panzi. Afadhali umewaumbua
Teh teh Juha mwingine huyu kutoka MatagaMtoa mada nakunga mkono.Mim ni Cdm ila toka nikae sikai kusikia sera na ilan yetu ila ubabaishaji tu.
Inaitwa "kinyume nyume" storyWapinzani kwasasa hawana 'hoja' wanaona ilani yetu ya 'CCM' ni 'nzuri' kila siku wanaisoma kwenye mikutano yao iwe ni kwa kuiba hoja au kwa kuponda baadhi ya zilipo kiufupi saivi wapinzani wamegeuka kuwa wachambuzi wa Sera za chama cha CCM na sio kunadi Sera zao.
Wito kwa time ya uchaguzi wawaonye ama kuwafuta kabisa wanaojaribu kupotosha ilani ya CCM kama alivyofanya moja huko Itigi kwa kutaja hadi page, manayake kaikariri kuliko yake, hii ni hatari na itapelekea kumpunguzia kasi Rais wetu.
Wito kwa polisi hawaoni huo uchochezi eti CCM itaweka rehani madini yetu.
Its possible?
Yametumwa na mabeberu wallah
Ccm mazero brainHili ni moja kati ya yale mataga vichwa panzi,halijaelewa kama uzi ni sarcasm!
,soma vizuri mstari kwa mstari au tafuta mtu akusaidie kuelewa!
Ninyi kweli ni vilaza,badala ya kuwashukru kwa kuwasaidia kuwaeleweza watanzania uzuri wa ilani yenu,ninyi mnataka wadhibitiwe,au mmeweka matango pori humo?Wapinzani kwasasa hawana 'hoja' wanaona ilani yetu ya 'CCM' ni 'nzuri' kila siku wanaisoma kwenye mikutano yao iwe ni kwa kuiba hoja au kwa kuponda baadhi ya zilipo kiufupi saivi wapinzani wamegeuka kuwa wachambuzi wa Sera za chama cha CCM na sio kunadi Sera zao.
Wito kwa time ya uchaguzi wawaonye ama kuwafuta kabisa wanaojaribu kupotosha ilani ya CCM kama alivyofanya moja huko Itigi kwa kutaja hadi page, manayake kaikariri kuliko yake, hii ni hatari na itapelekea kumpunguzia kasi Rais wetu.
Wito kwa polisi hawaoni huo uchochezi eti CCM itaweka rehani madini yetu.
Its possible?
Yametumwa na mabeberu wallah
Tukiwaambiga vichwa vyenu ni mabebeo ya 'meno na kamasi" mnabisha!! Sasa unashangilia mada ambayo inakupiga "spana" ww mwenyewe hahahahaaaaUpinzani ni vichwa panzi. Afadhali umewaumbua
Na mtoto wa Dada .................!!Jiwe hawezi kujibu hoja Kuhusu mafao
Mayanga Construction
Wameshachoka kusoma maana kila uzi wanaofungua wana kutana na "spana" tu, sasa wanaishia kusoma heading na ku commentAma kweli wafuasi wa CCM ni ng'ombe.....ko umeshindwa kabisa kuelewa mantiki ya mwandishi...
Read between lines dada ndo ukoment!
Jingine hili hapa uwiiiiiiiiiiiiiiiiMtoa mada nakunga mkono.Mim ni Cdm ila toka nikae sikai kusikia sera na ilan yetu ila ubabaishaji tu.
Wasamehe hawana uelewa
Soma upya broNinyi kweli ni vilaza,badala ya kuwashukru kwa kuwasaidia kuwaeleweza watanzania uzuri wa ilani yenu,ninyi mnataka wadhibitiwe,au mmeweka matango pori humo?
read between the lines acha mkurupuko.Upinzani ni vichwa panzi. Afadhali umewaumbua
Kwa hako kasentensi kako ka kiinglish ni wazi upo uwazi mkubwa Sana ndani ya ubongo wako! Yaani Kuna mwanzi ndani ya kichwa chako! Nani mwizi wa Sera za mwenzake Kati ya ccm na cdm?Wapinzani kwasasa hawana 'hoja' wanaona ilani yetu ya 'CCM' ni 'nzuri' kila siku wanaisoma kwenye mikutano yao iwe ni kwa kuiba hoja au kwa kuponda baadhi ya zilipo kiufupi saivi wapinzani wamegeuka kuwa wachambuzi wa Sera za chama cha CCM na sio kunadi Sera zao.
Wito kwa time ya uchaguzi wawaonye ama kuwafuta kabisa wanaojaribu kupotosha ilani ya CCM kama alivyofanya moja huko Itigi kwa kutaja hadi page, manayake kaikariri kuliko yake, hii ni hatari na itapelekea kumpunguzia kasi Rais wetu.
Wito kwa polisi hawaoni huo uchochezi eti CCM itaweka rehani madini yetu.
Its possible?
Yametumwa na mabeberu wallah