Sitaki kuamini kama wahitimu wote wa UD ni vilaza kama inavodaiwa ama ni vichwa sana kama wanavotuaminisha ila majority ya wasomi wa UD wamejaa dharau na kuona wahitimu kutoka vyuo vingine si lolote,binafsi nilihitimu TIA nilsomea Accounting na kuna vijana wenzangu walibahatika kusoma hapo UD BCOM in accounting basi ikawa shida naambiwa nasoma institute na sio chuo wao ndo wanachuo ila kila nikikaa nao kwenye discussion nagundua wana incompetence kubwa sana na tulivohitimu ndipo rangi halisi ya majivuno yao nikaijua kwenye interview ni weupe sana hadi sasa wapo kitaa wanaishia kujisifu wamesoma UD na mwenye TIA yangu nipo kwa kitengo maisha yanaendelea,,,,,uzuri huku kwenye ajira hawatupimi kwa majina ya vyuo Bali kwa competence hapo ndo pananoga sana