Sarakasi na majigambo ya wahitimu wa UDSM

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
4,672
11,858
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu wanafunzi walio hitimu UDSM hasa hasa miaka ya 2000 na kuendelea katika utendaji wao na majivuno yao mtaani na mitandaoni hasa hasa humu JF,

Nilichogundua ni kwamba wengi wao ni bomu (vilaza), kinachowabeba ni jina tu.

They are INCOMPETENT , hata walimu wao nao ni bomu.

Karibuni tupigane kwa hoja, nina mawe kibao nitayatoa.


Luckdube, hayo ni kweli,,

Elimu inapimwa kwa kuangalia watendaji wa serikali,

Haya, sasa angalia ofisi zote zina wahitimu wa UDSM siyo chini ya 7kwa kila 10 na hii imetokana na serikali iyo hiyo kutoa upendeleo wa wazi kwa hao wahitimu kwenye kugawa ajira (tangazo, linasema hivi, wahitimu wa UDSM wanatapewa kipaumbele)

[color]Sasa, tatizo ni utendaji wao, mfano, rushwa, wizi, kukosa weredi na hata ulevi wa kupindukia wakati wa kazi ni watu wa chuo hicho pendwa.[/color=red]

Kwenye, siasa wamekuwepo tangia miaka ya 80's na ndiyo wametufikisha hapa kwenye madeni na siasa uchwara.

Naona mleta uzi, hajakosea wengi wa wahitimu hadi wahadhiri ni vilaza.
 
Mkuu mimi kidogo nimesoma nje..nipo UDSM...hakika ulivosema ni 98% right..though kuna wengine 2% wapo vizuri

Yeye kaongelea wahitimu wengi na walimu wao kwa sehemu kubwa. Sasa wewe una-support walimu na wahitimu au walimu tu. Halafu kama na wewe ni mwalimu huoni kuwa kama waweza kuwa kwenye kundi la wale walimu bomu kwa mujibu wa utafiti wa mleta mada? Halafu kama wahitimu wengi ni bomu, je huoni kama wewe kwa kiasi fulani una mchango hapo?
 
Nilifikir ni mm tu ndie mwenye kuhisi hii issue kumbe tuko wengi kiukweli hata walimu wao wamo wengine vihiyo na ndio maana wanakifanya kiwe kigumu kuingie ili kionekane kiko vizuri ila ni majanga matupu bora ukasome vyuo vidogo vidogo venye majina ya kawaida utatoka uko vizuri kuliko pale
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu wanafunzi walio hitimu UDSM hasa hasa miaka ya 2000 na kuendelea katika utendaji wao na majivuno yao mtaani na mitandaoni hasa hasa humu JF,

Nilichogundua ni kwamba wengi wao ni bomu (vilaza), kinachowabeba ni jina tu.

They are INCOMPETENT , hata walimu wao nao ni bomu.

Karibuni tupigane kwa hoja, nina mawe kibao nitayatoa.
Ahaa umesomo chuo cha kata au JPM anaita university of makorokocho bin utasikia a constituent college of Makorokocho chuo Kama shule ya msingi, Ukilaza shidaa Sema ulipangiwa makorokocho Poole kaka, Dawa imeingia eeh au povu limekuzidi
 
Kwan shda ni nini manake mie sioni, ila ntarudi naendelea kumtafakar huyu mleta hii thread ,,
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu wanafunzi walio hitimu UDSM hasa hasa miaka ya 2000 na kuendelea katika utendaji wao na majivuno yao mtaani na mitandaoni hasa hasa humu JF,

Nilichogundua ni kwamba wengi wao ni bomu (vilaza), kinachowabeba ni jina tu.

They are INCOMPETENT , hata walimu wao nao ni bomu.

Karibuni tupigane kwa hoja, nina mawe kibao nitayatoa.
UDSM chuo kinasumbua bongo huko elimu rasmi imekuja na meli. Nchi za watu hata chuo cha wilaya haijakifikia.

Chuo Kikuu kinashindwa hata kuendesha website ya kueleweka?
 
Back
Top Bottom