Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu

Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu

Ulichokiongelea kuhusu maji kupwa na waisrael kupita nilishawahi kiangalia Mythbusters na Discover Channel!.
Walifanya mpaka mfano kwa kutumia upepo wa boti na maji yaligawanyika, walienda mbali mpaka kufika kwenye nadharia ya manemane!.
PS: Nilishawahi leta mada ya Swoon Hypothesis kwanini Yesu hakufa msalabani (ikahamishiwa jukwaa la Dini).
Hafu wanadhani hayo niliyoanfika eti nimetoa mitandaoni au kwenye vitabu vilivyoachwa! Hayo maelezo nimeyatoa kwenye kitabu cha kutoka. Nilileta Uzi humu kua vitabu vya wakorinto viliandikwa 4 viwili vikapotea ila wanabisha..
 
Nakuja kusoma haya ndo nayapendaga mie....ngoja nisali kidogo maana mwezi wa rozali huu msisahau wakuuu nawakumbusha
 
Makabayo ni vitabu ambavyo vilianza kuwako kabla ya Yesu na mitume, na Yesu au mitume hawakuwahi kuvikoti ktk mafundisho yao.
Waweza niambia muandishi wake no nani? Kiliandikwa lini? Mafundisho take ni mini? Kwanini kiliwekwa kwenye biblia ya kikatoliki?
 
Inawezekana mkuu ..ila kwamba mmoja wa mama jusi alitoka Ethiopia inawezekana pia alitoka sehemu moja kwenda nyingine ila nchi ni hiyo hiyo ...

Kwa mtizamo wako itakuwa ilianzia wapi?
Dini ni mada pana sana!.. Iwapo ukisema Dini ilianzia Ethiopia (Africa) nitakuuliza kwanini Kenya, Tanzania hawakufata mrengo wa dini iliyoanzia hapo nchi jirani!?..
We tambua yule mamajusi aliyetoka Ethiopia hakuwa myahudi ila mfata/mtabiri wa nyota kama wenzie!.
 
Dini ni mada pana sana!.. Iwapo ukisema Dini ilianzia Ethiopia (Africa) nitakuuliza kwanini Kenya, Tanzania hawakufata mrengo wa dini iliyoanzia hapo nchi jirani!?..
We tambua yule mamajusi aliyetoka Ethiopia hakuwa myahudi ila mfata/mtabiri wa nyota kama wenzie!.
walielekea wapi mkuu...
 
Waweza niambia muandishi wake no nani? Kiliandikwa lini? Mafundisho take ni mini? Kwanini kiliwekwa kwenye biblia ya kikatoliki?
Hivo vitabu ni mkusanyiko wa maandishi ya wayahudi wa kale.

Viliandikwa mwaka 250BC,

Wakatoliki wanavichukulia km vitabu vilivo vuviwa na ndio sbbu wameviweka ktk biblia zao.

Mafumdisho yake ni history Za Mambo mbali mbali tu na Vitu vingine si vizuri kabisa.
 
Makabayo ni vitabu ambavyo vilianza kuwako kabla ya Yesu na mitume, na Yesu au mitume hawakuwahi kuvikoti ktk mafundisho yao.
Wimbo ulio bora na Kitabu cha enoki (The book of Enoch) unaona kipi ni kitabu bora!?..
Unaijua historia ya kitabu cha Makabayo kwanini hakikutumika!?.. nisahihishe kwanini hakikuingia kwenye biblia ya Vulgate!?.
 
Ulichokiongelea kuhusu maji kupwa na waisrael kupita nilishawahi kiangalia Mythbusters na Discover Channel!.
Walifanya mpaka mfano kwa kutumia upepo wa boti na maji yaligawanyika, walienda mbali mpaka kufika kwenye nadharia ya manemane!.
PS: Nilishawahi leta mada ya Swoon Hypothesis kwanini Yesu hakufa msalabani (ikahamishiwa jukwaa la Dini).
Mkuu ntakuja PM unipe material kuhusu hiyo swoon hypothesis maana ndio naisikia leo!!
 
Hafu wanadhani hayo niliyoanfika eti nimetoa mitandaoni au kwenye vitabu vilivyoachwa! Hayo maelezo nimeyatoa kwenye kitabu cha kutoka. Nilileta Uzi humu kua vitabu vya wakorinto viliandikwa 4 viwili vikapotea ila wanabisha..
Unadeal na bible heretics usiwape majibu waulize maswali ya majibu ya maswali yao till wakija na strong facts kujitetea!!..
 
Wimbo ulio bora na Kitabu cha enoki (The book of Enoch) unaona kipi ni kitabu bora!?..
Unaijua historia ya kitabu cha Makabayo kwanini hakikutumika!?.. nisahihishe kwanini hakikuingia kwenye biblia ya Vulgate!?.
Kitabu cha Wimbo ulio Bora.

Hivyo Vitabu VA makabayo havikutumika kwasbbu havina uvuvio.

Ata waandishi wa zamani kabisa ambao walikua wanatambua uwepo wa hivyo vitabu visivokua na uvuvio kamwe hawakuweza kuvinukulu hivyo vitabu.
Josephus na Philo hawakufanya hivyo kabisa.
 
Unadeal na bible heretics usiwape majibu waulize maswali ya majibu ya maswali yao till wakija na strong facts kujitetea!!..
Mjadala mzuri hua haujengwi hivyo. Mtu anauliza swali anajibu. Nae anapata nafasi ya kuuliza tena maswali mengine.

Lkn km umesimama kuuliza maswali tu hii haitakua poa.
 
Mihemuko ndio kitu gani na Kwa kitu gani hasa?

Teh Teh, kuna Mambo mengi tu ya hovyo ktk hivyo vitabu na moja ya kitu chepesi ni kufagilia pombe...
Naomba ujibu kama GT sio unaandika kwa mhemko mkuu..
Sema ni vitugani vibaya vilivyomo
 
Hivo vitabu ni mkusanyiko wa maandishi ya wayahudi wa kale.

Viliandikwa mwaka 250BC,

Wakatoliki wanavichukulia km vitabu vilivo vuviwa na ndio sbbu wameviweka ktk biblia zao.

Mafumdisho yake ni history Za Mambo mbali mbali tu na Vitu vingine si vizuri kabisa.
Hahaa kwanza kabisa unatakiwa ujue historia ya Makabyo inaanzia miaka ya 175 BCE Antiochus IV Epiphanes alipoingia kuwa mfalme!. Wakati huo watu wa Yuda wakiwa utumwani kwa zaidi ya Miaka 400!. Huyu Antiochus aliwaua sana wayahudi na alikiuza cheo cha kiongozi wa dini sasa wayahudi hawakua tayari kuona dini yao inachafuka ndio wakawa wanapinga na hasa hasa familia ya mtu mmoja anaitwa YUDA MAKABAYO (Judas Maccabeus).
Mwaka 168 kiongozi wa wayahudi Mattathias aliyekuwa baba wa huyu yuda aliuliwa akamwachia mwanae cheo ambaye nae aliweza pambana kwenye miaka ya 165/164 lakini kufikia mwaka 160 huyu yuda makabayo nae aliuliwa akamwachia kaka yake Jonathan aongoze jahazi!.
Jonathan nae mwaka 142 alitekwa na kuuliwa cheo kikaenda kwa Simon ambae ndie aliweza leta amani ya dini kwa Wayahudi!. Lakini nae huyu Simon alipokufa mjukuu wake Alexander Janneus alikuwa kiongozi wa kiyahudi katili sana, nae alipofariki watoto wake wakapigana vita kutaka madaraka, vita haikuisha mpaka warumi chini ya Pompey walipoivamia Yuda mwaka 63.
Makabayo sio kitabu kibaya, kinahamasisha kujitambua ila kilitolewa kuandikwa kwa sababu za kisiasa!
 
Back
Top Bottom