Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu

Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu

Wewe ndo uko ndani ya mada. Iweje tujadili mambo ya jirani wakati ya hapa nyumbani hatuyajui?
Back to mtoa mada ...
Kuna wanaosema kuwa sanduku la agano liko Vatcan vipi kuhusu hilo?
Uongo huo lilitoweka miaka mingi kabla ya warumi kufika hapo alafu isitoshe halibebwi na watu wachafu
 
Mkuu mtoa mada ninaheshimu sana mambo ya imani ya mtu lakini naomba kukiri kila mada za aina hii zikija huwa najiuliza hivi tungeweka mkazo ktk kujua historia ya kina Mwanamalunde, Mansa Mussa, Shaka Zulu na tukawaenzi kama watu wetu mashujaa na vizazi vikafundishwa kuwaimba na kuwatukuza

Mpaka leo najiuliza imekuwaje mu Israel kafanya historia yake iwe kubwa duniani na hapa hoja isiwe ni Taifa teule

Kujua kila jamii na historia zao si mbaya lkn Wa Africa tumeitupa historia yetu na watu wetu mashuhuri, ‘poor us’

Najua nipo nje ya mada, I’m sorry
Anza kuwafundisha watoto wako hizo historia za mwanamalunde uone zitabadirisha vipi maisha ya wanao kimani pamoja na kifikra. Kisha uje utushawishi
 
Ni kwamba Musa hakuandika matukio yote katika vile vile vitabu vitano vya mwanzo (mwanz,kutoka,hesabu,torat,walawi) ila aliwaagiza waisrael wawasimulie matukio yote watoto wao, sasa walipowasimulia watoto wao hawakuwasimulia kama wataalam wa histori pia waliwasimulia watoto wao kama mambo kamawalivyoyaona kwa macho si kama wataalam wa elimu ya viumbe, mazingira,sayansi nk.
Mfano. Waliona maji ya mto naili yamekua mekundu tena yana nuka rangi hiyo ikawa nyekundu kama damu tukio hilo walisimulia kua Maji yaligeuka kua damu.
Hivyo inawezekana kutokana jinsi walivyowasimulia bila kua na elimu ya mambo waliwasimulia vibaya waandishi wa mambo ya kale kwamba mvua ilinyesha dunia nzima.
Baadhi ya vitu vilivyosimuliwa vibaya kutokana na ukosefu wa elimu na kusimulia jambo kama walivyo liona ni haya..
NB. Mungu hufanya miujiza kwa aina kuu mbili ambazo ni
1. Mungu anatenda jambo fulani la pekee kabisa lisiloweza kutokea kwa namna yoyote ile hapa duniani bila uweza wake mfano Kufufua mtu.
2. Mungu anatenda jambo fulani linaltokea mara kwa mara kumsaidia mtu fulani katika mzingira ya pekee nalo hilo ni muujiza sababu limetokea kwa maongozi ya Mungu wakati uleule anapolihitaji mtu yule


Kuvuka Bahari ya shamu
Kutokana na vitabu vya historia (Kutoka) inasemekana kua sehemu walipovuka waisrael katika bahari ya shamu hapakua na maji mengi sana, maji yalikua yamekupwahivyo walipita vizuri. Lakini wakati wamisri wanavuka maji yakajaa. Hivyo walipomua wanasimulia watoto wao walisema kua maji yaligawanyik/yalikauka wakapita

Maelezo haya niliyaandika katika moja ya thread zangu humu..
Ukituliza akili na kuchambua haya niliyoandika waweza papaya kitu
Ila hayo maji yakawauwa wamisri[emoji847]
 
Ni kwamba Musa hakuandika matukio yote katika vile vile vitabu vitano vya mwanzo (mwanz,kutoka,hesabu,torat,walawi) ila aliwaagiza waisrael wawasimulie matukio yote watoto wao, sasa walipowasimulia watoto wao hawakuwasimulia kama wataalam wa histori pia waliwasimulia watoto wao kama mambo kamawalivyoyaona kwa macho si kama wataalam wa elimu ya viumbe, mazingira,sayansi nk.
Mfano. Waliona maji ya mto naili yamekua mekundu tena yana nuka rangi hiyo ikawa nyekundu kama damu tukio hilo walisimulia kua Maji yaligeuka kua damu.
Hivyo inawezekana kutokana jinsi walivyowasimulia bila kua na elimu ya mambo waliwasimulia vibaya waandishi wa mambo ya kale kwamba mvua ilinyesha dunia nzima.
Baadhi ya vitu vilivyosimuliwa vibaya kutokana na ukosefu wa elimu na kusimulia jambo kama walivyo liona ni haya..
NB. Mungu hufanya miujiza kwa aina kuu mbili ambazo ni
1. Mungu anatenda jambo fulani la pekee kabisa lisiloweza kutokea kwa namna yoyote ile hapa duniani bila uweza wake mfano Kufufua mtu.
2. Mungu anatenda jambo fulani linaltokea mara kwa mara kumsaidia mtu fulani katika mzingira ya pekee nalo hilo ni muujiza sababu limetokea kwa maongozi ya Mungu wakati uleule anapolihitaji mtu yule


Kuvuka Bahari ya shamu
Kutokana na vitabu vya historia (Kutoka) inasemekana kua sehemu walipovuka waisrael katika bahari ya shamu hapakua na maji mengi sana, maji yalikua yamekupwahivyo walipita vizuri. Lakini wakati wamisri wanavuka maji yakajaa. Hivyo walipomua wanasimulia watoto wao walisema kua maji yaligawanyik/yalikauka wakapita

Maelezo haya niliyaandika katika moja ya thread zangu humu..
Ukituliza akili na kuchambua haya niliyoandika waweza papaya kitu
Mkuu kama umepotoka hivi
Screenshot_2018-10-13-17-27-06-324_com.nippt.swahili.bible.free.jpeg
 
Sikuuliza kuhusu kutaka kufahamu how did Bible was written... Ndio maana sikuona haja ya kujadili hilo.
Ahsante kunisaidia. Kuna kitu nilitaka nielezee kuhusu vitabu vya biblia ila nimeona lengo lake ni kubishana so angepinga nikaachana nae
 
Vipi kuhusu tukio la mwamba kuchapwa na kutoa maji? Je hili nalo tukio lilisimuliwa Kwa elimu ndogo?

BTW ,wana wa Israel walikuta bahari haijakupwa ndio wakapita. Walikuta bahari km ilivyo na Musa akaamrishwa na Mungu aichape bahari Kwa fimbo. Akafanya hivyo na bahari ikagawanyika.

Hebu tusichanganye nadhalia potofu ktk Mambo yaliyosimuliwa Kwa ufasaha yanayo fiti ktk maisha yote ya mwanadamu
Ni kwamba Musa hakuandika matukio yote katika vile vile vitabu vitano vya mwanzo (mwanz,kutoka,hesabu,torat,walawi) ila aliwaagiza waisrael wawasimulie matukio yote watoto wao, sasa walipowasimulia watoto wao hawakuwasimulia kama wataalam wa histori pia waliwasimulia watoto wao kama mambo kamawalivyoyaona kwa macho si kama wataalam wa elimu ya viumbe, mazingira,sayansi nk.
Mfano. Waliona maji ya mto naili yamekua mekundu tena yana nuka rangi hiyo ikawa nyekundu kama damu tukio hilo walisimulia kua Maji yaligeuka kua damu.
Hivyo inawezekana kutokana jinsi walivyowasimulia bila kua na elimu ya mambo waliwasimulia vibaya waandishi wa mambo ya kale kwamba mvua ilinyesha dunia nzima.
Baadhi ya vitu vilivyosimuliwa vibaya kutokana na ukosefu wa elimu na kusimulia jambo kama walivyo liona ni haya..
NB. Mungu hufanya miujiza kwa aina kuu mbili ambazo ni
1. Mungu anatenda jambo fulani la pekee kabisa lisiloweza kutokea kwa namna yoyote ile hapa duniani bila uweza wake mfano Kufufua mtu.
2. Mungu anatenda jambo fulani linaltokea mara kwa mara kumsaidia mtu fulani katika mzingira ya pekee nalo hilo ni muujiza sababu limetokea kwa maongozi ya Mungu wakati uleule anapolihitaji mtu yule


Kuvuka Bahari ya shamu
Kutokana na vitabu vya historia (Kutoka) inasemekana kua sehemu walipovuka waisrael katika bahari ya shamu hapakua na maji mengi sana, maji yalikua yamekupwahivyo walipita vizuri. Lakini wakati wamisri wanavuka maji yakajaa. Hivyo walipomua wanasimulia watoto wao walisema kua maji yaligawanyik/yalikauka wakapita

Maelezo haya niliyaandika katika moja ya thread zangu humu..
Ukituliza akili na kuchambua haya niliyoandika waweza papaya kitu
 
Shida iliyopo hapa watu wanatoa maelezo huku wakitumia vitabu vingine ambavyo havijavuviwa.


Mfano vitabu km vya Makabayo. Hivi vitabu havijavuviwa. Ukivifata hivi utaingia chaka.
 
Mengi yanaongelewa kuhusu hili...
Hii ya kuwa lipo Ethiopia niliwahi sikia sana..kwa vile wanasema hapo ndipo zilipoanzia dini...huko uyahudini ni janja ya "muzungu" tu.. kutuweka chini watu weusi!
Ethiopia hapakuanzia dini, ila dini ilikuwa na nguvu zaidi!. Refer Mmoja ya mamajusi walioenda kumtafuta Mtoto Yesu alitoka Ethiopia .
 
unaelimu Gani ya theology
je,umeipata kwa kuingia darasani na kupewa cheti au umeipata kwa Ku Google na kubangaiza vitabu?
and then je,unayo elimu yoyote kuhusiana na maji I.e hydrology au ocean?????
ukinijibu hapo kwa ukweli nitakuelewesha kitu
Mfano
1. Umeingia darasani kusoma hiyo Theology na ukafaulu kwa 60%
2. Nikaingia Youtube na kwenye online research institutes kama research gate etc then nikawa nna uelewa wa Theology uliyosoma darasani.
Je unahisi kisa cheti wewe ni bora kuliko mimi!?.
 
Ethiopia hapakuanzia dini, ila dini ilikuwa na nguvu zaidi!. Refer Mmoja ya mamajusi walioenda kumtafuta Mtoto Yesu alitoka Ethiopia .
Inawezekana mkuu ..ila kwamba mmoja wa mama jusi alitoka Ethiopia inawezekana pia alitoka sehemu moja kwenda nyingine ila nchi ni hiyo hiyo ...

Kwa mtizamo wako itakuwa ilianzia wapi?
 
Ahsante kunisaidia. Kuna kitu nilitaka nielezee kuhusu vitabu vya biblia ila nimeona lengo lake ni kubishana so angepinga nikaachana nae
Ulichokiongelea kuhusu maji kupwa na waisrael kupita nilishawahi kiangalia Mythbusters na Discover Channel!.
Walifanya mpaka mfano kwa kutumia upepo wa boti na maji yaligawanyika, walienda mbali mpaka kufika kwenye nadharia ya manemane!.
PS: Nilishawahi leta mada ya Swoon Hypothesis kwanini Yesu hakufa msalabani (ikahamishiwa jukwaa la Dini).
 
Mfano
1. Umeingia darasani kusoma hiyo Theology na ukafaulu kwa 60%
2. Nikaingia Youtube na kwenye online research institutes kama research gate etc then nikawa nna uelewa wa Theology uliyosoma darasani.
Je unahisi kisa cheti wewe ni bora kuliko mimi!?.
mf nimesoma
computer science na nikapata cheti
then wewe ukaingia Google &YouTube na online institute ukasoma hiyo hiyo computer science
ikatoka/ikatangazwa nafasi ya kazi
je,unadhani unaweza kuajiriwa? au yypi ambaye ataajiliwa?
linapokuja swala la elimu wabongo huwa wanashindw kuelewa.
mahali popote ulimwenguni kipimo cha elimu/taaluma yako ni CHETI
msipende kukaririshwa Kati ya elimu na maarifa
MTU anaweza kuwa na maarifa ya ujenzi. lakini kama hana/amekosa cheti cha ujenz I.e Civil engineer hawezi sajiliwa bodi yoyote ya ukandarasi
sasa peleka CV zako hata bodi ya makandarasi lakini kama utakosa cheti kinacho prove kama wewe ulisoma hicho kitu....utaisikia bodi tu kwa jina Bila kusailiwa...
na ndiyo maana nikamuuliza MKUU davinc kuhusu hilo swala.
 
mf nimesoma
computer science na nikapata cheti
then wewe ukaingia Google &YouTube na online institute ukasoma hiyo hiyo computer science
ikatoka/ikatangazwa nafasi ya kazi
je,unadhani unaweza kuajiriwa? au yypi ambaye ataajiliwa?
linapokuja swala la elimu wabongo huwa wanashindw kuelewa.
mahali popote ulimwenguni kipimo cha elimu/taaluma yako ni CHETI
msipende kukaririshwa Kati ya elimu na maarifa
MTU anaweza kuwa na maarifa ya ujenzi. lakini kama hana/amekosa cheti cha ujenz I.e Civil engineer hawezi sajiliwa bodi yoyote ya ukandarasi
sasa peleka CV zako hata bodi ya makandarasi lakini kama utakosa cheti kinacho prove kama wewe ulisoma hicho kitu....utaisikia bodi tu kwa jina Bila kusailiwa...
na ndiyo maana nikamuuliza MKUU davinc kuhusu hilo swala.
Umeenda mbali sana!.
Wewe umesoma Prima>Sec>Advance>Chuo
Mimi nikasoma Prima>miaka 7 kitaa>Chuo
Tukamaliza sawa then tukaapply kazi, unahisi nani ataajiliwa chap?.
🙂
 
mf nimesoma
computer science na nikapata cheti
then wewe ukaingia Google &YouTube na online institute ukasoma hiyo hiyo computer science
ikatoka/ikatangazwa nafasi ya kazi
je,unadhani unaweza kuajiriwa? au yypi ambaye ataajiliwa?
linapokuja swala la elimu wabongo huwa wanashindw kuelewa.
mahali popote ulimwenguni kipimo cha elimu/taaluma yako ni CHETI
msipende kukaririshwa Kati ya elimu na maarifa
MTU anaweza kuwa na maarifa ya ujenzi. lakini kama hana/amekosa cheti cha ujenz I.e Civil engineer hawezi sajiliwa bodi yoyote ya ukandarasi
sasa peleka CV zako hata bodi ya makandarasi lakini kama utakosa cheti kinacho prove kama wewe ulisoma hicho kitu....utaisikia bodi tu kwa jina Bila kusailiwa...
na ndiyo maana nikamuuliza MKUU davinc kuhusu hilo swala.
Kijana unapotea sana kama umewekeza muda kusoma ili update cheti..
 
Makabayo ni vitabu ambavyo vilianza kuwako kabla ya Yesu na mitume, na Yesu au mitume hawakuwahi kuvikoti ktk mafundisho yao.
Umeingia anga yangu kijana, hebu nambie kwanini vitabu vingine havijavuviwa?.
Kwanini Makabayo ukiifata unaingia chaka!?.🙂

CC: zitto junior
 
Back
Top Bottom