Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu

Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu

Kitabu cha Wimbo ulio Bora.

Hivyo Vitabu VA makabayo havikutumika kwasbbu havina uvuvio.

Ata waandishi wa zamani kabisa ambao walikua wanatambua uwepo wa hivyo vitabu visivokua na uvuvio kamwe hawakuweza kuvinukulu hivyo vitabu.
Josephus na Philo hawakufanya hivyo kabisa.
Da'Vinci kakwambia utoe sababu sio just 'uvuvio' kwanza ni nini!?..
 
Hahaa kwanza kabisa unatakiwa ujue historia ya Makabyo inaanzia miaka ya 175 BCE Antiochus IV Epiphanes alipoingia kuwa mfalme!. Wakati huo watu wa Yuda wakiwa utumwani kwa zaidi ya Miaka 400!. Huyu Antiochus aliwaua sana wayahudi na alikiuza cheo cha kiongozi wa dini sasa wayahudi hawakua tayari kuona dini yao inachafuka ndio wakawa wanapinga na hasa hasa familia ya mtu mmoja anaitwa YUDA MAKABAYO (Judas Maccabeus).
Mwaka 168 kiongozi wa wayahudi Mattathias aliyekuwa baba wa huyu yuda aliuliwa akamwachia mwanae cheo ambaye nae aliweza pambana kwenye miaka ya 165/164 lakini kufikia mwaka 160 huyu yuda makabayo nae aliuliwa akamwachia kaka yake Jonathan aongoze jahazi!.
Jonathan nae mwaka 142 alitekwa na kuuliwa cheo kikaenda kwa Simon ambae ndie aliweza leta amani ya dini kwa Wayahudi!. Lakini nae huyu Simon alipokufa mjukuu wake Alexander Janneus alikuwa kiongozi wa kiyahudi katili sana, nae alipofariki watoto wake wakapigana vita kutaka madaraka, vita haikuisha mpaka warumi chini ya Pompey walipoivamia Yuda mwaka 63.
Makabayo sio kitabu kibaya, kinahamasisha kujitambua ila kilitolewa kuandikwa kwa sababu za kisiasa!
Well, hiyo ni history Ya hao watu. Lkn vitabu vao ambavo Kwa jina jingine vinaitwa APOCRYPHA vilianza kuwako tangu mwaka 250BC.
 
Kitabu cha Wimbo ulio Bora.

Hivyo Vitabu VA makabayo havikutumika kwasbbu havina uvuvio.

Ata waandishi wa zamani kabisa ambao walikua wanatambua uwepo wa hivyo vitabu visivokua na uvuvio kamwe hawakuweza kuvinukulu hivyo vitabu.
Josephus na Philo hawakufanya hivyo kabisa.
He unajua context ya kitabu cha Wimbo uliobora? Mwandishi? Muda Wa kuandikwa kwake? (Naomba tubase kwenye context
 
Kijana unapotea sana kama umewekeza muda kusoma ili update cheti..
wewe nawe hebu elewa nilichokuwa namaanisha hapo juu
rejea nimeanza wapi.
swala nilikuwa na mwelewesha huyo aliyekuwa anasema et
hakuna maana ya elimu
ndiyo nikampa mf wa kuwa na cheti na maarifa ....
ni hivi juzi Google wali update sera zao wakawa wanataka miaka ya mbeleni waajiri watu wenye ujuz wa kitu .
lakini hata wewe binafsi unatambua
UTAMBULISHO WA TAALUMA YOYOTE DUNIANI NI CHETI...
unaweza kuwa na uelewa wa theology as theology lkini Bila kuwa na cheti cha theology ni ngumu sanaa
kupewa kanisa uchunge ..(Not kwa walokole )
 
kwahiyo biblia ilikuwepo kabla ya mwaka 250 BC!?
Those writings which are formed the book which called APOCRYPHA, yalianza kuwako tangu mwaka 250BC, this is before the Bible been compiled.
Mungu alishuka wapi kutoa inspiration ya vitabu!?.. Hivi unaijua historia ya biblia kweli!?./
Kila andiko lina pumzi ya Mungu. No matter ata km Maandishi yaliandikwa na wanadamu lkn haiondoi kua walivuviwa na Mungu.


Sifahamu hiyo history Ya Bible hebu nisaidie kunieleza.
 
Kwanza nimetoa sbbu moja huko nyuma. Pamoja na kua wakati wa Yesu alipokuwepo hapa duniani. Hivi vitabu vilikuwako lkn Yesu na mitume kamwe hawakuvinukulu ktk mafundisho yao.



Hence, Philo na Josephus hawa walikua waandishi wa kiyahudi wa kale kabisa waliotumia maandiko ya Kwa lugha ya Kigiriki lkn nao pia hawakuwahi kunukulu chochote kutoka ktk hivyo vitabu.



Vitabu hivyo vilianza kutambuliwa na ma Baba wa kanisa la RC muda mrefu huku vikitengwa kua si vitabu vilivo na uvuvio. Na mnamo mwaka 1546AD ktk baraza la Trent ndio vikatambuliwa rasmi.


Hizi ni sbbu tosha kabisa kuonyesha kua hivo vitabu havina uvuvio.
Mkuu tunajuaje kama hivi vitabu vina pumzi ya Mungu na hivi havina pumzi ya Mungu? Nisaidie hapo tafadhali.
 
Mkumbuke waisrael walivuka bahari kwa miguu coz maji yalikua yamekupwa..
Nina wasi wasi kama unasoma biblia, walivuka Jordan ndo maji yaligawika. Walipokuwa wanavuka bahari ya Sham sanduku lilikuwa halijatengenezwa.soka Kitabu cha Kutoka agano la kale
 
Those writings which are formed the book which called APOCRYPHA, yalianza kuwako tangu mwaka 250BC, this is before the Bible been compiled.
Eti nini maana APOCRPHA!?. Mbona unajaribu danganya watu wazima mkuu!?.. Kupitia wikipedia Apocrpha definition yake ni hii
The word's origin is the Medieval Latin adjective apocryphus , "secret, or non-canonical", from the Greek adjective ἀπόκρυφος ( apokryphos ), "obscure", from the verb ἀποκρύπτειν ( apokryptein ), "to hide away".
Sasa tujiulize Kilatin na kiebrania ni lugha ipi ya zamani zaidi!. Halafu turudi soma hii
Apocryphal writings are a class of documents rejected by some as being either pseudepigraphical or unworthy to be properly called Scripture, though, as with other writings, they may sometimes be referenced for support, such as the Book of Jasher. While writings that are now accepted by Christians as Scripture were recognized as being such by various believers early on, the establishment of a largely settled uniform canon was a process of centuries, and what the term "canon" (as well as "apocrypha") precisely meant also saw development.
Mkuu sisi sio watoto wadogo humu!.
Kila andiko lina pumzi ya Mungu. No matter ata km Maandishi yaliandikwa na wanadamu lkn haiondoi kua walivuviwa na Mungu.
Sasa kama kila andiko lina pumzi yake iweje mengine yakataliwe na wanaadamu!?..
 
Back
Top Bottom